Elections 2010 BUNGENI: Upinzani upo ndani ya kambi ya upinzani?

Elections 2010 BUNGENI: Upinzani upo ndani ya kambi ya upinzani?

CUF ni ndumila kuwili tu na wanataka kula sehemu zote zote...
Upuuzi huu;

KAFU iko upande wa SISIEMU, na wabunge wake wanapata maagizo kutoka serikali ya mseto ya Zanzimbar (CCM+CUF) namna ya kupiga kura. Wanatakaje kuwa upande wa upinzani na wakati huo huo wanasikiliza maagizo kutoka Ikulu ya Zanzibar inayomilikiwa na chama tawala CCM?
 
kwanza nasikia kinyaa nikiona visiwa vidogo kama vya znz ambavyo ukilinganisha vyote havilingani hata na wilaya mbili za mko wa arusha vinakuwa na utitiri wa wabunge . huu nii upupu , ingekuwa tunalinganisha wa bunge wa znz na bara huku bara tungekuwa na wabunge zaidi ya 5000. wasepe kwao watuache huku na mambo yetu .


Kama unaona kinyaa tapika au nenda haja kubwa. Kama wingi wa watu basi Wahindi na Wachina wangalikuwa na viti mara laki moja UN ukilinganisha na baadhi ya nchi. Ikiwa hamridhiki na ugawaji wa majimbo ya Bunge basi njia ni rahisi jitoeni katika huu Muungano kwani hata Wazanzibari umeshawachosha.
 
Tunajua chadema wanajiamini sana na wanajiona sana. yaani wao ndo wao. Wakati bunge lililopita CUF ilikuwa na wabunge wanaokidhi kuunda serikali kivuli chadema walikuwa na wabunge 11 tu lakini CUF iliwashirikisha na tena slaa alikuwa kiongozi msaidizi kambi ya upinzani bungeni. But they see they are every thing. lakini subirini mtaona yatakayowakuta. Nakisha watayaona. Aslani. Wala hatutarudi nyuma.
we *****, unasema tusubiri kuona yatayowakuta cdm? Ndo wanayakwepa sasa hivi kukataa kuingiliwa na ccm kupitia cuf.cuf yamewapata hayo kwa ujinga wao na tamaa.wamemezwa sasa wanataka kutumia cdm kupandia.namimi cdm ikishirikiana na cuf nitajitoa kwenye siasa,nitahama na dhehebu niwe mlokole.
 
CUF waache unafiki wao, wanataka vihusishwe vyama vyote mbona wao kwenye miafaka yote waliyowahi kufanya kule zenj hawajawahi kuwashirikisha wapinzani wengine? CUF wana typical roho ya kipemba ya ubinafsi. They can go to hell. Wao wacha wafaidi makombo kwenye meza ya CCM kutokana na ndoa yao ya mkeka na chama cha mafisadi.

Kuhusu mwafaka ni dhahiri hivyo ndio vyama vyenye usawishi na logic ya Hamad rashid vishirikishwe vyama vyote vyenye uwakilishi bungeni hajasema na PPT maendelo na Demokrasia makini. Wewe ulitaka kwenye muafaka iwekwe chadema ilhali hawajashinda hata usheha (udiwani) Na kwa taarifa yako ile katiba haitaji CCM na CUF ndio watakao unda serikali bali inasema mshindi wa kwanza na wapili jitahidini muwe wa pili 2015 Muunde na nyie serikali shirikishi kule Zanzibar katiba haijafunga mlango kwa vyama vingine.
 
Kuhusu mwafaka ni dhahiri hivyo ndio vyama vyenye usawishi na logic ya Hamad rashid vishirikishwe vyama vyote vyenye uwakilishi bungeni hajasema na PPT maendelo na Demokrasia makini. Wewe ulitaka kwenye muafaka iwekwe chadema ilhali hawajashinda hata usheha (udiwani) Na kwa taarifa yako ile katiba haitaji CCM na CUF ndio watakao unda serikali bali inasema mshindi wa kwanza na wapili jitahidini muwe wa pili 2015 Muunde na nyie serikali shirikishi kule Zanzibar katiba haijafunga mlango kwa vyama vingine.

