Wingawinga
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 623
- 1,531
Kipindi fulani miaka ya nadhani late 80's na kurudi nyuma kulikuwa na Kiosk kimoja hapo Mitaa mbako baadae ikaja kuwa maeno ya Billicans club.
Ilikuwa wanauza Hamburgers matata sana, taste ya zile hamburge, ile beeef kile kitunguu na ile buns mpaka leo I can taste them.
Nani alikuwa owners wa hiyo kitu na alishia wapi, by now angekua na Chain ya hizo.
Ilikuwa wanauza Hamburgers matata sana, taste ya zile hamburge, ile beeef kile kitunguu na ile buns mpaka leo I can taste them.
Nani alikuwa owners wa hiyo kitu na alishia wapi, by now angekua na Chain ya hizo.