Burkina Faso: Cptn. Ibrahima Traore apunguza mishahara ya wanasiasa

Burkina Faso: Cptn. Ibrahima Traore apunguza mishahara ya wanasiasa

Warussia hawana historia ya kufanya nchi nyingine koloni, bali wao waliweza kupanua imaya zao kwa kuwatetea waliokuwa wanaonewa ! Na hii ndiyo imewafanya kuwa wamoja na kuaminika!!!
===
1. Wazungu wakoloni siyo, mfano wanaizuia nchi ya Georgia isipitishe sheria ya foreign agents wakati wao US wanasheria hiyo.
2. Wazungu wakoloni siyo, mfano mwingine, wanaizuia nchi za ulaya Mashariki zisinunue gesi na mafuta nafuu kutoka Russia, wakati wao (US)wananunua bidhaa za nyuklia kuendesha mitambo Yao kutoka Russia!!!

3. Wazungu wakoloni siyo, wanahimiza Uhuru wa kujieleza na Uhuru wa kupeana habari, lakini wamemfunga Assange kwa kusema ukweli!!!

Nina mifano mingi ya Wazungu wakoloni jinsi wasivyoweza " to Walk their Talk" sawa sawa na masuala haya ya demokrasia..!

Kwa kifupi hawana moral authority ya kueleza habari za demokrasia kwa matendo Yao haya.
 
Wewe kama huipendi yanga na same time huipendi simba kwa kifupi utakuwa sio shabiki wa mpira wa Tanzania.
That is also a false dichotomy, inawezekana mtu akaona Simba na Yanga ndiyo tatizo la mpira wa Tanzania na akaupenda mpira wa Tanzania bila kuzishabikia timu hizi.

Unatafuta mutual exclusivity sehemu ambayo haina mutual exclusivity.
 
Warussia hawana historia ya kufanya nchi nyingine koloni, bali wao waliweza kupanua imaya zao kwa kuwatetea waliokuwa wanaonewa ! Na hii ndiyo imewafanya kuwa wamoja na kuaminika!!!
===
1. Wazungu wakoloni siyo, mfano wanaizuia nchi ya Georgia isipitishe sheria ya foreign agents wakati wao US wanasheria hiyo.
2. Wazungu wakoloni siyo, mfano mwingine, wanaizuia nchi za ulaya Mashariki zisinunue gesi na mafuta nafuu kutoka Russia, wakati wao (US)wananunua bidhaa za nyuklia kuendesha mitambo Yao kutoka Russia!!!

3. Wazungu wakoloni siyo, wanahimiza Uhuru wa kujieleza na Uhuru wa kupeana habari, lakini wamemfunga Assange kwa kusema ukweli!!!

Nina mifano mingi ya Wazungu wakoloni jinsi wasivyoweza " to Walk their Talk" sawa sawa na masuala haya ya demokrasia..!

Kwa kifupi hawana moral authority ya kueleza habari za demokrasia kwa matendo Yao haya.
Warusi hawana historia ya kufanya nchi nyingine koloni kwani zile nchi zilizokuwa USSR zilikuwa nini zile?
 
Demokrasia unahitaji watu waliokomaa vilivyo, wenye nidhamu isiyotiluwa shaka wanaoweza kutengeneza miongozo ya kuunda na kusimamia mihimili.
Kinyume chake ni kuweka wezi na incompetent people wakidhaniwa ni VIONGOZI.
Miongoni mwa wengi wanaopata madaraka kwa nchi za Afrika wanawaza kuiba na kwenda kuficha nje - ni kama wamelaaniwa vile; kwa mgongo unaoitwa demokrasia.
 
That is also a false dichotomy, inawezekana mtu akaona Simba na Yanga ndiyo tatizo la mpira wa Tanzania na akaupenda mpira wa Tanzania bila kuzishabikia timu hizi.

Unatafuta mutual exclusivity sehemu ambayo haina mutual exclusivity.
Kwa hiyo kuna possibility mtu akasema mimi naupenda mpira wa Tanzania,Simba na Yanga sizipendi mimi naipenda Mpwapwa tu au Lipuli tu?😄😄😄😄
 
Demokrasia sometime ni upumbavu wa kuwapumbaza watu.
Hii nilikuwa nawaambia enzi za jpm ivi ivi,hata ulaya ama USA huko kulikuwepo ubabe mno na ukatili mno ndio mana wamesonga mbele. Cheki China huko saivi wanakimbizana na USA unadhani wanachekacheka na kuhudhuria tamasha sijui za akina davido na huku Kuna akina mama wanalala wawili mpaka watatu kitanda kimoja. Kama miti tunayo na miti mizuri ya mbao inauzwa nje Kuna shule eti watt wanakaa chini kabisa.
 
