Elections 2010 BUNGENI: Upinzani upo ndani ya kambi ya upinzani?

Elections 2010 BUNGENI: Upinzani upo ndani ya kambi ya upinzani?

Jamani tunaomba wajuzi mtujuze. Hivi Kenya ODM wanatambuliwa kama wapinzani bungeni mwao??????? Hivi Uingereza chama cha liberal wanatambuliwa kama wapinzani???? Hivi Zanzibar CUF kinatambuliwa kama chama cha upinzani????????????? Nadhani jibu ni hapana!!

Je, kuungana kwa CCM na CUF kuunda serikali Zanzibar haimaanishi kuwa baraza la wawakilishi zanzibar sasa halina upinzani???????????? Nadhani jibu ni ndio.

Je, Inawezekana CCM na CUF wawe na makubariano Zanzibar lakini TZ bara CUF waoneshe upinzani wa wazi kwa CCM...obvious haiwezekani. Inahitaji maelezo ya ajabu sana kuamini hili. CCM ni moja! CUF pia ni moja! Huu ndio ukweli. Haya mambo ya TZ bara na zanzibar ni matatizo ya katiba yetu tu.
 
haya machungu chadema inayopitia wenzao cuf walishayapitia kipindi kirefu. Damu zao zimemwagwa kwa wingi hadi wakakimbia nchi. Wakaishi kama mateka kule shimoni. Hakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Sasa kimeeleweka.
kila chama cha upinzani mwisho wake ni kuingia serikalini - a.k.a kula. Staili ni nyingi za kufika huko. Na mara nyingi mtaji mkuu ni walalahoi. Eti kutetea walalahoi. Eti nini???? Katiba. Eti nini vile?? Uchumi. Ya mwai kibaki si tuliyaona? Huyu jamaa aliahidi katiba ndani ya siku 100. Baada ya kuingia katiba ikaandikwa ndani ya zaidi ya miaka mitano. He, kulikoni?
tuwe wakweli upande mwingine! Baada ya dhiki huja faraja!!! Waacheni kafu wafaidi. Wamepoteza damu kupigania haki.
chadema hawajapoteza damu hata moja ila wameua!!!!!!!!!
 
haya machungu chadema inayopitia wenzao cuf walishayapitia kipindi kirefu. Damu zao zimemwagwa kwa wingi hadi wakakimbia nchi. Wakaishi kama mateka kule shimoni. Hakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Sasa kimeeleweka.
kila chama cha upinzani mwisho wake ni kuingia serikalini - a.k.a kula. Staili ni nyingi za kufika huko. Na mara nyingi mtaji mkuu ni walalahoi. Eti kutetea walalahoi. Eti nini???? Katiba. Eti nini vile?? Uchumi. Ya mwai kibaki si tuliyaona? Huyu jamaa aliahidi katiba ndani ya siku 100. Baada ya kuingia katiba ikaandikwa ndani ya zaidi ya miaka mitano. He, kulikoni?
tuwe wakweli upande mwingine! Baada ya dhiki huja faraja!!! Waacheni kafu wafaidi. Wamepoteza damu kupigania haki.
chadema hawajapoteza damu hata moja ila wameua!!!!!!!!!
duuuu PUMBA nyingine hii!
 
