Elections 2010 BUNGENI: Upinzani upo ndani ya kambi ya upinzani?

Elections 2010 BUNGENI: Upinzani upo ndani ya kambi ya upinzani?

- Chama cha siasa chenye nia njema na wananchi na hasa taifa hupigana mpaka mwisho wa vita by using all means afforded by the law of the land for this nina maswali mengi sana of what was the original goal of CUF na ni nini hasa muelekeo wao mbele ya safari maana so far haueleweki kama ni taifa, wananchi au kutaka power tu!

- As much as I like mufaka bado siwezi ku-betray my political revolutionary mind kwamba this new mufaka thing is simply majibu rahisi rahisi kwa maswali magumu, I mean calling a spade for what it is CUF wamekubali kushindwa, kwamba njia zote zinazokubalika kisheria kwa wao kushinda uchaguzi huko Visiwani zimewashinda na hawana uvumilivu unaotakiwa katika siasa za taifa kama ule wa kina Mandela!

- Now let me ask this, kwa nini Chadema wanataka kuungana bungeni na hawa political jokers?

William
Kumbe unajua kuandika post zilizoenda shule eeh!
 
Kumbe unajua kuandika post zilizoenda shule eeh!

- Well let me say this I am a revolutionary mind na in my own capacity and rights, ninataka mabadiliko ya kulisaidia taifa langu regardless yanatokea wapi, sijajifunika blanket la unazi wa vyama au viongozi, ingawa I am a CCM tena damu sana lakini I follow smart and modern politics, na mimi sio bendera au a uniform hapana na sipo hapa kutafuta cheap popularity hapana, ninajaribu kujadili siasa za taifa langu kwa kujali facts na ukweli wa kisiasa at hand.

- Sasa sometimes nitasema things good kwa chama fulani na wakati mwingine bad kwa chama fulani lakini nia na madhumuni yangu ni taifa mbele sana vyama vya siasa na viongozi huja nyuma, sasa hapa naona nimesema mengi yanayokubalika na Chadema ninakuwa Great Thinker sawa sawa ha! ha! ha! kesho nikisema tofauti na kujali taifa mbele yatakua mengine you know what kuelimishana kuhusu taifa hakuna aliyesema ni kazi rahisi na maji ukiyavulia nguo sharti uyaoge, kwa hiyo karibuni sana wakuu tujenge taifa letu japo kwa mawazo tu kama tunavyofanya hapa JF.

- Kwa hiyo thaanks brother for the compliment, but no thanks cause I know who I am no need any of add! ha! ha! ha!


William.
 
Mi naona Chadema ingelitangazia taifa kuwa chama cha Cuf na Ccm ni chama kimoja na ni chama tawala Tanzania na wala si wapinzani. Tanzania ni muungano wa TANgayika na ZANzibar,taifa ili lina katiba ya Jamhuri inayotambua vyama vya siasa vilivyo TANZANIA wala si bara/visiwani,pia katiba hairusu kuwa na chama cha siasa cha udini,kabila,shehemu/zone,wala sehemu fulani ya Jamhuri. Kwa iyo Cuf bara ndo Cuf zbr no tofauti,ivo muungano wa cuf na ccm unatambulika Tz nzima. Katiba ya Cuf ni moja bara na visiwani kama ilivo kwa vyama vyote. Kuungana na ccm znz ni sawa na kuoanisha katiba ya cuf na ya ccm,pia mh.LIPUMBA juzi amekubali kuwa sheikh Jeykey kashinda pia akamkabidhi ilani ya Cuf kuonesha ushirikiano zaidi kwa bara. M2 aliyetapeli kura za wananchi,leo hii unampongeza kwamba ni kidume,ni aibu kwa CUF na washirika wake. Mi nilishaweka uzi siku moja nikioji kama ASP na TANU vilizaa CCM je CUF+CCM vinazaa chama gani? Pia,SEIF kapata ajira kwa Shein,yani shein kamwapisha Seif na atampa Job description, Seif ni boss ktk Cuf, Shein boss wa seif ambaye ni bosi wa cuf,je huoni kwamba Shein kaipa ajira Cuf! Hapa cuf ni branch au subsidiary ya HQ ambayo ni Ccm. Ni issu ya correlation tu wala hamna ugumu wa kutambua. Ombi langu kwa Chadema undeni kambi yenu peke yenu na nccr etc,bt si TLP wala CUF. Kumbuka mwenyekiti CEO wa TLP alisema wazi kachagua CEO wa Ccm jeykey,uyo ni mpinzani? kama wabunge wapinzani ni 80+ kura za marando ni 53 tu huoni kuwa Cuf wamepata maelekezo kutoka Ccm. Msiungane na wengine mkadhani mtapata nguvu ya ziada,kura za upinzani zitabaki kuwa 53+- mpaka 2015 katika mambo yote ya Bunge. Nawasilisha.
 
