Burkina Faso: Cptn. Ibrahima Traore apunguza mishahara ya wanasiasa

Burkina Faso: Cptn. Ibrahima Traore apunguza mishahara ya wanasiasa

Kwani idd Amin alianzaje mwanzoni mwa utawala wake si watu walikuwa wanasema ameletwa na Mungu ila baadae iliishaje...
mara nyingi utawala wa kupinduana kijeshi kama hivyo hauna mwisho mwema. Sifa kubwa ni kukataa kutoka madarakani na kuona nchi ni kama mali yako si mnamuona m7 wa ug.
Bora uje hata huo hapa mizee ikapumzike tumechokaaaa
 
Kwa hiyo
Kwani idd Amin alianzaje mwanzoni mwa utawala wake si watu walikuwa wanasema ameletwa na Mungu ila baadae iliishaje...
mara nyingi utawala wa kupinduana kijeshi kama hivyo hauna mwisho mwema. Sifa kubwa ni kukataa kutoka madarakani na kuona nchi ni kama mali yako si mnamuona m7 wa ug.
Kagame hajawa na mwisho mwema
 
Wabuknabe wamepata rais mzalendo wa kweli lakini hili la kwetu tz mmmmmh.
 
Pata habari sahihi, usisikize vyombo ndumi la kuwili. Wagner 50 watafukuza waasi? Wamepelekwa kuwafunza vyombo vipya walivyonunua kutoka Urusi.
Ndiyo maana ufaransa wana hasira na urusi, maana warusi wanakata ulaji wao.
 
Kwani mataifa yanayomuuzia siraha hizo tunajua yana lengo gani? Usije kuta kabadilisha tu aina ya mtawala
La muhimu ni kuwa na nia nzuri na nchi yake na kulipambania.

Uzuri wa urusi, Iran na uturuki hawana tabia ya upolaji Kama hao west countries.

Maana kinachofanywa na mrusi ni kuikomoa ufaransa kwa kuiunga mkono ukraine na huu ndiyo muda wa nchi zinazoporwa rasilimali na west kujinasua kwa kuitumia urusi.
 
mwendo tuwe kama wachina tu au urusi baas,,,demokrasia zimetushinda waafrika
Ni kweli tatizo ni sisi wenyewe hatuna uzalendo na nchi zetu na tunatanguliza maslahi yetu binafsi ya kiuchumi na kisiasa kuliko ya nchi.
 
Marekani ilkuwa kama South ya Makaburu. Miaka 70 baada ya uhuru ndiyo utumwa wa tu weusi ulikomeshwa. Katika miaka hiyo yote walikuwa wanachinja Wahindi wa Marekani na kuwapora ardhi. Wanawake hawakuruhusiwa kupiga kura hadi miaka ya 1920's. Watu weusi hawakuruhusiwa kupiga kura hadi miaka ya 1960's. Huwezi kusema nchi hiyo ni ya kidemokrasia, kusema ya kibepari ni sawa. Leo demokrasia ya Marekani imekomaa lakini ndiyo inadidimiza nchi. Leo nchi yao haiwezi hata kujenga high speed railways sababu ya kubishana na urasimu unaoletwa na demokrasia. Hata uhalifu unawasumbua kudhibiti.

Marekani ilikuwa kama SA au Ujerumani ya wanazi tu. Huwezi kusema nchi hizo zilikuwa za kidemokrasia. Uingereza imeendelea sababu ya uporaji tu, leo na demokrasia yao ipo karibu kufirisika. Fuatilia miji inavyotangaza kufirisika. Na India na ukubwa wake ifananishe na China si Pakistani.
Basi tuseme udikteta na utawala wa kijeshi kwa msaada wa mapinduzi unaleta maendeleo kuliko demokrasia.

Sudan imewahi fanyika majaribio ya mapinduzi mara 19, na 7 kati yake yalifanikiwa. Hali yake kiuchumi ikoje.
Bolivia ndio inaongoza kwa mapinduzi duniani na imeongozwa kidikteka muda mwingi. Uchumi wake ukoje.

Afrika ni bara la kwanza kwa kuwa na mapinduzi mengi, zaidi ya 50 tangu tupate uhuru miaka 65 hivi ila mapinduzi mengi kuliko mabara yanajitawala zaidi ya 200 years. Afrika mapinduzi yameleta maendeleo gani mbona ni ya mwisho
 
Basi tuseme udikteta na utawala wa kijeshi kwa msaada wa mapinduzi unaleta maendeleo kuliko demokrasia.

Sudan imewahi fanyika majaribio ya mapinduzi mara 19, na 7 kati yake yalifanikiwa. Hali yake kiuchumi ikoje.
Bolivia ndio inaongoza kwa mapinduzi duniani na imeongozwa kidikteka muda mwingi. Uchumi wake ukoje.

