Buriani Kambale, umetesa sana Ukonga

Buriani Kambale, umetesa sana Ukonga

Huyu kambale amenikumbusha Jambazi moja sugu alikuwa anaitwa Ramadan ngonji!
Enzi za kova rpc alimpigaga wanted,
Ngoji alihukumiwa Miaka 8 jela ila alikaaga Ndani miezi 2 akatoka kimipango hku hukumu yke inaendelea..... Cha ajabu aliendelea kufanya uhalifu na wazee walikuwa Wanamtafuta
Ila Mimi nlikuwa na zali ya kukutana naye usiku mnene maana mm siku zote ni mtu wa nightmare
Ngonji alikuwa anatumiaga pikipiki kubwa 250
Kna siku nlikuwa narudi nko mtungi nakutana naye kwenye open space jirani na de mug hotel Kino...... Kalala juu ya pikipiki huku iko on inanguruma......akaniita Jina langu la mtaa(----) kuchek ngonji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa ndy mwanzilishi wa uwizi wa kutumia pikipiki..... Sema siku yke ilifika wazee walimuaa
Maana walimchokaga

Ova
Mkuu wewe inabidi uje uanzishe special thread ya harakati zako za mjini huwa nakuelewa sana
 
Tatizo jamaa wanakuwaga na TAG Ubavu, unamzabua mmoja crew yao inawasaka kimya kimya kila mmoja anakula kichapo kama sio kuumizwa vibaya af ukute huyo kambale alikuwa mtu wa Dojo kwa sana kama vijana wa keko ujue utaumia tu.
Wanaume wa dar bure kabisa. Yaani kibaka anaeiba bodaboda na kukaba watu mnamuita jambazi.
Na mlikuwa mnamjua kabisa, mmesubiri mpaka mambosasa atie maguu ndie mje kushukuru hapa jf!
Hebu anzeni kupiga pushups mazee.
 
Huyu kambale amenikumbusha Jambazi moja sugu alikuwa anaitwa Ramadan ngonji!
Enzi za kova rpc alimpigaga wanted,
Ngoji alihukumiwa Miaka 8 jela ila alikaaga Ndani miezi 2 akatoka kimipango hku hukumu yke inaendelea..... Cha ajabu aliendelea kufanya uhalifu na wazee walikuwa Wanamtafuta
Ila Mimi nlikuwa na zali ya kukutana naye usiku mnene maana mm siku zote ni mtu wa nightmare
Ngonji alikuwa anatumiaga pikipiki kubwa 250
Kna siku nlikuwa narudi nko mtungi nakutana naye kwenye open space jirani na de mug hotel Kino...... Kalala juu ya pikipiki huku iko on inanguruma......akaniita Jina langu la mtaa(----) kuchek ngonji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa ndy mwanzilishi wa uwizi wa kutumia pikipiki..... Sema siku yke ilifika wazee walimuaa
Maana walimchokaga

Ova
Hongera Kaka, inaonekana hata mtaani kwako u maarufu pia
 
Uyu
Mshahara wa dhambi ni mauti.
JEHANUM HAIKO FR KWELI
UKISOMA MAANDIKO WE MZINZI MFIRAJI.MLEVI WOTE MNAKUTANA NA KAMBALE SIKUYA MWISHO DAH SIJUI HUKO NAKO ATAWANYONGA AMA KAH MJIANDAE TU
 
Huyu kambale amenikumbusha Jambazi moja sugu alikuwa anaitwa Ramadan ngonji!
Enzi za kova rpc alimpigaga wanted,
Ngoji alihukumiwa Miaka 8 jela ila alikaaga Ndani miezi 2 akatoka kimipango hku hukumu yke inaendelea..... Cha ajabu aliendelea kufanya uhalifu na wazee walikuwa Wanamtafuta
Ila Mimi nlikuwa na zali ya kukutana naye usiku mnene maana mm siku zote ni mtu wa nightmare
Ngonji alikuwa anatumiaga pikipiki kubwa 250
Kna siku nlikuwa narudi nko mtungi nakutana naye kwenye open space jirani na de mug hotel Kino...... Kalala juu ya pikipiki huku iko on inanguruma......akaniita Jina langu la mtaa(----) kuchek ngonji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa ndy mwanzilishi wa uwizi wa kutumia pikipiki..... Sema siku yke ilifika wazee walimuaa
Maana walimchokaga