..Chadema wa-negotiate na Prof.Lipumba ambaye ni mwenyekiti wa CUF.

..wasisumbuane na hao Wapemba wakina Hamad Rashid.

..Hamad Rashid alikuwa kiongozi wa upinzani bunge lililopita na hakuna hoja yoyote ya maana aliyotoa.
 
- Well let me say this I am a revolutionary mind na in my own capacity and rights, ninataka mabadiliko ya kulisaidia taifa langu regardless yanatokea wapi, sijajifunika blanket la unazi wa vyama au viongozi, ingawa I am a CCM tena damu sana lakini I follow smart and modern politics, na mimi sio bendera au a uniform hapana na sipo hapa kutafuta cheap popularity hapana, ninajaribu kujadili siasa za taifa langu kwa kujali facts na ukweli wa kisiasa at hand.

- Sasa sometimes nitasema things good kwa chama fulani na wakati mwingine bad kwa chama fulani lakini nia na madhumuni yangu ni taifa mbele sana vyama vya siasa na viongozi huja nyuma, sasa hapa naona nimesema mengi yanayokubalika na Chadema ninakuwa Great Thinker sawa sawa ha! ha! ha! kesho nikisema tofauti na kujali taifa mbele yatakua mengine you know what kuelimishana kuhusu taifa hakuna aliyesema ni kazi rahisi na maji ukiyavulia nguo sharti uyaoge, kwa hiyo karibuni sana wakuu tujenge taifa letu japo kwa mawazo tu kama tunavyofanya hapa JF.

- Kwa hiyo thaanks brother for the compliment, but no thanks cause I know who I am no need any of add! ha! ha! ha!


William.
Haa ha ha ha haaa!! Lazima uwe CCM, maana ndo iliyokulea. Ebu niambie wewe ni ndugu yake na mwere Malecela?? Yuko wapi siku hizi? nasikia baba yake alishindwa ubunge
 
Haa ha ha ha haaa!! Lazima uwe CCM, maana ndo iliyokulea. Ebu niambie wewe ni ndugu yake na mwere Malecela?? Yuko wapi siku hizi? nasikia baba yake alishindwa ubunge

- Well heshimu baraza mkuu tunaongelea Chadema na CUF bungeni hapa, kama unataka mtafute mwere mfungue topic ya walioshindwa uchaguzi Tanzania CUF wakiwemo ha! ha! ha! ha!

- kwa maoni yangu itakuwa topic saafi sana! ha! ha! ha!


William.
 
Utitiri wa vyama ni fujo tu. Nchi za US, UK, vyama vinvyojulikana ni viwili. Hivyo, kubakia na CDM na Sisiemu (A+B+C+..+TLP+NCCR+UDP+...) ni hata nzuri sana. Ni ishara ya ukomavu wa kisiasa. Pipooooooooooooooooooooos Pawasssssssssssssssssssssssssss!!!!!!!!!!!!
 
CUF isiungane na Chadema. Hivi ni vyama viwili tofauti kabisa kiadiology. Kuwa na vyama viwili vya upinzani NI tatizo kubwa kwa Tanzania. Nchi zenye demokrasia zaidi kama Canada wanavyama vingi vya siasa kitu ambacho ni muhimu kwa Taifa. Angalia siasa za Marekani zilivyojaa na chuki yote kwa sababu ya kuwa na strong two parties.
 
CUF waache unafiki wao, wanataka vihusishwe vyama vyote mbona wao kwenye miafaka yote waliyowahi kufanya kule zenj hawajawahi kuwashirikisha wapinzani wengine? CUF wana typical roho ya kipemba ya ubinafsi. They can go to hell. Wao wacha wafaidi makombo kwenye meza ya CCM kutokana na ndoa yao ya mkeka na chama cha mafisadi.

Hapa mkuu umenena. Kwa nini kwenye serikali ya mseto hawajawaita CHADEMA? By the way, wabunge wote wa CUF toka pemba kiuwakilishi ni sawa na mbunge mmoja wa CHADEMA ie sawa na Sugu. Hivyo CHADEMA ina wabunge 23 na CUF ina wawili toka bara na mmoja toka Pemba.
 