Kwa hiyo kuna possibility mtu akasema mimi naupenda mpira wa Tanzania,Simba na Yanga sizipendi mimi naipenda Mpwapwa tu au Lipuli tu?😄😄😄😄
Actually Simba na Yanga zinaua sana vipaji vya wachezaji wa soka Tanzania, wachezaji ambao walitakiwa kuwa wanacheza kwenye ligi za kimataifa Ulaya na sehemu nyingine za dunia.

Wewe inaonekana huelewi mpira wa dunia unavyokwenda tu.
 
Mapinduzi yakimkuta mtu mwenye akili kama Kagame nchi inaendelea. Ila yakiwakuta viongozi wasioiwazia mema nchi. hapo ndio mnadidimia. Africa hamna democracy, ni kichaka tu watu kula hela. Ili demokrasia iwepo lazma mpitie mambo ambayo wote mtaheshimiana.
 
Eleza kwa ufasaha na kinagaubaga namna hizo nchi zilivyoingia kwenye shirikisho hilo la kisoviet.
Why should I reinvent the wheel?

Russian Imperialism.


EMPIRE OF THE STEPPE: RUSSIA'S COLONIAL EXPERIENCE ON THE EURASIAN FRONTIER​

Historian Michael Khodarkovsky offered insight into Russia's colonial rule in the Eurasian steppe and its implications for the current crisis in Ukraine during a Eurasian Empires and Central Asian Peoples seminar.


How Russia tried to colonise Africa and failed​

The Kremlin would have you believe that Russia was always an anti-colonial power in its relations with Africa. That was really not the case.
 
The Kremlin would have you believe that Russia was always an anti-colonial power in its relations with Africa. That was really not the case.
Here below is the 'min-profile' of the author of the mentioned article that appeared in Aljazeera!
.........
Oleksandr Polianichev
Oleksandr Polianichev
Oleksandr Polianichev is a project researcher at Södertörn University in Stockholm, specialising in the history of imperial Russia.

Source: Aljazeera
===


Historian Michael Khodarkovsky offered insight into Russia's colonial rule in the
The source of this information is Wikipedia. But we have the information that the platform is misused by CiA and fBI.
===
Wikipedia founder Larry Sanger told Independent Journalist Glenn Greenwald that the CIA and FBI used Wikipedia for “information warfare” on Greenwald’s show System Update on Monday.

Greenwald ripped Wikipedia for its entry “Biden-Ukraine conspiracy theory,” saying “there is a mountain of evidence showing that Hunter Biden was paid $80,000 a month by Burisma executives.”

Burisma executives were “getting a lot in value in the way of access to Joe Biden, the most important US official on Ukraine. And yet, according to the Wikipedia article, this evidence doesn’t exist, it’s just a complete conspiracy theory.”


“Remember, this is supposed to be an ideology-free, neutral encyclopedia”, Greenwald scoffed.

Source: Gateway Punduit
 
Here below is the 'min-profile' of the author of the mentioned article that appeared in Aljazeera!
.........
Oleksandr Polianichev
Oleksandr Polianichev
Oleksandr Polianichev is a project researcher at Södertörn University in Stockholm, specialising in the history of imperial Russia.

Source: Aljazeera
===



The source of this information is Wikipedia. But we have the information that the platform is misused by CiA and fBI.
===
Wikipedia founder Larry Sanger told Independent Journalist Glenn Greenwald that the CIA and FBI used Wikipedia for “information warfare” on Greenwald’s show System Update on Monday.

Greenwald ripped Wikipedia for its entry “Biden-Ukraine conspiracy theory,” saying “there is a mountain of evidence showing that Hunter Biden was paid $80,000 a month by Burisma executives.”

Burisma executives were “getting a lot in value in the way of access to Joe Biden, the most important US official on Ukraine. And yet, according to the Wikipedia article, this evidence doesn’t exist, it’s just a complete conspiracy theory.”


“Remember, this is supposed to be an ideology-free, neutral encyclopedia”, Greenwald scoffed.

Source: Gateway Punduit
This logical fallacy is called ad-hominem.

An ad hominem attack is undermining the person/ source of information instead of arguing logically against the raised points.

It is often used by people who do not have arguments.

The entire internet is a project of the US Defense system, why are you still using it then?
 
Back
Top Bottom