Afrika ni bara la kwanza kwa kuwa na mapinduzi mengi, zaidi ya 50 tangu tupate uhuru miaka 65 hivi ila mapinduzi mengi kuliko mabara yanajitawala zaidi ya 200 years. Afrika mapinduzi yameleta maendeleo gani mbona ni ya mwisho
Hata demokrasia haijaleta kitu
images.jpeg-90.jpg
 
Ishu ya msingi sio aina ya uongozi uwe wa kijeshi au kidemokrasia bali ishu ya msingi ni vision ya mtu anayeongoza.
Jamaa ana akili nyingi sana na uongo wa mbali sana,ana reasoning capability kubwa sana kuliko viongozi wote wa Africa kwa sasa.
Wakati viongozi wa nchi nyingine za Africa wakijiongezea mishahara na kuongezea mishahara wabunge kila wakati,kununua magari mapya ya bei kubwa kila awamu kisha ya zamani wanayatelekeza,wakati wakulima wanateseka, kwa ukosefu wa zana,huduma za afya ni mbovu vijijini.
Huoni kwamba maamuzi anayofanya huyu jamaa amewazidi mbali sana Marais wengine kwa kufikiria
Hapana.

Demokrasia ni issue ya msingi.

Kwa sababu ni mfumo wa watu kujichagukia maisha yao wenyewe.

Huyo jamaa yenu hana akili hivyo mnavyomfikiria. Soma article post namba 69 hapo juu uone yaliyo chini ya kapeti. Waafrika mnadanganyika kirahisi, mtu kupunguza mishahara tu mshazuzuka. Mbona hata Nyerere aliwahi kupunguza mshahara wake na mpaka leo tunalalamikia umasikini wetu?

Katika wimbo wake wa "Greatest Love of All", muimbaji wa Kimarekani Whitney Houston aliimba hivi.

"Everybody searching for a hero
People need someone to look up to".

This is the problem.

Captain Ibrahim Traore knows this and is exploiting it for political gain.
 
Hapana.

Demokrasia ni issue ya msingi.

Kwa sababu ni mfumo wa watu kujichagukia maisha yao wenyewe.

Huyo jamaa yenu hana akili hivyo mnavyomfikiria. Soma article post namba 69 hapo juu uone yaliyo chini ya kapeti. Waafrika mnadanganyika kirahisi, mtu kupunguza mishahara tu mshazuzuka. Mbona hata Nyerere aliwahi kupunguza mshahara wake na mpaka leo tunalalamikia umasikini wetu?

Katika wimbo wake wa "Greatest Love of All", muimbaji wa Kimarekani Whitney Houston aliimba hivi.

"Everybody searching for a hero
People need someone to look up to".

This is the problem.

Captain Ibrahim Traore knows this and is exploiting it for political gain.
Hatusemi kwamba kupunguza mishahara peke yake ndio kunamfanya mtu apate tiketi ya kuwa Rais hili ni la ziada tu kwake.
Kitendo cha yeye kusimama kijasiri na kuwatimua wazungu bila woga inatosha kabisa kuonyesha uwezo wake wakati viongozi wengine wakipigana vikumbo kupishana wakienda kujikomba kwa wazungu na wakidhani kwamba ili nchi zao ziendelee ni lazima kwanza wakajikombe kwa wazungu na kinachouma zaidi wakishaenda huko hawathaminiwi wanajazwa kwenye bus kama wanafunzi lakini bado hawashtuki baada ya mwaka wanaenda tena.
 
Hatusemi kwamba kupunguza mishahara peke yake ndio kunamfanya mtu apate tiketi ya kuwa Rais hili ni la ziada tu kwake.
Kitendo cha yeye kusimama kijasiri na kuwatimua wazungu bila woga inatosha kabisa kuonyesha uwezo wake wakati viongozi wengine wakipigana vikumbo kupishana wakienda kujikomba kwa wazungu na wakidhani kwamba ili nchi zao ziendelee ni lazima kwanza wakajikombe kwa wazungu na kinachouma zaidi wakishaenda huko hawathaminiwi wanajazwa kwenye bus kama wanafunzi lakini bado hawashtuki baada ya mwaka wanaenda tena.
Mkuu,

Kwani mtu hawezi kuwatimua Wazungu kimagumashi na kimaigizo ili apate mtaji wa kisiasa tu?

Kwani mtu hawezi kuwatimua wazungu kwa kiherehere cha kisiasa tu kisicho na tija za kiuchumi?

Mbona Nyerere alishawahi kuwafukuza wazungu Tanzania na mpaka sasa tunalia umasikini bado?