Kwa kweli jambo la kuzingatia wakati huu ni kujua kwamba we have a common enemy and that is CCM. So kwa mawazo nyangu mimi hatupaswi kuangalia tumuache nani kwenye kambi ya upiazani. wote ni wapinzani hivyo wote tuwe kitu kimoja kummbana CCM na serikali yake fidhuli. tatizo ni pale vyama vya upinzani vinapokua vibaraka wa CCM kuisambaratisha upinzani. lets be careful:juggle:
 
CUF ni chama cha ufisadi : Chama cha Unafiki: Chama cha Udini: chama cha Upemba; chama cha ujasusi na hakifai kuungana na CHADEMA.
Achaneni nao hao ndumila kuwili ni sawa na kuwa na mke anayetoka nje ya ndoa kisha anarudi na kukuambia anakupenda muendelee kuishi pamoja. Nawaasa CHADEMA km kuna kosa mtakuja jutia ni kutia wanafiki CUF ktk kambi ya upinzani mmekwisha. Kila mtakachopanga mtakuta kinaleak kila mara. Waacheni hao tuendeleze kazi yetu tusonge mbele.
 
Chama cha siasa chenye nia njema na wananchi na hasa taifa hupigana mpaka mwisho wa vita by using all means afforded by the law of the land for this nina maswali mengi sana of what was the original goal of CUF na ni nini hasa muelekeo wao mbele ya safari maana so far haueleweki kama ni taifa, wananchi au kutaka power tu!

- As much as I like mufaka bado siwezi ku-betray my political revolutionary mind kwamba this new mufaka thing is simply majibu rahisi rahisi kwa maswali magumu, I mean calling a spade for what it is CUF wamekubali kushindwa, kwamba njia zote zinazokubalika kisheria kwa wao kushinda uchaguzi huko Visiwani zimewashinda na hawana uvumilivu unaotakiwa katika siasa za taifa kama ule wa kina Mandela!

- Now let me ask this, kwa nini Chadema wanataka kuungana bungeni na hawa political jokers?

now you talk like Rene Descartes the father of great thinkers, Lipumba na Hamadi ni vibaraka wakubwa wa CCM wapo kwa maslahi binafsi , kama Chadema wanataka kuwa wapinzani wa kweli waachane na hawa vibaraka, vyama vyote vilivyopo bungeni ukiacha chadema vina mkono wa CCM, TLP Mrema alimpigia kampeni JK , UDP Cheyo alimpigia kampeni JK, NCCR Mbatia alitumiwa kudhoofisha Chadema, CUF wapo kwenye muafaka na CCM. Chadema hawana haja ya kuungana na vyama hivyo kwenye upinzani ni kupoteza muda, nina uhakika kabisa CUF, TLP na NCCR vitatumiwa na CCM .
 
Ngwendu,
The facts are not correct. Kanuni za Bunge zinahitaji Chama kinachounda Kambi Rasmi ya Upinzani kiwe na wabunge wasiopungua Asilimia 12.5 ya Wabunge. Iwapo hakuna Chama kinachofikia idadi hiyo, basi Wabunge wote wa Upinzani huunda Official Opposition( Kambi Rasmi) ndio maana katika Bunge la 9 Wabunge wote waliuunda KAMBI RASMI katika ummoja wao kwa vile hakuna chama kimoja peke yake kilichofikisha idadi ya asilimia 12.5 ya Kanuni, na hivyo Dr. Slaa kwa vile anatoka Chadema ambacho kilikuwa chama cha pili kwa ukubwa ( UDP ilikuwa na Mbunge 1 tu). Hivyo si kweli kuwa CUF waliishirikisha Chadema kwa hisani yao. Isitoshe lazima ikumbukwe kuwa katika Bunge la 9 CUF haikuwa na mbunge hata 1 toka Bara na wote walikuwa wametokea Pemba, hivyo wasingeliweza kuwa wasemaji wa Tanzania nzima wakati wanatoka siyo tu upande mmoja wa Muungano, bali kona mmoja tu ya Muungano ( Pemba), na Bunge linalohusika lilikuwa Bunge la Muungano ambayo kwa mgawanyo ulioko ndio linalosimamia maslahi ya Watanzania Bara ( Watanganyika wasiopungua 43 Millioni) Ni vizuri misingi ya maamuzi ikajulikana vizuri ili kujadili kwa uhakika mada.
Tunajua chadema wanajiamini sana na wanajiona sana. yaani wao ndo wao. Wakati bunge lililopita CUF ilikuwa na wabunge wanaokidhi kuunda serikali kivuli chadema walikuwa na wabunge 11 tu lakini CUF iliwashirikisha na tena slaa alikuwa kiongozi msaidizi kambi ya upinzani bungeni. But they see they are every thing. lakini subirini mtaona yatakayowakuta. Nakisha watayaona. Aslani. Wala hatutarudi nyuma.
 
