Buriani Mzee Ruksa: Ni Deng Xiaoping Wetu wa Mageuzi ya Kiuchumi, Demokrasia, Haki za Binadamu na Uhuru wa Habari. Asante kwa Ruksa Zako, Pumzika!

Sherehe zikiangukia weekend zinalipiwa siku za kazi. Nchi ilikua ya wote
 
Stupid comment.

Mwinyi kakabidhiwa nchi noti kubwa ikiwa sh 100. Kashauriwa na bwana zake kuwa suluhisho ni kuchapisha manoti. Matokeo ikawa ni hordes of money chasing too few available goods.

Elimu ya madrasa haiwezi kumkomboa mwanadamu.
 
Stupid comment.

Mwinyi kakabidhiwa nchi noti kubwa ikiwa sh 100. Kashauriwa na bwana zake kuwa suluhisho ni kuchapisha manoti. Matokeo ikawa ni hordes of money chasing too few available goods.

Elimu ya mafrasa haiwezi kumkomboa mwanadamu.
Wew ndo hujui uchumi, unadhani Nyerere alikuwa lofa kuamua kukimbia ? Nyerere alidhibit biashara ya fedha ndio mana thamani ya pesa yetu ikaonekana ipo vema, ila Mwiny akaruhusi iamuliwe na soko huru ndo mana ikashuka sana,

Halafu thamani ya pesa sip big deal kiviiile, sh 1 ya kenya ni sawa na 10 south korean won,
Ila unajua nani ana uchumi mkubwa,
South Africa ana pesa yenye thamani kubwa sana kuliko Japan, ila wote tunajua nani tajiri,
 
Stupid comment.

Mwinyi kakabidhiwa nchi noti kubwa ikiwa sh 100. Kashauriwa na bwana zake kuwa suluhisho ni kuchapisha manoti. Matokeo ikawa ni hordes of money chasing too few available goods.

Elimu ya madrasa haiwezi kumkomboa mwanadamu.
Nimeandika weeee nikafuta. Ila ubaguzi wa dini sio mzuri.
Pia sikiliza watu wanavoelezea CV ya mtu hatakama kuna mapungufu ila alikua na dhamira njema,alitumikia watu katika kipindi kigumu
 
What's your level of education!
 
Naunga mkono joja zote 2025 pia naunga mkono sana nimeongea sana juu hili...muda tu utaamua saa 100 ampishe copy apige yetu 10 saafii...tugange yajayo
 
Nyerere alikuwa anazingua, alikuwa mkosoaji mkuu wa Mwinyi, alitamani mwiny akaze kwenye ujamaa
Nyerere alijua kabisa kuwa Siasa yake alioenda kuichukua CHINA ilikuwa imefeli pakubwa na baada ya kumuona swahiba yake wa Romania kauwawa na Wananchi waliovamia Ikulu aka ona akubali UPEPO wa NYAKATI.
 
Stupid comment.

Mwinyi kakabidhiwa nchi noti kubwa ikiwa sh 100. Kashauriwa na bwana zake kuwa suluhisho ni kuchapisha manoti. Matokeo ikawa ni hordes of money chasing too few available goods.

Elimu ya madrasa haiwezi kumkomboa mwanadamu.
Huna akili kwa hiyo ww kwako ufahari wako ni kuwa na noti ya sh 100 na 50 na sio ubora wa maisha ya watu?
Yaani Nyerere aliye wafanya watu wavae uchi ,wakose mpaka mahitaji muhimu kama sabuni,haka kumiliki redio ilikuwa ni anasa ndo bora ,kuliko mwinyi aliye kuja kufuta huo upuuzi?

Sasa kati ya ww unaye amini ya kuwa nchi ikiwa na noti yenye 0 chache ndo maendeleo na Mwinyi ni nani kilaza?

Pesa ya Kuwait na Oman ina thamani zaidi ya mara 3 ya $ya kimarekani ,sasa hivi ukiwekewa $ na pesa ya hizo nchi utachagua kipi?

Pesa ya Kenya ina thamani kuliko pesa ya Korea na Japan ,haya tuambie maendeleo ya Kenya na hizo nchi yakoje?
Pesa ya Tz ina thamani zaidi ya mara 4 ya pesa ya Iran vipi kuhusu maendeleo kati ya nchi hizo mbili?

Zambia hapo si wana noti ya 100 wana nn cha maana zaidi ya njaa?
 
Pesa ya Kenya ina thamani kuliko pesa ya Korea na Japan ,haya tuambie maendeleo ya Kenya na hizo nchi yakoje?
Pesa ya Tz ina thamani zaidi ya mara 4 ya pesa ya Iran vipi kuhusu maendeleo kati ya nchi hizo mbili?
Pesa as you know it, is just a means of storing and measurung the value of wealth. If you have no wealth, printed money will have no value to you.

Elimu ya madrasa haiwezi kukusaidia kulifahamu hili.
 
Kwenye ishu ya kuvamia msikiti wa Mwembechai umechanganya madafu. Ishu ya msikiti wa Mwembechai ilikuwa ni mwaka 1998 wakati wa utawala wa Mkapa na mkuu wa mkoa akiwa ni Yusufu Makamba.

Mihadhara ya Biblia na Qur'an siyo kashfa bali wakati huo wakati inaanza kwa sababu ilikuwa ni kitu kipya ilidhaniwa hivyo. Lakini siku hizi inafanyika sana tu na inapata vibali vyote vya serikali.

Mtu wa kwanza kufanya mhadhara wa kuchambua biblia na Qur'an hapa Tanzania ni Sheikh Ahmed Deedat kutoka South Africa, aliyekuja nchini na akafanya mdahalo mkubwa hapo Diamond Jubilee mwaka 1980, Rais wa wakati huo akiwa ni Nyerere.

By the way, Katiba inaruhusu mtu kuchambua kitabu chochote kile iwe ni kwa siri au dhahiri ilimradi usivunje sheria!. Hakuna sheria nchini inayokataza Qur'an au biblia kuchambuliwa na yeyote yule ndiyo maana Dibagula alishinda kesi aliposhitakiwa kwa kusema kuwa Yesu siyo Mungu.

Get your facts correct bro.
 
Stupid comment.

Mwinyi kakabidhiwa nchi noti kubwa ikiwa sh 100. Kashauriwa na bwana zake kuwa suluhisho ni kuchapisha manoti. Matokeo ikawa ni hordes of money chasing too few available goods.

Elimu ya madrasa haiwezi kumkomboa mwanadamu.
Anasifiwa ti kwasababu anazikwa na Watanzania waoga kufa
 
Pesa as you know it, is just a means of storing and measurung the value of wealth. If you have no wealth, printed money will have no value to you.

Elimu ya madrasa haiwezi kukusaidia kulifahamu hili.
Hiyo elimu ya madrasa ndo ilikuja kuwafanya watz akiwemo ww na ukoo wako mzima waache kuvaa viraka,kuogea majani ya mapapai baada ya sabuni, na kupanga misitari kununua sukari na chumvi.

Na ndo iliyo kufanya mpaka sasa una uhuru wa mali yako unayo imiliki.
Kitu ambacho elimu ya kanisa ilishindwa kukifanya kwa miaka 25 hivyo punguza undina na kuwashwa.
Ujamaa ni mfumo wa kipumbavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…