haya machungu chadema inayopitia wenzao cuf walishayapitia kipindi kirefu. Damu zao zimemwagwa kwa wingi hadi wakakimbia nchi. Wakaishi kama mateka kule shimoni. Hakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Sasa kimeeleweka.
kila chama cha upinzani mwisho wake ni kuingia serikalini - a.k.a kula. Staili ni nyingi za kufika huko. Na mara nyingi mtaji mkuu ni walalahoi. Eti kutetea walalahoi. Eti nini???? Katiba. Eti nini vile?? Uchumi. Ya mwai kibaki si tuliyaona? Huyu jamaa aliahidi katiba ndani ya siku 100. Baada ya kuingia katiba ikaandikwa ndani ya zaidi ya miaka mitano. He, kulikoni?
tuwe wakweli upande mwingine! Baada ya dhiki huja faraja!!! Waacheni kafu wafaidi. Wamepoteza damu kupigania haki.
chadema hawajapoteza damu hata moja ila wameua!!!!!!!!!
Sasa katiba haipo Kenya? kwani litakuwa ni suala la kuulizwa tena? si afadhali wao kuliko wale wa kwetu waliotuahidi mahakama ya kadhi na hatujaipata na tumeanza miaka mitano mingine!?
Ni afadhali wale wametimiza angalau within four years kuliko hawa waliotuhaidi maisha bora na hatujayaona miaka mitano? sasa wametuahidi meli, viwanja vya ndege vya kimataifa, Dubai ya Afrika, Carfonia ya Afrika, na ujinga wa kila aina wakati yale waliyotuahidi wakati uliopita bado? No comparison ndio sababu ulioandika hapo juu ni CRAP.
 
Maelezo ya m cuf jana bibic yahakuwa ya msingi. Ni wabinafsi zaidi. Ni ccm b waukweli. Waachwe walivyo. Najua cuf itakuja na chama kingine soon.
 
haya machungu chadema inayopitia wenzao cuf walishayapitia kipindi kirefu. Damu zao zimemwagwa kwa wingi hadi wakakimbia nchi. Wakaishi kama mateka kule shimoni. Hakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Sasa kimeeleweka.
kila chama cha upinzani mwisho wake ni kuingia serikalini - a.k.a kula. Staili ni nyingi za kufika huko. Na mara nyingi mtaji mkuu ni walalahoi. Eti kutetea walalahoi. Eti nini???? Katiba. Eti nini vile?? Uchumi. Ya mwai kibaki si tuliyaona? Huyu jamaa aliahidi katiba ndani ya siku 100. Baada ya kuingia katiba ikaandikwa ndani ya zaidi ya miaka mitano. He, kulikoni?

tuwe wakweli upande mwingine! Baada ya dhiki huja faraja!!! Waacheni kafu wafaidi. Wamepoteza damu kupigania haki.
chadema hawajapoteza damu hata moja ila wameua!!!!!!!!!
HAKIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII????????????????????????????????????
 
haya machungu chadema inayopitia wenzao cuf walishayapitia kipindi kirefu. Damu zao zimemwagwa kwa wingi hadi wakakimbia nchi. Wakaishi kama mateka kule shimoni. Hakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Sasa kimeeleweka.
kila chama cha upinzani mwisho wake ni kuingia serikalini - a.k.a kula. Staili ni nyingi za kufika huko. Na mara nyingi mtaji mkuu ni walalahoi. Eti kutetea walalahoi. Eti nini???? Katiba. Eti nini vile?? Uchumi. Ya mwai kibaki si tuliyaona? Huyu jamaa aliahidi katiba ndani ya siku 100. Baada ya kuingia katiba ikaandikwa ndani ya zaidi ya miaka mitano. He, kulikoni?

tuwe wakweli upande mwingine! Baada ya dhiki huja faraja!!! Waacheni kafu wafaidi. Wamepoteza damu kupigania haki.
chadema hawajapoteza damu hata moja ila wameua!!!!!!!!!
HAKIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII????????????????????????????????????


Wewe una matatizo ya kichama kwani lazima cuf iungane na Chadema , mkaungane na UPDP na jahazi asilia
 
Jamani jana nimesikia mahojiano BBC ambapo Mh Mbowe alikuwa akitoa ufafanuzi wa jinsi ambavyo CUF hawakutaka kuungana na Chadema baada ya kuombwa kwamba wafanye alliance katika upinzani. Mbowe alisema kuwa aliambiwa na Hamad Rashid kuwa wao hawataungana na Chadema lakini wataungana na vyama vingine vya upinzani, ingawa wanajua kwa hakika kuungana kwao hakuwezi kuwaezesha kuunda serikali kivuli.

