Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huko london frankfurt unafwata nini kwà wakristo si ukaishi maka madina na jedaKII,
Mimi utaalamu wangu uko katika historia ya Uislam.
Hii ndiyo sababu kila unaposoma utawasoma.
Labda ungeniuliza kwa nini nimesoma somo hili?
Sababu ni kuwa wanahistoria wetu walipuuza historia ya Waislam kiasi yote ilifutika.
Mimi nikaamua kutafiti na kuiandika.
Ikiwa wewe unakereka na hili acha tu kusoma post zangu.
Kuna utofauti baina kufanya kitu public na private, huko ulipotembelea kitimoto kipo ila hawauzi public na pia hawawauzii waisilamu bila wao kujua.Tanzania ina Waislamu wa ajabu sana. Nakiri mimi ni Mkristu ila nimebahatika kutembea vya kutosha kwenye nchi za Kiislamu kama Malaysia, Indonesia, Dubai, Iran, Abu Dhabi, Sudan na Turkey.
Nakiri kuwa nimewahi kula nyama ya nguruwe kwenye hoteli za 5 Star nchini Dubai, Malaysia na Turkey. Ni aibu kwa Waislamu wa Tanzania kuanzisha vurugu sababu ya mboga.
Sasa huyu marehemu Hassan Chikusa pengine kwa kupoteza kazi NBC sababu ya ujinga wa kuvunja mabucha kunaweza kukawa kulimuathiri kwa kipato na akashindwa kulea familia yake vizuri including kiwapa elimu wanae.
Lesson Learnt:
Muislamu usile nyama ya nguruwe kwa vile ni haramu period, lakini usihangaike na Wala nguruwe na mali zao.
Palestina si Nchi ya kiisilamu, huwa nashangaa sana wabongo wanaodhani Palestina kule wanaoteswa ni waisilamu tu. Kuna mapadri kibao na wao wanakula kisago, huyu mwandishi wa juzi aliekuwa assasinated pia si muisilamu.Kwa mfano J K Nyerere alikuwa ni Mkatoliki safi lakini kwenye suala la Palestine alikuwa ni supporter kuhusu wao kuwa na nchi yao dhidi ya uvamizi wa Israel. Ndiyo maana akawapa na ruksa ya kufungua UBALOZI Tanzania
Zanzibar kweli sehemu gani[emoji16][emoji16][emoji16]nilishangaa sana nilipo kwenda znz nilikikuta tena kwa wingi tu
Sizani kama kutakuwa na ukweli unaposema "wanawauzia waislam bila kujua"Kuna utofauti baina kufanya kitu public na private, huko ulipotembelea kitimoto kipo ila hawauzi public na pia hawawauzii waisilamu bila wao kujua.
Sikuwa na fahamu kipindi hicho cha mabucha, ila kuchanganya nyama na kuwauzia waisilamu kitimoto bila ufahamu wao si jambo la kistaarabu hata kama wewe ni mkristo unatakiwa ulikemee.
Kama kuna demand ya mabucha ya Nguruwe yawe ni ya nguruwe na yatambulike ili musilamu ayaepuke.
Nimetoa kwenye uzi wa mzeeSizani kama kutakuwa na ukweli unaposema "wanawauzia waislam bila kujua"
Madai hayo yangekuwa ya ukweli endapo zingevunjwa bucha zote lakini mtoa mada amesema kuvunjwa kwa mabucha ya kitimoto.
Kwa tafsiri hiyo ni kwamba mabucha hayo yalikuwa targeted na yanafahamika kuwa yanauza kitimoto.
Kifupi waislamu wavunja mabucha ya nguruwe walikuwa waislamu wachache ulilinganisha na idadi ya waislamu wala nguruweViongozi walitupa lawama kwengine na kusema kuwa waliovunja mabucha nia yao ilikuwa kupindua serikali.
Je, huoni kuwa hapo yapo mengi ya kujifunza?
Inferiority complex jumlisha na ujinga ndio vinavyowasumbua...kwa akili ya kawaida unaenda vunja biashara za watu katika nchi ambayo ni non secular huo sio upunguani na kuukosa akili.Daah moyo wangu huumia sana napopata historia juu ya maonevu wanayoyapitia waislamu hapa nchini.Ndani ya Tanzania waislamu ndiyo jamii pekeee iliyoumizwa Mara nyingi zaidi huku wakiwa dhariri na hakuna wa kuwatetea.
Wewe kila mara ukibanwa unakuja na haya majigambo yako ulialikwa chuo fulani Ughaibuni, lakini ujue wewe upo upande mmoja tu wa Story. Hao wanaokualika huko wanaalika Wasomi wengine wenye alternative views and theories, halafu wanaaacha audience ku balance na kung'amua ukweli upo wapi. Kwahiyo usijidai kwamba umealikwa vyuo kadhaa wa kadhaa Ughaibuni, wewe hao wanaokualika tayari wanajua upo upande gani, plus na sisi tunajua wewe ni Islamic activist ,and intellectual objectivity isn't your forte.Hui...
Nimewasilisha mada nzima Kenyatta University kuhusu sakata la kuvunjwa kwa mabucha ya nguruwe.
Mimi ukiniulliza kwa nini hili lilitokea nitakwambia kuwa serikali ililishughulikia vibaya tatizo hili.
Watendaji walikosa busara.
Wewe si umefanya utafiti wako wa undani zaidi wa ule wa Polisi, hadi ukaitwa Chuo Kikuu kutoa lecture? Basi mtaje huyo kijana wa Kiislamu, jina la bucha aliyouziwa nyama ya nguruwe badala ya ng'ombe/mbuzi, siku, saa na mazingira yaliyojiri hadi kupelekea kuchukua nyama ya nguruwe badala ya ng'ombe/mbuzi?Loyol...
Maswali kama haya si lazima nijibu mimi unaweza hata wewe mwenyewe kufanya utafiti utapata majibu unayoyatafuta.
Wajomba zangu wawili Sheikh Pazi na Shomari Lupindo wakiishi Manzese kwa miaka mingi toka mimi ni mtoto na sasa nina miaka 70.
Kwa hiyo naijua Manzese vizuri sana.
Nimezaliwa Dar es Salaam.