Buriani Rashid Mbuguni, Mzalendo aliyedhulumiwa kiwanda amekufa hajaona haki

Rashid Mbuguni mimi nakumbuka kawapa kazi za kuanzia maisha na muelekeo rafiki zangu vijana wengi sana wa Dar. Wengine waliishi maisha ya Kinyamwezi, mtu ndiyo kwanza kamaliza sekondari na hapo hapo anafanya kazi nzuri tu by our standards hapo Business Times.

Aliwajali sana vijana wadogo wanaoanza maisha, wengine wakiwa chini sana kwake kidaraja kazini, akiongea nao wakiwa wageni kazini, na kuwapa ushauri mzuri, mara nyingi wakiwa hata hawamjui kuwa huyu ni bosi mkubwa kabisa, kwa jinsi alivyojiweka simple

Kwenye circle yangu tu kuna vijana wengi wanasimulia alivyokuwa mtu poa.

Live clean and let your work be seen.
-Peter Tosh

Ametimiza kazi hiyo.

Pole sana kwa wafiwa.
 
Kwa ufupi, Mengi, E. Massawe, Mbuguni na Nyaulawa walikua National Auditing kwa wakat mmoja na inasemekana utajiri wao waliutoa huko haswa kipindi cha maandalizi ya zoezi la ubinafsishaji.
Mkuu liilikuwa shilika gani Tanzania Auditing Corporation (TAC) au National Auditing?
 
Wapumzike kwa Amani! Katiba mpya muhimu!
 
Magufuli uendelee kulaanika wewe binafsi watoto wako na mama Janeth hawana hatia ila wewe magufuli KWA uliyoyafanya duniani ulaaniwe milele.
Na mdau wake Samia bado anaendeleza kazi!
 
Mkuu mimi pana mtoto mdogo nashuka Kilimanjaro Airport alitaka kunisumbua eti anauliza mbona nasafiri mara kwa mara alikua uhamiaji nilimuuliza hizi passport mnatoa za nini na pia hayo maswali huwezi kuniuliza wewe mtoto mdogo miaka naanza kusafiri hata shule haujaanza alikua na vinyotanyota vyake eti atanionyesha nilimwambia na wiki ijayo nasafiri njoo unizuie kila mjinga alijifanya anaweza kufanya kitu chochote kwa cheo chake nilimkariri yule dogo baadae kidogo mzee alivyofariki sikumuona pale nilisikia alikua ndio risasi kidole wao ili mambo ya Bank yanaanzia kwake kwa wasafiri niliumia sana aisee ila sijakaona tena kale kapuuzi nikikaulizia sipati majibu kapo wapi?..
 
...Sijaona Popote Marehemu Mbuguni alifariki akiwa na Miaka Mingapi au alizaliwa Mwaka Gani??
Ninaomba Kujuzwa....[emoji120]
 
Tatizo la Masikini wengi huwa hawapendi kujua upande wa giza wa tajiri,hata Kama anauuza viuungo vya Binaadamu wao hawajali,na wanacho angalia wao ni ule msaada wanaopata kutoka kwa Mafisadi!!

Hivi huo uuzaji wa viungo vya binadamu unaosema na unasemwasemwa ulishawahi kuuona na kuuthibitisha wapi?
Kwa akili zako unaamini kabisa ipo biashara ya kuuza viungo vya binadamu? Hivi viungo vinauzwa kwa ajili ya nini na wapi lilipo soko lake...?!
Itapendeza pia ukitoa mifano ama majina ya matajiri/watu wanaofanya/waliowahi kufanya biashara hiyo!
 
Mtetee, na hizo hela kuziweka ktk account binafsi je, inamaanisha nini?
 