Kawafukuza vipi wazungu wakati anazungukwa na Warusi ila anafanya siri, kwani Warusi si wazungu?
 
Basi tuseme udikteta na utawala wa kijeshi kwa msaada wa mapinduzi unaleta maendeleo kuliko demokrasia.

Sudan imewahi fanyika majaribio ya mapinduzi mara 19, na 7 kati yake yalifanikiwa. Hali yake kiuchumi ikoje.
Bolivia ndio inaongoza kwa mapinduzi duniani na imeongozwa kidikteka muda mwingi. Uchumi wake ukoje.

Afrika ni bara la kwanza kwa kuwa na mapinduzi mengi, zaidi ya 50 tangu tupate uhuru miaka 65 hivi ila mapinduzi mengi kuliko mabara yanajitawala zaidi ya 200 years. Afrika mapinduzi yameleta maendeleo gani mbona ni ya mwisho
Hakuna guarantee ya kiongozi dikteta kuleta maendeleo, lakini kuna guarantee kwa kiongozi wa kidemokrasia kutoleta maendeleo. Kuna madikteta wamefanya vizuri Afrika. Shelisheli ina maendeleo makubwa sana ya watu. Sehemu kubwa ya maendeleo hayo yalipatikana wakati wa udikteta. Botswana leo inasifiwa demokrasia. Lakini Rais wao wa kwanza alitawala miaka nadhani 20. Ndiyo aliyejenga misingi waliyonayo Watswana leo. Hapo bado hatujaangalia mifano yenye nguvu kama Ghaddafi, Misri, South Korea na Singapore. Hata nchi tajiri za Uarabuni ni ushahidi tosha.

Pia dikteta si lazima atokane na mapinduzi ya kijeshi.
 
Mkuu,

Kwani mtu hawezi kuwatimua Wazungu kimagumashi na kimaigizo ili apate mtaji wa kisiasa tu?

Kwani mtu hawezi kuwatimua wazungu kwa kiherehere cha kisiasa tu kisicho na tija za kiuchumi?

Mbona Nyerere alishawahi kuwafukuza wazungu Tanzania na mpaka sasa tunalia umasikini bado?

Kawafukuza vipi wazungu wakati anazungukwa na Warusi ila anafanya siri, kwani Warusi si wazungu?
Angalia Marais wengine wa Africa wanavyojikomba na kulialia kama watoto.
Haya ndio maisha mnayoyataka yaani tuna kila kitu kwenye ardhi zetu lakini hatuumizi vichwa tunaziacha kwenda kutembeza bakuli kwente nchi za watu ni akili au matope.
 

Attachments

  • Screenshot_20240610_153615_LinkedIn.jpg
    Screenshot_20240610_153615_LinkedIn.jpg
    710.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240610_153615_LinkedIn.jpg
    Screenshot_20240610_153615_LinkedIn.jpg
    710.5 KB · Views: 3
Angalia Marais wengine wa Africa wanavyojikomba na kulialia kama watoto.
Haya ndio maisha mnayoyataka yaani tuna kila kitu kwenye ardhi zetu lakini hatuumizi vichwa tunaziacha kwenda kutembeza bakuli kwente nchi za watu ni akili au matope.
This logical fallacy is called a false dichotomy.

You are falsely assuming that, if I criticise Captain Traore, I must be supporting the status quo.

While I could be saying that both the status quo and Captain Traore are part and parcel of the same ruse.
 
This logical fallacy is called a false dichotomy.

You are falsely assuming that, if I criticise Captain Traore, I must be supporting the status quo.

While I could be saying that both the status quo and Captain Traore are part and parcel of the same ruse.
They are viceversa of each other since those people who bring democracy will have to manipulate us as long as they are the founders of that system.
 
They are viceversa of each other since those people who bring democracy will have to manipulate us as long as they are the founders of that system.
Nikimkataa Captain Traore hilo halimaanishi nimekubali uongozi wa status quo Africa.

Nikimkataa Captain Traore, nimemkataa Captain Traore tu.

Nikiikataa Yanga, hilo halimaanishi mimi lazima ni Simba.

Naweza kuikataa Yanga bila ya mimi kuwa Simba.

Usichoelewa nini?
 
Nikimkataa Captain Traore hilo halimaanishi nimekubali uongozi wa status quo Africa.

Nikimkataa Captain Traore, nimemkataa Captain Traore tu.

Nikiikataa Yanga, hilo halimaanishi mimi lazima ni Simba.

Naweza kuikataa Yanga bila ya mimi kuwa Simba.

Usichoelewa nini?
Wewe kama huipendi yanga na same time huipendi simba kwa kifupi utakuwa sio shabiki wa mpira wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom