Buriani Hassan Chikusa msomi mkimya

Buriani Hassan Chikusa msomi mkimya

Ama kwel sasa mbona hapa sudan karb na royal girrafe hotel kama unaelekea temeke hospital kutokea sudan upande wa kulia kuna msikiti afu kuna uchichoro hapo hapo msikitini ni kama dakika moja tuu kutoka msikitini unakutana na nyumba za wahaya wanajiuza[emoji56][emoji1787][emoji2957][emoji2957]
Ukahaba ,ni biashara haramu kwa tamduni zetu za ki Africa. Na kiimani watu wamekatazwa kukaribia zinaa.

Kati kushughulika na mambo kunaitaji kupima , ndiyo maana Kuna Option 3ndani ya uislam.

Umeambiwa unapo una udhia
1 :uondoe kwa mkono wako.
2:ukishindwa kuondoa kemea.
3:umeshindwa 1&2bas sikitika lakini hii ni dhaifu.

Sasa hapo unapo sema , sio kwamba wa Islam wamefrahi, hapana ,wameamua kuacha 1 nakuchagua 2au tatu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Dunia ina mitihani sana...kamuachia majanga mwenzake
Tangawizi,
Unadhani kwa kusema hayo ndiyo Mimi nitaonekana mpuuzi?

Mimi ndiye niliyeshika serikali iliyokuwa haijali matatizo ya jamii kiasi kusababisha chuki?

Rejea kwenye shura ndani ya Msikiti wa Mtoro pale Waziri Ramadhani alipowaeleza Waislam kuwa Allah ameleta mtihani kuwapima kama wapo tayari kuipigania dini yake.

Hapa ndipo ningependa wewe ujiweke katika nafasi ya Waislam ambao viongozi wao wamekamatwa usiku wa manane kwa fedheha kubwa na kutiwa korokoroni.

Chukulia kuwa hawa ni Polycarp Pengo kaingiliwa nyumbani kwake na askari na kupigwa pingu akatupwa nyuma ya Land Rover kama jambazi.

Huenda wewe ukashindwa kuelewa historia ya Waislam katika kupigania uhuru ambao waliamini ukija utawanufaisha.

Uhuru umekuja na haya ndiyo matokeo yake.

Je vipi hawa masheikh waliokuwa korokoroni na Waislam wengine ni mie pia ndiye niliyewaletea janga?

Umeweka vipicha vya watu wanacheka.
Hili si jambo la vichekesho.

Huu ulikuwa msiba mkubwa.

Hakupita muda likatokea janga la Mwembechai na damu ya Waislam ikamwagika.

Hapo watu wenye fikra wakatambua kuna tatizo ndani ya jamii yetu.

Haukupita muda likatokea janga jingine la Dibagula na Waislam wakaandamana tena na yakatokea mapambano mengine.

Tuliza kichwa chako na fikiri kwa nini imekuwa hivi nchi ilikuwa inaelekea wapi?

Hawa wenye kuandamana wanasema sisi ndiyo tuliokuwa mstari wa mbele kupigania uhuru wa Tanganyika.
 
Siku hii ya Jumapili yaani Easter Sunday mimi ndiyo niliingia Dar es Salaam nikitokea Le Havre, Ufaransa nikaja Paris kwa muda wa siku mbili kisha nikaenda London kisha Cardiff na kurejea London kupanda ndege kurudi Dar es Salaam.
Donnie...
Kipande hiki umekipenda?

Nakuongeza kipande kingine.
Nilikuwa London na Glasgow 1991.

Nikarejea tena Uingereza 1992 kwa kipindi kirefu na nikazunguka kwingi hadi North Sea.

Nikarudi Dar es Salaam.
Ndiyo nikaenda Le Havre.

Kuna mtu kanishikilia anataka kuandika maisha yangu anasema nina mengi.

Mimi jibu langu ni kuwa sina kitu.
Sasa yeye anataka kuniandika kwa hiyo nimemwambia nitakuwa "detailed," katika kuandika kwangu ili anifahamu.

Ikiwa hii umeipenda nifahamishe.
Nina mengi na picha nyingi.
 
Donnie...
Kipande hiki umekipenda?

Nakuongeza kipande kingine.
Nilikuwa London na Glasgow 1991.

Nikarejea tena Uingereza 1992 kwa kipindi kirefu na nikazunguka kwingi hadi North Sea.

Nikarudi Dar es Salaam.
Ndiyo nikaenda Le Havre.

Kuna mtu kanishikilia anataka kuandika maisha yangu anasema nina mengi.

Mimi jibu langu ni kuwa sina kitu.
Sasa yeye anataka kuniandika kwa hiyo nimemwambia nitakuwa "detailed," katika kuandika kwangu ili anifahamu.

Ikiwa hii umeipenda nifahamishe.
Nina mengi na picha nyingi.
kwa hiyo easter ulikula huko?
 
