Buriani Ali Abdul Mufuruki, Mhandisi mwenye mapito mengi kwenye Biashara

Buriani Ali Abdul Mufuruki, Mhandisi mwenye mapito mengi kwenye Biashara

Marehemu Ali alikuwa na ndoto ya kuwa mwenyekiti wa sekta binafsi, lakini nafaisi ilipo patikana mwaka 2018, alifuatwa na Sembeye kuombwa kugombea nafasi hiyo AKAKATAA NA KUSEMA SIO SASA NINA MAMBO MENGINE YA KUFANYA kauli hii kaongea Simbeye kwa uchungu sana mpaka amelia.

Lazima kuna kitu Ali alimwambia hasa kwa kuwa utawala wa awamu hii umeamua kuwatesa matajiri, akaona asiwe sehemu ya kuwafanya waishi kama mashetani, maskini Ali alijua sekta inaenda kufa na hakutaka imfie yeye. Halafu mtu anaandika amesikitishwa sana na kifo cha mtu alietaka awe shetani. Unafiki.

Na Vodacom pia....alisitisha mkataba wake kama Mwenyekiti wa Bodi
 
share nasisi ushauri wake pls...
kwamba alikuwa na hoja nzuri watu wazidi kuishi mabondeni?
Nisaidie nijifunze something mkuu
Sinayo kwa sasa, ila alikua anaonesha namna bora ya kukabiliana na tatizo la maji mabondeni ki-science zaidi, bila ya kuleta athari yoyote kwa mali na watu, kwa mfano kujenga mifreji na mabwawa etc. I was so impressed. Mungu amrehemu kwa mawazo yake mema ya kuwahurumia binadamu wenzake Inshalah.
 
Barbarosa, Nikushauri acha kubwabwaja vitu ambavyo uvijui,Ali ni mmoja wa mabilionea maarufu ambao hawakuwa na majigambo wala tambo na ndio sababu kilaza kama wewe umeshindwa kumtambua , Ali ameajiri watu wengi tu ingia chimbo kuhusu Ali utaona makampuni yake ,acha kuonyesha upumbavu kwa kukurupuka .
 
Wengine tunawasikia wakiwa wamekufa tayari. Rest in peace comrade Ali!
 
Thanks... Naamini alikuwa na mawazo mazuri
Sinayo kwa sasa, ila alikua anaonesha namna bora ya kukabiliana na tatizo la maji mabondeni ki-science zaidi, bila ya kuleta athari yoyote kwa mali na watu, kwa mfano kujenga mifreji na mabwawa etc. I was so impressed. Mungu amrehemu kwa mawazo yake mema ya kuwahurumia binadamu wenzake Inshalah.
 
Ati naye alikuwa miongoni mwa wale waliokuwa wamepangisha vyumba vya hoteli fulani fulani mjini permanently? Yaani room inajulikana ni ya kwake na amelipia mwaka mzima? Wengine wanadai rooms hizo zilikuwa machinjio.
Na majina ya hizo hoteli wengine wanayajua moja baada ya nyingine.
Na hata mkulu aliwahi kusema katika moja ya hotuba yake kuwa watu wa aina hiyo amewakomesha, wanaisoma namba!
Machinjio kivipi sijaelewa
 
Huzi ndo akili za watz jamani!kuomba kupunguziwa bei ndo alikua ameyumba kiuchumi?jaribu kufikiria upya..au la unajitibu maumivu yako ww kwa kumsukumizia mtu baki!...unajipa relief!pole hata hvyo!😊
If you see an iceberg you only see 10% forgetting 90% below the surface of the ocean.
i have known the late for the past 15yrs. only few have been said.

NB: Kukosekana kwa ufasaha katika maneno yako kunakupunguzia credibility
ya kuona mambo (vision) katikati ya mistari.Poole sana!
 
Chuki mara zote hupofusha akili. Msomi akaonekana mjinga.
Mtu mwenye hekima hujipa muda wa kutafakari, akayaona mawazo ya mwenzio na kujenga hoja madhubuti. Kisha kabla ya ku-post akarejea alichokiandika akajiridhisha na kutuma.
 
Acha kutulisha matango pori!!!praise team!!!Ruge vs konda,mengi suporting membe foi presidency,mufuruki vs sera ya viwanda bila malighafi ya kilimo,anauliza kilimo kwanza kiko wapi ili kusapoti viwanda??????
Acha kuwa wakala wa shetani kila nafsi itaonja mauti.
 
If you see an iceberg you only see 10% forgetting 90% below the surface of the ocean.
i have known the late for the past 15yrs. only few have been said.

NB: Kukosekana kwa ufasaha katika maneno yako kunakupunguzia credibility

ya kuona mambo (vision) katikati ya mistari.Poole sana!

Watu wanaongea tu Mkuu. Nimesoma post nyingi lkn huyu jamaa watu hawamjui vizuri. Kuna mengi hayajasemwa pengine wengi wamemjua juzi juzi kuna thread moja ya 2008 hivi kuhusu jamaa mkiipata mtapata mwanga.
 
Watu wanaongea tu Mkuu. Nimesoma post nyingi lkn huyu jamaa watu hawamjui vizuri. Kuna mengi hayajasemwa pengine wengi wamemjua juzi juzi kuna thread moja ya 2008 hivi kuhusu jamaa mkiipata mtapata mwanga.
Mkuu ilete hapa
 
Kiranga,
Mkuu unatumia muda wako vibaya, kudadavua kuhusu nyumba kuuzwa kuwa ni ufisadi si haki, maana hakuna siku huyu mkuu wa nchi anae chukia ufisadi aliwahi kukiri kuwa kuuzwa nyumba za serikali ni ufisadi.
 
Any proof Lissu kapigwa na wanaccm?
Anyway unaweza kupinga kuwa Lissu was inside job?
Ungerekebisha kama kuna tatizo la gramma ili niuone uwezo wako!!!!kama TUNDU LISSU,IMRAN KOMBE WOTE WALIPIGWA RISASI!!!TUNA WAAMINIJE WANACCM????
 
Back
Top Bottom