Niccolo Machiavelli
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,881
- 3,647
Marehemu Ali alikuwa na ndoto ya kuwa mwenyekiti wa sekta binafsi, lakini nafaisi ilipo patikana mwaka 2018, alifuatwa na Sembeye kuombwa kugombea nafasi hiyo AKAKATAA NA KUSEMA SIO SASA NINA MAMBO MENGINE YA KUFANYA kauli hii kaongea Simbeye kwa uchungu sana mpaka amelia.
Lazima kuna kitu Ali alimwambia hasa kwa kuwa utawala wa awamu hii umeamua kuwatesa matajiri, akaona asiwe sehemu ya kuwafanya waishi kama mashetani, maskini Ali alijua sekta inaenda kufa na hakutaka imfie yeye. Halafu mtu anaandika amesikitishwa sana na kifo cha mtu alietaka awe shetani. Unafiki.
Na Vodacom pia....alisitisha mkataba wake kama Mwenyekiti wa Bodi