Kuna vitu huwezi toa amri wengine waviache kisa dini yako imekataa wakati dini zingine zinakubali hicho kitendo cha kuvunja bucha ata mimi sijakifurahia kwani Waislamu walishundwa nini kuwa wanazipita mbali hizo bucha
Mnyatiaji,
Baada ya yote yale kutokea mimi binafsi nilikaa n kuwaza kama ilikuwapo njia nyingine kuepusha shari ile.

Sisi wenyewe Waislam tumepata kulizungumza suala lile kwa kirefu sana.
Fikra zinatofautiana.

Lakini usilitazame tatizo la mabucha peke yake.

Angalia na maandamano mengine ya Waislam na jiulize kwa nini wamefikishwa pale nani muhusika katika matatizo haya?

Iulize nafsi yako na jiweke katika hali ya Waislam.
Mathalan tatizo la Baraza la Mitihani (NECTA)na hujuma dhidi ya shule za Kiislam.

Waislam waliandamana na walikuwa na ushahidi wa hali iliyokuwapo ndani ya Baraza la Mitihani chini ya Dr. Ndalichako.

Serikali ilipiga marufuku maandamano yale lakini Waislam walikaidi na wakaandamana.

Sheikh Ponda ndiyo aliongoza maandamano yale.

Serikali ilishindwa kuwashambulia waandamanaji.
Sababu akili za serikali zilirudi zikakaa sawa.

Wataalamu wao waliwaeleza kuwa Waislam wana ushahidi wa dhulma dhidi yao ndani ya NECTA.

Serikali isIpokuwa makini matatizo yatakuwa makubwa.

Nilikuwapo katika maandamano yale nikipiga picha na kurekodi sauti.
Ninazo picha za mabango yaliyokuwapo katika maandamano yale.

Yamebeba kiini cha tatizo tulilonalo Tanzania kama nchi.
 
Mnyatiaji,
Baada ya yote yale kutokea mimi binafsi nilikaa n kuwaza kama ilikuwapo njia nyingine kuepusha shari ile.

Sisi wenyewe Waislam tumepata kulizungumza suala lile kwa kirefu sana.
Fikra zinatofautiana.

Lakini usilitazame tatizo la mabucha peke yake.

Angalia na maandamano mengine ya Waislam na jiulize kwa nini wamefikishwa pale nani muhusika katika matatizo haya?

Iulize nafsi yako na jiweke katika hali ya Waislam.
Mathalan tatizo la Baraza la Mitihani (NECTA)na hujuma dhidi ya shule za Kiislam.

Waislam waliandamana na walikuwa na ushahidi wa hali iliyokuwapo ndani ya Baraza la Mitihani chini ya Dr. Ndalichako.

Serikali ilipiga marufuku maandamano yale lakini Waislam walikaidi na wakaandamana.

Sheikh Ponda ndiyo aliongoza maandamano yale.

Serikali ilishindwa kuwashambulia waandamanaji.
Sababu akili za serikali zilirudi zikakaa sawa.

Wataalamu wao waliwaeleza kuwa Waislam wana ushahidi wa dhulma dhidi yao ndani ya NECTA.

Serikali isIpokuwa makini matatizo yatakuwa makubwa.

Nilikuwapo katika maandamano yale nikipiga picha na kurekodi sauti.
Ninazo picha za mabango yaliyokuwapo katika maandamano yale.

Yamebeba kiini cha tatizo tulilonalo Tanzania kama nchi.
Tukienda kwenye ukweli..nahisi mna tatizo la inferiority complex..plus ujinga.

Suala la mitihani hata kwa jicho la kawaida tu..jamii nyingi za waislamu haziwekezi kwenye elimu dunia bali elimu ahela...sasa unaposema wanafanyiwa figisu kwenye mitihani..nadhani hii hoja yako haina mashiko kabisa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Tukienda kwenye ukweli..nahisi mna tatizo la inferiority complex..plus ujinga.

Suala la mitihani hata kwa jicho la kawaida tu..jamii nyingi za waislamu haziwekezi kwenye elimu dunia bali elimu ahela...sasa unaposema wanafanyiwa figisu kwenye mitihani..nadhani hii hoja yako haina mashiko kabisa.

#MaendeleoHayanaChama
Nakujibu kwa kuwa swali ni la kiungwana.
Waislam hatujapata kuwa na complex ya aina yoyote.

Nakueleza hili kwa uhakika kwa kuwa nawajua Waislam nini wamefanya katika historia ya Tanganyika kuanzia kukabiliana na wakoloni hadi uhuru ulipopatikana mwaka wa 1961.

Waislam hawajapata kuwa wajinga kwa namna yoyote.

Waislam ni wa kwanza kujua zile 3Rs yaani Reading, Writing na Arithmetic.

Baada ya uhuru ndiyo jamii pekee iliyotaka mwaka wa 1968 kujenga Chuo Kikuu kupitia East African Muslim Welfare Society (EAMWS) lakini kwa bahati mbaya mradi ukahujumiwa.

Inaandikwa "akhera," si ahela.

Tulichokuwa tunajenga ni Chuo Kikuu si madrasa.
 