Haijasema CUF NA CCM, JE KWA NINI VYAMA VINGINE HAVIKUSHIRIKISWA KWENYE MAZUNGUMZO YA MUAFAKA NA MARIDHIANO? TUNAJUA SIASA ZA ZNZ NI ZA KIBAGUZI WAPEMBA NI CUF NA WAUNGUJA NI CCM WHAT DO YOU EXPECT?
 
ukisoma maneno ya Hamad Rashid alipokua akizungumza na gazeti la Habari leo utagundua kuwa chadema kinajiona wao peke yao ndio kina haki ya kuchagua nani awemo kwenye kambi yaupinzani pia wao wamehodhi nafasi zote za uongozi kwenye kambi hio


huku pembeni wakidanganya watu ati CUF na vyama vyengine ndio kikwazo

haya ni maneno ya Hamad

"Katika hatua nyingine, Hamad alisema CUF inaendelea na mazungumzo na Chadema kuhusu kuundwa kambi ya upinzani na imetoa masharti kwa Chadema kuwa itashirikiana nayo iwapo itaviingiza vyama vyote kwenye kambi hiyo.

Alipoulizwa itawezekanaje wakati Chadema imeshaunda kambi ya upinzani na kuteua viongozi wake, alisema “jana (juzi) niliongea na Mbowe (Freeman) na anaweza kubadilisha kambi yake, nasi CUF tumetoa masharti ya kuungana nao ni kambi kuwa na vyama vyote na si CUF na Chadema pekee,” alisema Hamad ambaye ni Mbunge wa Wawi, Pemba."


Sourcre:HabariLeo | Sitta amwosia Anne Makinda
"gazeti la HabariLeo"???
You must be out of your mind to even think that this paper will write anything positive relating to Chadema!
 
- Wa-Tanzania ifike mahali tuiruhusu Demokrasia ii-play its hand, ni lazima tuhimize competition kati ya Chadema na CUF au na chama chochote kile cha upinzani, through hizi competition ndio tutapata chama imara cha upinzani watakaoshindwa watakua hawana jinsi ila kujiunga na washindi ndio hasa the heart and soul ya Demokrasia,

- Tusipende vitu rahisi rahisi, Chadema should not waste their time na Wapinzani wengine wasiotaka kuelewa political mood ya wananchi, waacheni wafu wajizike wenyewe!


William.
 
ukisoma maneno ya Hamad Rashid alipokua akizungumza na gazeti la Habari leo utagundua kuwa chadema kinajiona wao peke yao ndio kina haki ya kuchagua nani awemo kwenye kambi yaupinzani pia wao wamehodhi nafasi zote za uongozi kwenye kambi hio


huku pembeni wakidanganya watu ati CUF na vyama vyengine ndio kikwazo

haya ni maneno ya Hamad

"Katika hatua nyingine, Hamad alisema CUF inaendelea na mazungumzo na Chadema kuhusu kuundwa kambi ya upinzani na imetoa masharti kwa Chadema kuwa itashirikiana nayo iwapo itaviingiza vyama vyote kwenye kambi hiyo.

Alipoulizwa itawezekanaje wakati Chadema imeshaunda kambi ya upinzani na kuteua viongozi wake, alisema “jana (juzi) niliongea na Mbowe (Freeman) na anaweza kubadilisha kambi yake, nasi CUF tumetoa masharti ya kuungana nao ni kambi kuwa na vyama vyote na si CUF na Chadema pekee,” alisema Hamad ambaye ni Mbunge wa Wawi, Pemba."


Sourcre:HabariLeo | Sitta amwosia Anne Makinda




Mzalendo we vipi? bado huelewi kuwa CUF ndiyo chanzo cha matatizo yote? Halafu unadhani nani wakusoma gazeti la CCM?
CUF waliombwa kushirikiana na CHADEMA, wakakataa, kwa madai kuwa wao wana muungano wao.

Vile vile unapozungumzia suala la kumquote Hamad Rashid peke yake bila kumquote Kiongozi yeyote wa CHADEMA inaonyesha taarifa zako ni za udaku.

Kwanza CHADEMA kuungana na CUF ni kuvunja upinzani Tanzania na kurudi kwenye mfumo wa chama kimoja.
 
