Buriani Kambale, umetesa sana Ukonga

Buriani Kambale, umetesa sana Ukonga

May his soul Roast In Eternal Fire/Hell.

Mliowahi kukabwa semeni "Amen!"
 
May his soul Roast In Eternal Fire/Hell.

Mliowahi kukabwa semeni "Amen!"
Kunywaa eneeegiiiiii najalipa
Nimeipendaa sanaa najuaa wahangaa wanahaha KUJUA maziko wapiii NAOMBA niiwape namba ya kutuma Rambi rambi tafadhalii HILO ndiloo.muhimu zaidii
 
Duh siamini ila sasa nimejua kila.mjanja ana mjanja wake. Huyu jambazi katesa sana watu kaua sana madereva wa bodaboda za Mombasa.

Alikuwa akikamatwa anafikishwa polisi mnajua anaishia huko wiki inayofwata anatoka na kufanya mara mbili ya aliyofanya huko nyuma.

Pongezi kubwa Mh. Mambosasa na kikosi kazi chako. Nahisi wote waliokuwa naye sasa wataacha
Lala Kambale pumzika dunia ilishakuchoka.

Kumuua au Kuuwawa kwa huyo pekee hakutoshi Mkuu kwani ilitakiwa hata Mapolisi wa hapo Kituoni nao ikiwezekana Wauwawe nae kwani hakuna asiyejua kuwa kwa Jeuri za huyu Jambazi ni lazima tu katika hizo harakati zake Ovu alikuwa anashirikiana na baadhi ya Askari Polisi wasio na Maadili ama kwa kiasi fulani au moja kwa moja. Na ninavyojua ukiona hadi Jambazi Sugu kama huyo anauwawa jua kuna Mtu hakupewa Mgawo wake ndiyo akamchomesha au waliomuua walishaona na kuhisi kuwa Siku zake zinahesabika hivyo kama akija Kukamatwa basi akihojiwa Kijeshi atawataja wote hivyo wameamua Kumtanguliza Peponi ili Kujilinda na Kupoteza Ushahidi.
 
Duh siamini ila sasa nimejua kila.mjanja ana mjanja wake. Huyu jambazi katesa sana watu kaua sana madereva wa bodaboda za Mombasa.

Alikuwa akikamatwa anafikishwa polisi mnajua anaishia huko wiki inayofwata anatoka na kufanya mara mbili ya aliyofanya huko nyuma.

Pongezi kubwa Mh. Mambosasa na kikosi kazi chako. Nahisi wote waliokuwa naye sasa wataacha
Lala Kambale pumzika dunia ilishakuchoka.
Jamaa alikuwa Kiongozi wa Greenguard ya UVSSM kitaa kwao
 
Kama anaye-deal na bodaboda anaitwa jambazi, na wale ambao kuna siku walituvamia benki wakiwa na AK47 pamoja na mabomu ya kurusha kwa mkono tuwaitaje?!

Huyo ni mwizi tu anayetumia silaha dhidi ya raia wasio na silaha... pumbavu zake!
Mind you, mtoa hoja amesema kuwa jamaa alishaua watu kadhaa katika huo "wizi" wake. Sina uhakika sana wa utenganishi kati ya mwizi na jambazi unaanzia wapi.... Ila mtu ambae anafanya matukio ya uuaji wakati anatimiza lengo lake la wizi, mimi ningemuita JAMBAZI. Chige
 
Hahahahahahah, alikula mfuweni wa maana.
Alikuwa anagombana na vijana wenzake.

Niliwahi shuhudia ugomvi mmoja siku moja na kijana mwenzake mdogo kidogo kuliko yeye, kabla ya ugomvi wapambe wakamnyang'anya kila kitu apigane kavu kavu aisee alipigwa sana.
 
AMETOKA MAPEMA SANA ALITAKIWA KUENDELEA KUNYOOSHA NCHI
 
Watu kama hawa wanapokufa ama kuuliwa ingetakiwa mtaa uandae sherehe kubwa.
 
Duh siamini ila sasa nimejua kila.mjanja ana mjanja wake. Huyu jambazi katesa sana watu kaua sana madereva wa bodaboda za Mombasa.

Alikuwa akikamatwa anafikishwa polisi mnajua anaishia huko wiki inayofwata anatoka na kufanya mara mbili ya aliyofanya huko nyuma.