Na hapo hapo alihojiwa Hamad Rashid wa CUF kuhusu kutoridhia kwao kujiunga na Chadema, na alisema kuwa wao walikataa kujiunga na Chadema kwa kuwa kilikataa kufanya alliance na vyama vingine vya upinzani. Alichukulia mfano wa bunge lililopita ambalo wao walishirikiana na vyama vingine vya upinzani kuunda serikali kivuli.

Kwa maoni yangu napenda niwakumbushe CUF kwamba Chadema pekee sasa ina uwezo wa kuunda serikali kivuli bila kushirikiana na chama chochote. Na ni haki ya Chadema kama chama kilicho na uhalali wa kuunda serikali kivuli, kuchagua chenyewe ni nani wa kuwa naye katika kambi yake na ni yupi hafai kuwa katika kambi yake. CUF kama anayekaribishwa katika serikali ya umoja kivuli hana haki ya kuichagulia chadema chama rafiki. Utakuwa ni uhuni kudai kwamba ili washirikiane lazima vyama vyote vinavyoitwa vya upinzani vishirikishwe. Hii ni kuilazimisha Chadema kufanya jambo ambalo haitaki na jambo hili halikubaliki.

Kuna mfano utokanao na wao CUF, kwamba hata wao wakijua kwamba kuna vyama vingi vya siasa na wakijua wao kwamba ndio Chama kikuu cha upinzani Zenji waliamua wao pekee bila kushirikiana na vyama vingine vya upinzani ambavyo vilikuwepo kukaa na Serikali ya CCM na kufanya muafaka ambao unawanufaisha wao tu na si vyama vingine. Hakuna ambaye amewapigia kelele kwa jambo hili bali vyama vingi vimekaa kimya vikijaribu navyo kuona kwamba vinajaribu kujijenga ili na vyenyewe vifike hatua waliyofikia CUF. Ni uhuni kujifanya CUF kuwa wao wana uchungu wa kushirikiana na vyama vingine sasa katika bunge hili, wakati hata wao hawaamini rohoni mwao hiyo dhana kwamba ni sawa.

Kwa upande mwingine nawashauri viongozi wa Chadema kutokubali kuungana na CUF kabisa katika serikali kivuli maana leo CUF sio chama cha upinzani. Ni uongo na ulaghai kabisa tukiita CUF kuwa ni chama cha upinzani Tanzania. Kwani wanampinga nani wakati wote wako serikalini? Kawaida mnapokuwa mnaendesha serikali ya mseto ina maana wote mnakuwa na makubaliano katika uendeshaji wa serikali sasa hapo nani anayepinga mwingine wakati wote nyie ni watawala? CUF kwa sasa hivi kinatumika kusambalatisha upinzani kwa kujivika sura ya upinzani lakini ukweli ni kwamba wao kwa sasa hivi hawapo upinzani tena bali wako serikalini! Nawasihi viongozi wa Chadema wasijaribu kabisa kujishirikisha na CUF.

Pia napenda kuwashauri Chadema kushirikiana na Chama cha NCCR tu kama kitaonyesha kuhitaji kufanya hivyo pamoja na tofauti zilizopo. Vyama hivi vinaweza kuingia makubaliano na kushirikiana. Najua kuwa kuna mtafaruku wa mwenyekiti wao kuhusiana na mambo ya uchaguzi lakini bado naamini hayo ni mawazo yake binafsi lakini kichama, Chama kinaweza kuwa na mawazo tofauti. Nasema hivi kwa sababu Chama si Mbatia, bali Mbatia ni sehemu ya Chama. Lakini wakiona wao hawawezi kushirikiana nanyi waacheni.