Tunajua chadema wanajiamini sana na wanajiona sana. yaani wao ndo wao. Wakati bunge lililopita CUF ilikuwa na wabunge wanaokidhi kuunda serikali kivuli chadema walikuwa na wabunge 11 tu lakini CUF iliwashirikisha na tena slaa alikuwa kiongozi msaidizi kambi ya upinzani bungeni. But they see they are every thing. lakini subirini mtaona yatakayowakuta. Nakisha watayaona. Aslani. Wala hatutarudi nyuma.


Sasa we ulitaka CHADEMA wasijiamini? Hivi wakisema wabunge wa upinzani watoke mbele CUF watatoka?
Acha kulalama wakati hata kwenye Bunge lililopita CUF hawakuwa na idadi ya kutosha kuunda kambi ya upinzani, hivyo ilikuwa lazima kuungana. Hata hivyo CUF wasingekuwa na ndoa na CCM Hamad Rashid angeshirikishwa na CHADEMA.
 
- Wa-Tanzania ifike mahali tuiruhusu Demokrasia ii-play its hand, ni lazima tuhimize competition kati ya Chadema na CUF au na chama chochote kile cha upinzani, through hizi competition ndio tutapata chama imara cha upinzani watakaoshindwa watakua hawana jinsi ila kujiunga na washindi ndio hasa the heart and soul ya Demokrasia,

- Tusipende vitu rahisi rahisi, Chadema should not waste their time na Wapinzani wengine wasiotaka kuelewa political mood ya wananchi, waacheni wafu wajizike wenyewe!


William.


Goood!!!! You are a real Great Thinker
 
To Hell CUF!!
I said it..
Kama kura zote za uspika mliwapa chama cha mafisadi (according to Zitto's report in some media outlets), mnaifuafuata nini CDM?
Leave Them Alone and Then Go To Hell..!! This time big NO
 
sidhani kama nibusara kuzungumuzia Chadema kuunda kambi ya upinzani wa kishirikiana na cuf,Chadema nichama makini cuf wamechanganyikiwa sidhani kama wazima kama kweli ni wazima basi wa subiri bosi wao mkwere atakapo tangaza baraza la mawaziri kama atawakumbuka akiwatosa hayo yatakuwa mengine.Mmepeana hata ilani zenu za uchaguzi hukohuko na wezi wenzenu kwanini hamkuwapa chadema? bakienihuko huko lasivyo mkokoteni na mzee wa kiracharacha anaye subiri mzee amkumbuke uwaziri wa mambo ya ndani.
 
sidhani kama nibusara kuzungumuzia Chadema kuunda kambi ya upinzani wa kishirikiana na cuf,Chadema nichama makini cuf wamechanganyikiwa sidhani kama wazima kama kweli ni wazima basi wa subiri bosi wao mkwere atakapo tangaza baraza la mawaziri kama atawakumbuka akiwatosa hayo yatakuwa mengine.Mmepeana hata ilani zenu za uchaguzi hukohuko na wezi wenzenu kwanini hamkuwapa chadema? bakienihuko huko lasivyo mkokoteni na mzee wa kiraracha anaye subiri mzee amkumbuke uwaziri wa mambo ya ndani.



Bado anaota?
 
Tunajua chadema wanajiamini sana na wanajiona sana. yaani wao ndo wao. Wakati bunge lililopita CUF ilikuwa na wabunge wanaokidhi kuunda serikali kivuli chadema walikuwa na wabunge 11 tu lakini CUF iliwashirikisha na tena slaa alikuwa kiongozi msaidizi kambi ya upinzani bungeni. But they see they are every thing. lakini subirini mtaona yatakayowakuta. Nakisha watayaona. Aslani. Wala hatutarudi nyuma.

