Buriani Mzee Ruksa: Ni Deng Xiaoping Wetu wa Mageuzi ya Kiuchumi, Demokrasia, Haki za Binadamu na Uhuru wa Habari. Asante kwa Ruksa Zako, Pumzika!

Aisee!

Kula ilikuwa changamto, sukari changamoto. Nguo za viraka. Haikutosha, hata sabuni na dawa ya kupigia mswaki?

Kama kitu kama sabuni na dawa ya kupigia mswaki vilionekana anasa nakosa cha kusema kiukweli! Mlipitia kipindi kigumu sana.
Kulikuwa na viatu fulani vya mbao viliitwa magongo, ukipigwa teke la ugoko lazima ukae chini. Tulikuwa choka mbaya miaka baada ya vita ya Kagera.
 
Nimeandika weeee nikafuta. Ila ubaguzi wa dini sio mzuri.
Pia sikiliza watu wanavoelezea CV ya mtu hatakama kuna mapungufu ila alikua na dhamira njema,alitumikia watu katika kipindi kigumu
Kuwa hadithi nzur Kwa watakaosimuliwa, Mwinyi amewauma roho watu Kwa sifa anazomwagiwa, huyu Baba anapendwa haswa ndo mana wazaz wengi waliwapa watoto wao jina la Mwinyi
 
Nzasa au Sihaba Kwa kweli hakuwa na lugha za kukera, 😅😅😅 eti wachague Kati ya yy au Mwinyi
 
Watoto WA juzi pia hawakuhadithiwa watu walivyoteseka
 
Kuwa hadithi nzur Kwa watakaosimuliwa, Mwinyi amewauma roho watu Kwa sifa anazomwagiwa, huyu Baba anapendwa haswa ndo mana wazaz wengi waliwapa watoto wao jina la Mwinyi
Kweli mkuu hata sifa njema na nafuu kwa mtu fulani wengine vinawatesa
 
Nilikua na shaukun kufahaku juu ya vita ya member chai leo umenijubu . Shukrani sana kwa uandishi mzuri na mtirirko mzuri wa masimulizi yako. Seba akojiwe sana @pasmayala
 
Kwa sisi tuliokuwepo enzi hizo, kiukweli tumetoka mbali!. Mwache Mwinyi apumzike kwa amani.
P
 
Stupid comment.

Mwinyi kakabidhiwa nchi noti kubwa ikiwa sh 100. Kashauriwa na bwana zake kuwa suluhisho ni kuchapisha manoti. Matokeo ikawa ni hordes of money chasing too few available goods.

Elimu ya madrasa haiwezi kumkomboa mwanadamu.
Mwinyi alisoma chuo england hakua kilaza
 
ALAZWE MAHALI PEMA STAN KATABALO.
 
Kuna kipindi alipwaya mpaka Nyerere aliamua kumsaidia.
No ilikuwa sio kumsaidia bali ni kumuingilia!.
Moja ya issue Nyerere aliyo iingilia ni suala la OIC lililopelekea wabunge wa G.55 kuidai serikali ya Tanganyika. Mwalimu Nyerere ilikuwa mkali kwelikweli, ila ni kumuingilia tuu OIC haina tatizo na serikali ya Tanganyika haina tatizo
P
 
Mmojawapo ni huyu Stroke ..toto la miaka ya 2000 linachojua ni ChaDema,Mbowe na kunakili ujinga na matusi ya Lema au mdude Mdude_Nyagali mtandaoni.

Hovyo sana hili toto. Hata Maghayo anakuwaga ana afadhali
Huyu member ni ccm lia lia kama ulikua humjui sio hata chadema
Ujinga wako ni kudhani kila mtu anayepinga ni chadema
 
Mwinyi alikua mr yes man wa nyerere
 
Hii ndio faida ya freedom of expression, uko huru kuita wenzako vichaa na nikaheshimu mchango wako na mawazo yako kuwa kumfananisha Mwinyi na Deng Xioping ni ukichaa!.
P
Ni ukichaa sababu xioping deng aliitoa china kutoka nchi maskin mpaka nchi ya pili kwa uchumi mkubwa huwezi mfananisha na mwinyi

Simpondi mwinyi hapana
Japokua mwinyi alileta mabadiliko ila still to date Tanzania ni nchi maskini
 
Ni ukichaa sababu xioping deng aliitoa china kutoka nchi maskin mpaka nchi ya pili kwa uchumi mkubwa huwezi mfananisha na mwinyi

Simpondi mwinyi hapana
Japokua mwinyi alileta mabadiliko ila still to date Tanzania ni nchi maskini
By the time Mwinyi anachukua nchi, how old were you?.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…