Nawatahadhalisha sana Chadema kuepuka kuungana na TLP na UDP maana wao walishajipambanua wazi kuwa wao si wapinzani. Wao na CUF wako sawa. Ni mapandikizi ya CCM na wanaweza wakaiunga mkono CCM if they wish na at the end historia itawahukumu. Waache wakae wanavyotaka, wakitaka kuwaunga mkono sawa, wasipotaka waache maana sisi wananchi tuliowapigia kura nyingi nyie tunajua nini la kufanya na tutawamaliza wakati ujao.

Nihitimishe kwa kuomba tena viongozi wa chadema kufanya kazi kwa nguvu bila kujali nani atawaunga mkono au la, na huku mkijua sisi wananchi tuko nyuma yenu. Mtu au kikundi chochote kisiwatishe maana wananchi bado tuna imani na nyie. Simamia haki na sheria na sisi tutawapa reward. Msishinikizwe na chama chochote kwa tishio la kutowaunga mkono. After all, vyama vyote tofauti na CCM, viko vichache tu. Na hata kama mungeweka msimamo mmoja, wingi wenu hauwezi kubadilisha maamuzi ya CCM. Kwa hiyo kujitoa kwa CUF na wengine hakuwezi kuwatisha tena. Wacha waendelee kushirikiana na wala nchi maana nia yao ni kula nchi pia. Sisi Chadema nia yetu ni kuona mabadiliko katika Katiba, siasa na uchumi. Tutasimamia kile tunadhani ndio sahihi na mwisho agenda zote tutazirudisha kwa wananchi wenyewe waamue. Nina hakika kwa kansa iliyokwisha kamata CCM hakutakuwa na mabadiliko ya maana kwani ahadi zao hazitekelezeki, ufisadi utadumu kwa kasi zaidi, na tumesha anza kuona indicators za mfumuko mkubwa wa bei sasa kwa kila kitu kuanza kupanda bei kwa kasi ya ajabu.

HIMA TUKAZE BOOT NA TWENDE MBELE BILA WOGA.
mkuu,maoni yako nayaunga mkono.ila nadhani umepotoka kidogo kuruhusu ushirika na nccr.hawa nao ni hatari kuliko ukoma.aliyetangaza kushitaki chadema si mbatia kama mtu binafsi bali chama.
 
Wanajamvi mnawaona cuf wanavyojiuza kama changudoa mchana kweupe?
 
sio kinyaa tu!!!! Nimepata na majibu kwanini wametuzengua kwenye ushirikiano wa Serikali ya upinzani!!!! Kisha wanasingizia eti Chadema....
Washindwe na Walegee!!!1
Kazi imeanza wasubiri muziki wao 2015:yield::yield::yield::yield::yield::yield:
 
Mie nawashukuru Chadema kwa kuwatema CUF mapema katika kambi yao. Imejiziirisha wazi jinsi mnyaa alivyo ahidiwa ubunge wa SADC.
Nijinsi gani imeonyesha kuwa sasa CUF wanajikomba kwa CCM. Ni uchangudoa wa kutupwa wanaofanya sasa kwa CCM.
 
mkuu,maoni yako nayaunga mkono.ila nadhani umepotoka kidogo kuruhusu ushirika na nccr.hawa nao ni hatari kuliko ukoma.aliyetangaza kushitaki chadema si mbatia kama mtu binafsi bali chama.
Thanks. Yalikuwa mawazo yangu tu lakini bado naamini ushirikiano lazima uwe wa uangalifu sana!
 
Mie naona hata afadhali ya chan........
Mbunge huwezi kujirahisisha 2 that extent!!!! Inauma sana mtu kama huyo anapotokea kwa watu walioteseka chaguzi zote za nyuma!!!!:yield::yield::yield::yield::yield:
 
dUH HAPA NAONA LUGHA INawafanya wabunge wasadc washindwe kuulizwa maswali ya msingi yaan MOHD dewji anauliza sadc kuna Nchi ngani na atajiwe..Lugha utata..Huyu MNYAA ndo kajieleza ila hakupigwa swali ...huwa nafarijika kuona bunge la kenya jinsi wabunge wanavyomwaga maneno
 
Back
Top Bottom