Acha ujinga wewe... CUF hawakufikisha 12% ya wabunge wanaohitajika kuunda kambi ya upinzani, walikuwa na wabunge wanaotokea Pemba tu na Muunguja mmoja hakukuwa na anayetoka bara. Walipoungana na Chadema na UDP ndo wakafikisha 12% so haikuwa hiari yao. Lakini pia kwa sasa CUF sio wapinzani. Chadema inatakiwa waungane na NCCR pekee hao wengine Mzee wa Gambasingu na Mzee wa Kiraracha wanafiki.
 
kichuguu mapema hii ushapata ?


hapa tulikua tukisema CUF wamekataa kumbe hawajashirikishwa kila kitu Chadema wamemaliza na si CUF tu na hata vyama vyengine vyote havijashirikishwa


hivi hawa wanadhani peke yao wataweza?

na hawa wangekua wameshinda urais si pasingetosha ?
CCM wameshinda urais kwani panatosha?
 
CUF waache unafiki wao, wanataka vihusishwe vyama vyote mbona wao kwenye miafaka yote waliyowahi kufanya kule zenj hawajawahi kuwashirikisha wapinzani wengine? CUF wana typical roho ya kipemba ya ubinafsi. They can go to hell. Wao wacha wafaidi makombo kwenye meza ya CCM kutokana na ndoa yao ya mkeka na chama cha mafisadi.
Hapo kwenye maandishi mekundu uwezi pewa jibu. Nimeuliza wakina mwiba na Kibunango lakini jibu hakuna!
 
CUF itaungana na vyama vingapi? CUF imeungana na ccm so wao wamewauhujumu wananchi kwa uroho wa madaraka waendelee tu![

Yaani hawa CUF ni sawa na umemchukua kimada unaenda naye out unampatia ushirikiano kwa kila anachokitaka lakini baadaye anachepuka ****** ana.#@fix***wa ..fastafasta na bahati nzuri unakagundua kamchezo kake, je bado utaendelea kuwa naye? Na waende kutunza ndoa yao salama
 
- Wa-Tanzania ifike mahali tuiruhusu Demokrasia ii-play its hand, ni lazima tuhimize competition kati ya Chadema na CUF au na chama chochote kile cha upinzani, through hizi competition ndio tutapata chama imara cha upinzani watakaoshindwa watakua hawana jinsi ila kujiunga na washindi ndio hasa the heart and soul ya Demokrasia,

- Tusipende vitu rahisi rahisi, Chadema should not waste their time na Wapinzani wengine wasiotaka kuelewa political mood ya wananchi, waacheni wafu wajizike wenyewe!


William.
Saa ingine huwa unazungumza mambo ya akili sana kama hapa. Big up mwana wa John
 
kwa hio conclusion ni kweli chadema ndio waliokataa kuvishirikisha vyama vyengine kwa hoja zifuatazo:


kuwa CUF sasa si chama cha upinzani kwa vile imo kwenye serikali kule zanzibar (japokuwa hili ni bunge la Jamhuri ya Tanzania ambapo CUF hawamo kwenye serikali hio)


pili kua CUF ni wanafiki, na kwa sababu wanakula kwenye serikali ya Zanzibar Chadema imeona isiwashirikishe kwa kuwa watashindwa kutunza siri au kuwajibika mbele ya serikali ambayo wao pia ni stake holder

vyama vyengine nao sio wapinzani bali ni watafuta maslahi kama vile mzee wa kiraracha na wenziwe


chama cha chadema kina asilimia ya kutosha kuunda kambi ya upinzani peke yake

yote yaliozungumzwa yanaonyesha kuwa Chadema ndio wao ambao hawataki kwa hio wasimame juu ya hilo na wasijaribu kutupa lawama kwa wengine
 
- Chama cha siasa chenye nia njema na wananchi na hasa taifa hupigana mpaka mwisho wa vita by using all means afforded by the law of the land for this nina maswali mengi sana of what was the original goal of CUF na ni nini hasa muelekeo wao mbele ya safari maana so far haueleweki kama ni taifa, wananchi au kutaka power tu!

- As much as I like mufaka bado siwezi ku-betray my political revolutionary mind kwamba this new mufaka thing is simply majibu rahisi rahisi kwa maswali magumu, I mean calling a spade for what it is CUF wamekubali kushindwa, kwamba njia zote zinazokubalika kisheria kwa wao kushinda uchaguzi huko Visiwani zimewashinda na hawana uvumilivu unaotakiwa katika siasa za taifa kama ule wa kina Mandela!

- Now let me ask this, kwa nini Chadema wanataka kuungana bungeni na hawa political jokers?

William
 
Back
Top Bottom