Elections 2010 BUNGENI: Upinzani upo ndani ya kambi ya upinzani?

Elections 2010 BUNGENI: Upinzani upo ndani ya kambi ya upinzani?

Upuuzi huu;

KAFU iko upande wa SISIEMU, na wabunge wake wanapata maagizo kutoka serikali ya mseto ya Zanzimbar (CCM+CUF) namna ya kupiga kura. Wanatakaje kuwa upande wa upinzani na wakati huo huo wanasikiliza maagizo kutoka Ikulu ya Zanzibar inayomilikiwa na chama tawala CCM?


kichuguu mapema hii ushapata ?


hapa tulikua tukisema CUF wamekataa kumbe hawajashirikishwa kila kitu Chadema wamemaliza na si CUF tu na hata vyama vyengine vyote havijashirikishwa


hivi hawa wanadhani peke yao wataweza?

na hawa wangekua wameshinda urais si pasingetosha ?
 
Nashangaa sana, nadhani aliye post hi thread hakuwa makini anasahu kuwa wale wabunge wa cuf wate wanatoka pemba, pia uwelewa wao ni mdogo sana (shule) ni wakati wa tanganyika kulielewa hilo. Nawaomba watz wate wenye mapenzi mema tukiunge Chadema mkono ili tumkomboe mtaozaoia
 
Kwanza kwa idadi ya wabunge waliopata chadema inatosha kikatiba wao kuwa kambi ya upinzani. CUF si wako na CCM? Wanataka nini tena
 
Haya Bwana!! kwa hiyo chadema ndio pekee wapinzani!

back to the history, see reality, know what is real happening in these parties!

Note that, we have no opposition parties and chadema they are not among them!! neither ccm!!!!!!!!!

labda mtu aniambie kuwa idadi ya wabunge wa chadema inaweza kuleta mabadiliko yanayoweza kuonekana, zaidi ya kuongea,

bado hawana nguvu na kubaguana huku na kutengana kwao huku ndio kunakopelekea kusema chadema hipi unayosema ya wapinzani? waliopata urais asilimia 24 ndogo zaidi ya aliyopata Mrema mwaka 1995!! acheni ushabiki we have long way with these sorts of mind!

hoja yako ya kuwa serikali ya mseto ya cuf na ccm kinaiondoa cuf kuwa chama cha siasa ni ya hatari na ya kupingwa mno, unaishi karne ya 11 au 12 hivi! tunahitaji serikali kama hiyo Tanzania bara pia!

katika serikali ya mseto, viongozi wanataka uongozi ili walete kitu fulani unique na kuweka historia kuwa walitatua matatizo fulani, hawapati uongozi kwa sababu ya dhiki zao na wajaze matumbo yao kama viongozi wengi wanavyowaza!

with such mind of yours, never expect kuwa kura yako vote(latin-votum) which means 'choice' au 'wishes' kuwa itafanya kitu chochote.

ni ujinga na upumbavu uliotukuka kuamka asubuhi kumpigia kura Slaa ili awe rais, yet anakosa urais , lakini kura yako haina nafasi yoyote ya kihistoria, that led 10million people not to vote just recently!!

serikali ya mseto ingemfanya Slaa kuwa mmoja wa watu watakaounda serikali, I mean chadema ingepewa kama wizara 4 hivi, ndio kenya wanavyoishi hivyo, so as South Africa etc......

Tuwaze mabadiliko ya katiba yatakayo accomodate vyama vyote, kama kuna vyama vitakavyochemsha automatically vinakimbiwa na wananchi!!!!

nchi ni ya wote regardless of our respective vyama!!! haiwezekani aliyeshinda asilimia 61, atuongoze miaka mitano ijayo, na haikuwezekana zanzibar waliopitana kwa asilimia 1% basi ccm waongeze serikali-ingekuwa haimake sense

kwa mawazo yako haya sitaki kukubaliana na wakenya kuwa kenya wako mbele miaka 15 kidemokrasia kuliko tanzania!!!! japo kwa mawazo yako unadhihirisha

ushabiki wa chadema humu fanya, ila kumbuka hatujuani, hoja na ukweli daima viwe kinga ya kulinda utu na akili zetu za kawaida, kusema kila kitu kwa lengo ya kuisifia chadema sio kukijenga!

chadema iangalie ni wapi ilipokosea, mpaka ikakosa kushirikiana na vyama vingine!!

ilikuwa nccr, ikaja cuf na sasa ni chadema historia ni mbaya sana, usishangae next five years chadema hii ikawa sio hii ya leo, kwa mawazo mgando mliyokuwa nayo wa kujiona superior

chama pekee chenye hostoria iliyoleta mabadiliko nchi hii na wengine wanapaswa kujifunza ni CUF-zanzibar, then those can be applaused!

ebu kua kidogo

Chama pekee kilicholeta mabadiliko PEMBA au TANZANIA?
To hell with CUF aka. PEMBA PARTY
 
Uchaguzi ulipomalizika na matokeo kutangazwa wapendamaendeleo wote tulipata hamasa baada ya kuona hatua kubwa iliyopigwa na vyama vya upinzani kwa kuweza kufumbua macho ya Watanzania mjini na vijiji, bara na visiwani.