Pongezi kubwa Mh. Mambosasa na kikosi kazi chako. Nahisi wote waliokuwa naye sasa wataacha
Lala Kambale pumzika dunia ilishakuchoka.
sasa huko ndo atakutana na watu walio shindikana
 
sasa huko ndo atakutana na watu walio shindikana
Shida moja chizpo kama maandiko yasemavyoo BA UKO KWENYE HILI KUNDI JIANDAE KUKUTANA NAE HUKO DK KAMBALE


WEZI
WAZINZI
WALEVI
MAFISADI
WAFIRAJI
WAABUDUO SANAMU
WARAWITI
NA MENGINE YAFANANAYOO NAHAYA ZIWA LAOO N JEHANUM YA MOTO

KAMA MUPO HUMO JIANDAE KUFUNGULIWA MLANGO NA DK KAMBALE HUKO JEHANUM
 
NUMESAHAUU NA MABAHAASHAA WAMOHUMOO
 
Shida moja chizpo kama maandiko yasemavyoo BA UKO KWENYE HILI KUNDI JIANDAE KUKUTANA NAE HUKO DK KAMBALE


WEZI
WAZINZI
WALEVI
MAFISADI
WAFIRAJI
WAABUDUO SANAMU
WARAWITI
NA MENGINE YAFANANAYOO NAHAYA ZIWA LAOO N JEHANUM YA MOTO

KAMA MUPO HUMO JIANDAE KUFUNGULIWA MLANGO NA DK KAMBALE HUKO JEHANUM
twaokolewa kwa neema
 
Huyu kambale amenikumbusha Jambazi moja sugu alikuwa anaitwa Ramadan ngonji!
Enzi za kova rpc alimpigaga wanted,
Ngoji alihukumiwa Miaka 8 jela ila alikaaga Ndani miezi 2 akatoka kimipango hku hukumu yke inaendelea..... Cha ajabu aliendelea kufanya uhalifu na wazee walikuwa Wanamtafuta
Ila Mimi nlikuwa na zali ya kukutana naye usiku mnene maana mm siku zote ni mtu wa nightmare
Ngonji alikuwa anatumiaga pikipiki kubwa 250
Kna siku nlikuwa narudi nko mtungi nakutana naye kwenye open space jirani na de mug hotel Kino...... Kalala juu ya pikipiki huku iko on inanguruma......akaniita Jina langu la mtaa(----) kuchek ngonji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa ndy mwanzilishi wa uwizi wa kutumia pikipiki..... Sema siku yke ilifika wazee walimuaa
Maana walimchokaga

Ova
Ngonji namfahamu
Kaka ake nae alifariki kitambo alikuwa anaitwa Ally nadhani walichangia mama
 
CONTROLA,
Kusema ukweli watu wa namna hiyo wakiwa kwenye jamii wanakuwa caring sana ili kuficha mambo yao,na hayo uliyoandika inawezekana kuna watu wanalia na kunung'unika
Jamaa alikuwa hakamatwi na polisi kirahisi kwa sababu alikuwa haendani na anayoyafanya.
Nina picha zake nikiweza nitaziweka.
Jamaa tena ni dogo tu.
Alimkimbiza baba yake na panga. Baba yake ikabidi ahame nyumba amuachie kambale .
Mwezi uliopita tu walitoka kumzika kaka yake kambale naye alikuwa jambazi
 
Huyu kambale amenikumbusha Jambazi moja sugu alikuwa anaitwa Ramadan ngonji!
Enzi za kova rpc alimpigaga wanted,
Ngoji alihukumiwa Miaka 8 jela ila alikaaga Ndani miezi 2 akatoka kimipango hku hukumu yke inaendelea..... Cha ajabu aliendelea kufanya uhalifu na wazee walikuwa Wanamtafuta
Ila Mimi nlikuwa na zali ya kukutana naye usiku mnene maana mm siku zote ni mtu wa nightmare
Ngonji alikuwa anatumiaga pikipiki kubwa 250
Kna siku nlikuwa narudi nko mtungi nakutana naye kwenye open space jirani na de mug hotel Kino...... Kalala juu ya pikipiki huku iko on inanguruma......akaniita Jina langu la mtaa(----) kuchek ngonji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa ndy mwanzilishi wa uwizi wa kutumia pikipiki..... Sema siku yke ilifika wazee walimuaa
Maana walimchokaga

Ova
Mrangi: wanasema nionyeshe rafiki zako, nizijue tabia zako. Nasema tu lakini.
 
Back
Top Bottom