Malimbukeni utawajua tu wanakua wanajiona kama hakuna kamawao,ama kweli kipofu kaona mwezi,je tungewapa nchi hawa wabinafci nawalafi wamadaraka chadema ingekuaje?kwa hakika mtanzania mwenye akilitimamu hawezi kurudia kosa lakuipa kura chadema tena,kwahakika hawafai hata kuongoza tarafa wacha taifa,kwa ubinafci huu naudiniwao naukanda naukabila wao watapotezwa kama upepo wa kusi unavopita marikebu,hawafai kabisa,eeh mungu ulie juu tuepushe na lichadema kupata ushindi wowote ktk chaguzi zataifa hili wasije wakaliingiza taifa kta vita yaudini na ukabila kwa ubinafci wao Aaaaameen!
 
- Chama cha siasa chenye nia njema na wananchi na hasa taifa hupigana mpaka mwisho wa vita by using all means afforded by the law of the land for this nina maswali mengi sana of what was the original goal of CUF na ni nini hasa muelekeo wao mbele ya safari maana so far haueleweki kama ni taifa, wananchi au kutaka power tu!

- As much as I like mufaka bado siwezi ku-betray my political revolutionary mind kwamba this new mufaka thing is simply majibu rahisi rahisi kwa maswali magumu, I mean calling a spade for what it is CUF wamekubali kushindwa, kwamba njia zote zinazokubalika kisheria kwa wao kushinda uchaguzi huko Visiwani zimewashinda na hawana uvumilivu unaotakiwa katika siasa za taifa kama ule wa kina Mandela!

- Now let me ask this, kwa nini Chadema wanataka kuungana bungeni na hawa political jokers?

William
Mkuu kumbuka Fuhrer Maalim Seif umri ndo unayoyoma na mapambano yakee yoote ilikuwa atawale yeye tu na sio hata kuwasafishia njia wana-CUF wengineo endapo hatabahatika kuchukua madaraka! sasa kaona bora ajiunge asife bila kuonja matamu ya madaraka! sasa jiulize atakapokuwa hayupo yaani akijifia CUF itakuwa na mustakabli upi? nauhakika kitakufa bila kuficha na wala siumi maneno!
 
Malimbukeni utawajua tu wanakua wanajiona kama hakuna kamawao,ama kweli kipofu kaona mwezi,je tungewapa nchi hawa wabinafci nawalafi wamadaraka chadema ingekuaje?kwa hakika mtanzania mwenye akilitimamu hawezi kurudia kosa lakuipa kura chadema tena,kwahakika hawafai hata kuongoza tarafa wacha taifa,kwa ubinafci huu naudiniwao naukanda naukabila wao watapotezwa kama upepo wa kusi unavopita marikebu,hawafai kabisa,eeh mungu ulie juu tuepushe na lichadema kupata ushindi wowote ktk chaguzi zataifa hili wasije wakaliingiza taifa kta vita yaudini na ukabila kwa ubinafci wao Aaaaameen!

Tunaomba ufafanuzi naona article imejaa jazba na hamaki ! tupe ubinafsi na udini wa Chadema ili tuwarekebishe tabia ikibidi tupe na FACTS kwani inatishia amani ya taifa letu
 
Chama cha siasa chenye nia njema na wananchi na hasa taifa hupigana mpaka mwisho wa vita by using all means afforded by the law of the land for this nina maswali mengi sana of what was the original goal of CUF na ni nini hasa muelekeo wao mbele ya safari maana so far haueleweki kama ni taifa, wananchi au kutaka power tu!

- As much as I like mufaka bado siwezi ku-betray my political revolutionary mind kwamba this new mufaka thing is simply majibu rahisi rahisi kwa maswali magumu, I mean calling a spade for what it is CUF wamekubali kushindwa, kwamba njia zote zinazokubalika kisheria kwa wao kushinda uchaguzi huko Visiwani zimewashinda na hawana uvumilivu unaotakiwa katika siasa za taifa kama ule wa kina Mandela!

- Now let me ask this, kwa nini Chadema wanataka kuungana bungeni na hawa political jokers?

now you talk like Rene Descartes the father of great thinkers, Lipumba na Hamadi ni vibaraka wakubwa wa CCM wapo kwa maslahi binafsi , kama Chadema wanataka kuwa wapinzani wa kweli waachane na hawa vibaraka, vyama vyote vilivyopo bungeni ukiacha chadema vina mkono wa CCM, TLP Mrema alimpigia kampeni JK , UDP Cheyo alimpigia kampeni JK, NCCR Mbatia alitumiwa kudhoofisha Chadema, CUF wapo kwenye muafaka na CCM. Chadema hawana haja ya kuungana na vyama hivyo kwenye upinzani ni kupoteza muda, nina uhakika kabisa CUF, TLP na NCCR vitatumiwa na CCM .
Revolutionaries can never be born out of a group of Seif and Lipumba's likes mark my Words
 
Back
Top Bottom