Cha kushangaza ni kwamba baada ya kuingia bungeni hawa tunaodhania kuwa ni wakombozi wetu (UPINZANI) waliotupa matumaini mapya kwa kuwa na idadi kubwa bungeni tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma, WANATENGENEZA UPINZANI WA KUPINGANA WAPINZANI. Mfano mzuri tazama matokeo ya spika na kura alizopata mwakilishi wa upinzani aliyegombea. Au kuwepo na makundi mawili ya upinzani (Majority opposition & Minority Opposition)

Ndugu zangu wapinzani hatutaki kujutia kupigia kura upinzani, lakini kwa dalili hizi za mwanzoni mtakuja kusababisha kutowaamini tena.
 
Matatizo yetu bara ya msingi hayako vichwani mwa cuf ambao wengi ni wazenji, wanajua hawatakuwa na msimamo thabiti, minority opposition lengo lao kubwa ni kuwapunguza speed chadema, kitakachokuwa kinatokea itakuwa ni aibu, itakuwa rahisi zaidi wabunge waadilifu wa ccm kushirikiana na chadema kuliko minority opp kushirikiana na chadema, hata ccm wanajua hivyo, ndo maana ck za hv karibuni mtu muadilifu akitimuka kutoka ccm hataenda cuf, tlp, nccr, udp bali ataenda chadema! Ni rahisi zaidi kumlaumu mtu kuliko kujizuia kumlaumu. Ngoja mijadala ianze utaona upinzani haswa ni upi, until then let us live to see.
 
CUF waache unafiki wao, wanataka vihusishwe vyama vyote mbona wao kwenye miafaka yote waliyowahi kufanya kule zenj hawajawahi kuwashirikisha wapinzani wengine? CUF wana typical roho ya kipemba ya ubinafsi. They can go to hell. Wao wacha wafaidi makombo kwenye meza ya CCM kutokana na ndoa yao ya mkeka na chama cha mafisadi.
 
Source "Habari leo"!!! a.k.a CCM Leo. Those guys don't know anything about objective reporting (Jenerali Ulimwengu surely gave the chief editor his piece of mind on that!). The source ain't credible no more!
 
kwanza nasikia kinyaa nikiona visiwa vidogo kama vya znz ambavyo ukilinganisha vyote havilingani hata na wilaya mbili za mko wa arusha vinakuwa na utitiri wa wabunge . huu nii upupu , ingekuwa tunalinganisha wa bunge wa znz na bara huku bara tungekuwa na wabunge zaidi ya 5000. wasepe kwao watuache huku na mambo yetu .
 
Tumia habari sahihi na si maneno ya mstaarabu mkosaji Hamad, Uchaguzi wa viungozi wa upinzani unafanyika vikiwepo vyama vyote na kura anazopata mgombea ndizo kigezo, CHADEMA ina wabunge wengi zaidi ya jumla ya wabunge wa vyama vingine vya upinzani ndo sababu walishinda. So wazee wa Muafaka nafikiri wameishiwa hoja, by the way tayari wamekwishaungana na CCM, mi nafikiri watulie na mme mmoya.
 
nasi cuf tumetoa masharti ya kuungana nao ni kambi kuwa na vyama vyote na si cuf na chadema pekee," alisema hamad ambaye ni mbunge wa wawi, pemba."

mmmmmh...
BAADA YA KUUNDA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA ZNZ, C.U.F. WAMENOGEWA NA SASA WANATAKA TENA KAMBI YA UMOJA WA KIPINZANI BUNGENI. NIMEKUA NIKIWAONYA WATU KUHUSU UROHO WA MADARAKA WALIONAO CUF NA BADO NASISITIZA...............
 
ukisoma maneno ya hamad rashid alipokua akizungumza na gazeti la habari leo utagundua kuwa chadema kinajiona wao peke yao ndio kina haki ya kuchagua nani awemo kwenye kambi yaupinzani pia wao wamehodhi nafasi zote za uongozi kwenye kambi hio


huku pembeni wakidanganya watu ati cuf na vyama vyengine ndio kikwazo

haya ni maneno ya hamad

"katika hatua nyingine, hamad alisema cuf inaendelea na mazungumzo na chadema kuhusu kuundwa kambi ya upinzani na imetoa masharti kwa chadema kuwa itashirikiana nayo iwapo itaviingiza vyama vyote kwenye kambi hiyo.

