Buriani Hassan Chikusa msomi mkimya

Waislamu weusi wajingas sana mtume Muarabu muuza watumwa hawatambui kamweee!...na hata hako ka yesu kazungu kakoloni hakawataki wakristo!!

weusi mmekimbia dini yenu ya kweli...pamoja na Biblia kuwafunuia mambo meeengi lkn Bado…….Torati ya Musa inasema '' Mtarudishwa Misri kwa mitumbwi na huko Mtaabudu msicho kijua''' na kweli Anglia mlivyoooo!
 
kama mabucha 🐷🐷yapo kati ya makazi ya waislamu wengi na yanauza nini tafsiri yake? Wateja walikuwepo, maana wasingekuwepo yangefilisika. Kama wakazi wengi ni waislamu na ngurue anaisha nani ananunua 🀣 🀣 🀣 🀣
 
Mzee ulikimbia aisee, haiwezekani uhudhurie shura pamoja na Hassan Halafu Hassani akamatwe we muda mchache usionekane eti umeitwa Nairobi, kumbuka kwenye stori ya kuna shehe mkuu alikamatiwaa njiani akitorokea Nairobi wakamrudisha Dar (ulidai alikuwa anaenda kwenye matibabu)
 
Mzee makala yako ni ndefu lakini haujatueleza "USOMI" wa Hassani Chikusa kwamba alikuwa na elimu gani ya juu? ya dini au secular, ila maelezo yako yameegemea kwenye harakari za waislamu kuvunja mabucha na kupambana na polisi.
 
Nenda kaweke bucha lako uone km manispaa itakupa kibali,
Mgeni wewe nenda pale kwenye kituo cha mwendokasi magomeni mapipa upande wa kushoto kama unaenda mjini vuka fremu za masonara utakutana na madalali wa magari kuna Bar inajaza kuanzia sa4 asubuhi kuna mdudu saaafi kabisa 🐷🐷🐷
 
Mwenyezi Mungu amlaze marehemu mahali pema peponi.

Back to the point. Mimi nimezaliwa katika familia ya kiislamu but i am regretting to tell all christians and muslims wherever they are that religion is an opium of poor people..

Mwenyezi Mungu hana dini wala hatambui dini yoyote.

Mambo ya dini ni ujinga wetu tu wa hapa duniani.

Ona kama hiyo ishu ya watu kupoteza maisha mwembechai mwaka 98.

People were killed over bullshit
 
Daah moyo wangu huumia sana napopata historia juu ya maonevu wanayoyapitia waislamu hapa nchini.Ndani ya Tanzania waislamu ndiyo jamii pekeee iliyoumizwa Mara nyingi zaidi huku wakiwa dhariri na hakuna wa kuwatetea.
 
Ndani ya Tanzania waislamu ndiyo jamii pekeee iliyoumizwa Mara nyingi zaidi huku wakiwa dhariri na hakuna wa kuwatetea.
Pole mkuu wakati mashehe wa uamsho wanakamatwa wafuatao walibariki na walikuwa waislam
1. Rais JK
2. IGP said Mwema
3. Mwanasheria mkuu wa serikali. Othman
4. Viongozi wote wa serikali wa Zanzibar
 
shida sana waislam ndio mmesababisha hata Nigeria hapakaliki kwa itikadi zenu za kijinga..NB: SINA DINI
 
Mtu hawezi fungua biashara sehemu ambayo anajua hawezi pata wateja automatically hayo maeneo wateja wapo haijalishi Imani yao. Kazi iendelee
 
We jamaa ni hazina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…