Ova
Dah rip ngonji
 
mpwa HUKU kwetu ALIKUWA JAMAA MMOJA ANAITWA DULLAH ..HUYO AKIFANYA TUKIO LEO ANARUDI KILA BAADAYA SIKUSABA

SIKU MOJA NARUDI USIKU.MNENE NKAONA WATU WAKO KITUON NKAJUA WANASUBIRI BASI WEE...KUSOGEA MBELE NASIKIA SAUTI KAMA PANGA LINANOLEWA MPWAA NILIKIMBIA KURUKA KATIKATI KAMA MNAKUMBUKA NJIA YA UBUNGO KMR KUNA MITARO.MIKUBWA WALIJENGA MARA PAH NKAONA WATOTO WAMBWA WENGINE WANATOKEA MTARONI NIKAPIGA KELELE KYMBE DULA KANIONA BANA AKAITAOYAAA MWACHENI BR....HUYOOO..NKASIMAMA AKAITA TENA BR MM...DOH ROHO IKATULIA...AKAJA MWENYEWE BR UWE NA AMANI USIHOFU HAMNA MACHENJI ALINISINDIKIZA MPAKA MLANGONI NKAMPA 800

JAMAA AKAKOSEA AKAENDA KUIBA UDOM MARA YA KWANZA AKAFANIKIWA NA WENZIE

MARAYAPILI HII IKAWA.MIMBA WENZIE WAKAKIMBIA AKABAKI WEEE PIGÀ PIGA WAKAJUA AMEKUFA DULLAH
GAFLA AKANZA KUAMKA WATU WASHAONDOKA NASIKIA.MMOJA AKASEMA.TUMSACHI WAKAKUTA HIRIZI KINUNONI INAPUMUA WALIPOKATA TU PAH. DULA AKAKOSA NGUVU WALIMKATA VIPANDE VIPANDE MAITI IKAZIKWA HUKOHUKO

RRIP DULLAH
AT LIST WEZI WA NYUMBAN WALIKUWA NA UPENDO KIDOGO
 
Tatizo jamaa wanakuwaga na TAG Ubavu, unamzabua mmoja crew yao inawasaka kimya kimya kila mmoja anakula kichapo kama sio kuumizwa vibaya af ukute huyo kambale alikuwa mtu wa Dojo kwa sana kama vijana wa keko ujue utaumia tu.
Ila wMKUU WAKEKO KAMA SIO NA WANANCHI KUWACHOKA WANGEENDELEA NA SHIDA HIZIHIZI
 
Alimpapasa jamaa yangu huyu mwamba..
Mshkaji anafika geto miguu haitulii ni km bd anakimbiaaa....
Ngoja nimwambiee km ni kweli ataruka maana alikua anamlaani kila siku
sio kwa mbio zilee....
alimgeuza jamaa yangu mandera road.....
Hope akumnaniiiinooo NASIKIA ndioosifayake kama umenona
 
Alikuwa shemeji yako,mbona umeandika kimajonzi sana
 
USHAWAHI KWENDA MSIBAN UNAKUTA WATU WANALIA SANAA KUMBE WANALILIA MAREHEMU ZAO WALIOUWAWA NA KAMBALE ACHENI TU

NA NWENGINE WANAKWENDA KUHAKIKISHA N KWELI ANAFUKIWA AMA LAH
 
Duu nimeona fb
Q
Duh siamini ila sasa nimejua kila.mjanja ana mjanja wake. Huyu jambazi katesa sana watu kaua sana madereva wa bodaboda za Mombasa.

Alikuwa akikamatwa anafikishwa polisi mnajua anaishia huko wiki inayofwata anatoka na kufanya mara mbili ya aliyofanya huko nyuma.

Pongezi kubwa Mh. Mambosasa na kikosi kazi chako. Nahisi wote waliokuwa naye sasa wataacha
Lala Kambale pumzika dunia ilishakuchoka.
 
Back
Top Bottom