Alipoulizwa itawezekanaje wakati chadema imeshaunda kambi ya upinzani na kuteua viongozi wake, alisema "jana (juzi) niliongea na mbowe (freeman) na anaweza kubadilisha kambi yake, nasi cuf tumetoa masharti ya kuungana nao ni kambi kuwa na vyama vyote na si cuf na chadema pekee," alisema hamad ambaye ni mbunge wa wawi, pemba."


sourcre:habarileo | sitta amwosia anne makinda

CUF wao waache tamaa,wao washaungana na CCM kule Zanzibar sasa wanataka nini tena??????????? Hawa CUF ni sawa na mwanamke anayetaka kuolewa na mabwana wawili,sasa CUF wao walishaolewa na CCM hawaridhiki tu, hawafikishwi kileleni??? CUF go to hell
 
Wana JF,

Ningependa kuongea na kuhoji swali la msingi kwa uongozi wa CUF, Ukiungana na Chama tawala na kuwa ndani ya serikari ya chama tawala nadhani unapoteza hadhi ya kuwa chama cha upinzani! sasa CUF nadhani watakuwa wamepoteza status ya kuwa opposition party kwa sababu wana maslahi ya kiutendaji na ki utawala ndani ya serikari ya CCM, Na ukizingatia wabunge wake wote isipokuwa wawili wanatoka Zanzibar na wapo kwa maslahi ya zanzibar hivyo wanafanya kazi kwa maslahi ya serikari yao ya CCM na CUF hivyo hawawezi kupinga mambo yanayosimamiwa na serikari yao, ni vizuri wabunge wa CUF wakaamua either kuwa independent au ku caucus na ccm, that will make sense.

Waache kucheza michezo ya akina dada poa! kwani mtaka yote kwa pupa moja humponyoka au hukosa yote
 
Tunajua chadema wanajiamini sana na wanajiona sana. yaani wao ndo wao. Wakati bunge lililopita CUF ilikuwa na wabunge wanaokidhi kuunda serikali kivuli chadema walikuwa na wabunge 11 tu lakini CUF iliwashirikisha na tena slaa alikuwa kiongozi msaidizi kambi ya upinzani bungeni. But they see they are every thing. lakini subirini mtaona yatakayowakuta. Nakisha watayaona. Aslani. Wala hatutarudi nyuma.
 
CUF my foot sharing a bed with an enemy. Nakuelewa kuwa unamsimamo usiolegalega kuhusu CUF. Tatizo ni kwamba Chadema wamechaguliwa na wananchi wa Tanganyika kwa kiwango hiki. CUF wamechaguliwa na Wapemba.

Ebu tueleze kambi ya upinzani Zanzibar ni ipi? Na wanapinga nini wakiwa ndani ya serikali hiyo hiyo?

Naomba tuheshimu mkondo unavyokwenda too hell with CUF in Tanzania mainland (Tanganyika)

Tatizo watu ni vigumu kukubaliana na hali halisi. CUF ni CCM vyote vinatawala. Na hivyo vyama vya NCCR na TLP sasa vimekuwa sehemu ya vyama tawala vya CCM na CUF. Chadema nidiyo chama pekee cha upinzani tulichonacho sasa. Bahati mbaya vyama hivyo vinaungana na CCM ambacho kimepigiwa kura na NEC.
 
waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga alipofika Tanzania Wapinzani walijitokeza kumpokea vizuri kama Muassisi wa Orange lakini akawakumbusha kuwa yeye sio mpizani tena kwani wameungana sasa mpizani ni Kanu , hata hivyo ni kazi mgumu kwa CUF kuungana na Chadema maana sio wapinzani tena kwa kuwa katibu kakubali kuteuliwa wala sio kuchaguliwa kwa hiyo ni chaguo la CCM huko Zanzibar wala sio chagua la kiushindani
 
Tunajua chadema wanajiamini sana na wanajiona sana. yaani wao ndo wao. Wakati bunge lililopita CUF ilikuwa na wabunge wanaokidhi kuunda serikali kivuli chadema walikuwa na wabunge 11 tu lakini CUF iliwashirikisha na tena slaa alikuwa kiongozi msaidizi kambi ya upinzani bungeni. But they see they are every thing. lakini subirini mtaona yatakayowakuta. Nakisha watayaona. Aslani. Wala hatutarudi nyuma.

Ngwendu, Bunge lililopita CUF hawakuwa na wabunge wa kutosha wala aasilimia 12% kuweza kuunda kambi ya upinzani hivyo ilikuwa lazima waungane na chadema kuunda kambi ya upinzani, BUNGE LILILOPITA CUF walikuwa na wabunge 38 tu hivyo walikuwa hawatoshi kuunda official kambi ya upinzani pekee yao they needed another party kukidhi hiyo idaddi ya asilimia 12% therefore kama CUF wangekuwa na idadi kamili ya wabunge basi wangeweza kuunda kambi hiyo bila kushirikisha chadema, hata hivyo kutokuwa kwenye uongozi wa kambi ya upinzani sio kwamba upinzani wao umekoma la hasha! vile vile kushirikisha CUF wakati wao ni stakeholder na chama tawala wanaweza ku subbotage mambo muhimu bungeni kwani wamekwisha uungana na CCM, HIVYO KUWA ONBJECTIVE AND SEE THE BIG PICTURE KABLA YA KUANZA KULALAMA
 
Back
Top Bottom