Mifano kwq vijana kushirikiana ili kuleta mabadiliko kwenye jamii zetu. Hawa jamaa sijawahi waskia, lakini ni funzo zuri kwetu kujituma na kuona fursa za mbele zaidi. Mwenyezi mungu awapumzishe kwa amani
 
Story ya upande mmoja hii, hata kama Magu alikua konyo ila lazima kuna sababu eidha za kipuuzi au za maana kufanya hivyo.
 

Logical non sequitur it doesn’t work here,
Siwezi kujibu vile unavyotaka kama hatujameet kwenye point ya makubaliano ya kuweka kosa la uyo hayati bayana.

Sijatetea nimejaribu kuelabolate tukio na chanzo chake openly kwa mfano hai ili na wewe unipe deep data za chanzo cha hayati kufanya ivo.

Unaweza kuta hayati na uyo mzee walikua wanapersonal issues, hayati alipopata nasafi akaamua kumkomesha kitu ambacho sio sawa kutumia power ulonayo kwa mambo binafsi, huo ni mfano so wewe inatakiwa ulete chanzo sio unatuonesha tukio af unasema aliamka tuu hasbui kama mtu mwenye majini akafika aka chukua vifaa!!! Hell no,

Lastly, kuhusu kukandamiza vyombo vya habari unahisi ni kosa la hayati!? No, since vyombo vya habari vinaendeshwa kwa sheria na kanuni za nchi that means havipo huru, na ninachojua mimi hakuna uhuru usiokua na mipaka kwaiyo ukinimbia amekandamiza uhuru bado haingii akilini wakati kimsingi huo uhuru wenyewe haupo.

so badala ya kumlaumu mtu ungejikita kuelezea jinsi katiba yetu ilivyombovu hapo ningekuelewa maana yawezekana soon akazaliwa mwingine kama uyo alieondoka na akaja tena kufanya yaleyale alio yafanya mwendazake maana kikatiba anayo mamlaka ya kuamua ivo,

Inshot raisi anauhuru wakukupiga unapomkosea au kusamehe na anaweza tumia kisu,rungu au fimbo so ni mood yake na hekima ndo vitamwongoza akubamize na nini ama akusamehe, kwaiyo mkuu leta chanzo tuongee kama watu wazima.
 
Warithi wake lifikisheni hili suala kwa mama mpenda haki.
Mama mpenda haki alikuwa wapi kumrudishia kiwanda mpaka anakufa? Magufuli toka kufariki kwake mpaka leo hii aliondoka na mafaili ya kiwanda.. huu ujinga acheni....wao walikopa wakashindwa kurudisha fedha za ECO na NMB, Bank zikashika mali zao leo hii mnamsingizia JPM. Naawambia hata yule mjinga mwingine alidai Mbowe alikamatwa wakati wa JPM (uchawa ni laani mpya)... hata hili la DPW watasema JPM ndio aliwaleta.. takataka wahed.
 
Ungejua kwanini mpaka nyumba zao ziliuzwa ungekuwa umetumia akili yako vizuri.
 

Mpaka umenichekesha, kwanza jua sina hasira na mtu, na hasa akinizidi nguvu au maarifa hua natuliza akili alafu nangalia jinsi yakucheza nae.

Binafsi yalinikumba mengi tuu hasa swala la machinga walipokua huru lilifanya nkafunga hadi duka maana kodi zilikua juu hasa vitu vya electronics na wakati chinga hawaachi ela tofauti na sisi tulio kwenye mfumo maalum na tunalipa kodi nyingi tuu.

*Ok naomba uniambie kama unadaiwa kod ulitaka na hujaenda kuclear installment zako ulitaka wakuchum ili ukatoe pesa yao!? Na je ushawahi kukaa ukasoma policy za benk unayotunzia pesa ziko?

Mi mpaka sasa nimkwepaji mzuri wa kodi ila nikikamatwa siwezi kulaumu serikali/kiongozi nitajilaumu mwenyewe kwa kushidwa kua smart mpaka nimekamatwa, na huo ndo ukweli mkuu, don’t hate the game hate how you play it.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…