Nakujibu kwa kuwa swali ni la kiungwana.
Waislam hatujapata kuwa na complex ya aina yoyote.

Nakueleza hili kwa uhakika kwa kuwa nawajua Waislam nini wamefanya katika historia ya Tanganyika kuanzia kukabiliana na wakoloni hadi uhuru ulipopatikana mwaka wa 1961.

Waislam hawajapata kuwa wajinga kwa namna yoyote.

Waislam ni wa kwanza kujua zile 3Rs yaani Reading, Writing na Arithmetic.

Baada ya uhuru ndiyo jamii pekee iliyotaka mwaka wa 1968 kujenga Chuo Kikuu kupitia East African Muslim Welfare Society (EAMWS) lakini kwa bahati mbaya mradi ukahujumiwa.

Inaandikwa "akhera," si ahela.

Tulichokuwa tunajenga ni Chuo Kikuu si madrasa.
Tuachane na hayo yakale..tuje kwenye uhalisia wa sasa..bado jamii nyingi za waislamu hazina mwamko wa kielimu kabisa..bali elimu ahela hivyo kupelekea idadi ndogo sana ya wasomi katika ngazi za juu.

Nadhani kwahili halihitaji hiyo historia ya kale bali nikutazama mambo katika uhalisia wa sasa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mnyatiaji,
Baada ya yote yale kutokea mimi binafsi nilikaa n kuwaza kama ilikuwapo njia nyingine kuepusha shari ile.

Sisi wenyewe Waislam tumepata kulizungumza suala lile kwa kirefu sana.
Fikra zinatofautiana.

Lakini usilitazame tatizo la mabucha peke yake.

Angalia na maandamano mengine ya Waislam na jiulize kwa nini wamefikishwa pale nani muhusika katika matatizo haya?

Iulize nafsi yako na jiweke katika hali ya Waislam.
Mathalan tatizo la Baraza la Mitihani (NECTA)na hujuma dhidi ya shule za Kiislam.

Waislam waliandamana na walikuwa na ushahidi wa hali iliyokuwapo ndani ya Baraza la Mitihani chini ya Dr. Ndalichako.

Serikali ilipiga marufuku maandamano yale lakini Waislam walikaidi na wakaandamana.

Sheikh Ponda ndiyo aliongoza maandamano yale.

Serikali ilishindwa kuwashambulia waandamanaji.
Sababu akili za serikali zilirudi zikakaa sawa.

Wataalamu wao waliwaeleza kuwa Waislam wana ushahidi wa dhulma dhidi yao ndani ya NECTA.

Serikali isIpokuwa makini matatizo yatakuwa makubwa.

Nilikuwapo katika maandamano yale nikipiga picha na kurekodi sauti.
Ninazo picha za mabango yaliyokuwapo katika maandamano yale.

Yamebeba kiini cha tatizo tulilonalo Tanzania kama nchi.
Kwanini shule nyingi za kiislam zinaongoza kushika mkia?
 
Nyama ipo ndani ya bucha,
Kula hamli nyie,
kuuza hamuuzi nyie,
kuchinja hamchinji nyie,
Nchi sio ya kiislamu,
Wamiliki wanalipa kodi,
Kilichowawasha ni nini hasa?
Mngehukumiwa kunyongwa kabisa
Screenshot_20220702-090202.jpg
 
Nyama ipo ndani ya bucha,
Kula hamli nyie,
kuuza hamuuzi nyie,
kuchinja hamchinji nyie,
Nchi sio ya kiislamu,
Wamiliki wanalipa kodi,
Kilichowawasha ni nini hasa?
Mngehukumiwa kunyongwa kabisaView attachment 2310767
Kwahili walikosea sana..hapa ndio mana huwa nashindwa kuwaelewa hawa waumini wa dini hii...hupenda sana chokochoko na kulialia wanaonewa.

Wanapenda kukuza vitu vidogo sana visivyo hata na maana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwanini shule nyingi za kiislam zinaongoza kushika mkia?
Mrs Lissu,
Sababu ziko nyingi.
Kuna tatizo la umasikini wa Waislam.

Hapa utauliza kwa nini Waislam ni masikini?
Waislam wamebanwa katika fursa za nchi hasa elimu.

Ukiwa huna elimu huwezi kushindana katika kuajiriwa.
Kwa nini Waislam hawana elimu kuna hujuma dhidi yao toka uhuru.

Mgao wa serikali ni 20:80.
 
Kwahili walikosea sana..hapa ndio mana huwa nashindwa kuwaelewa hawa waumini wa dini hii...hupenda sana chokochoko na kulialia wanaonewa.

Wanapenda kukuza vitu vidogo sana visivyo hata na maana.

#MaendeleoHayanaChama
Waislam hatupendi chokochoko lete ushahidi.

Tutumie lugha za kiungwana tujiepushe na lugha "kulialia," huu ni mjadala muhimu sana.

Mimi niko hapa kukufahamisha yale ambayo naamini huyajui.

Tujikinge na kejeli.
 
Back
Top Bottom