Burkina Faso: Cptn. Ibrahima Traore apunguza mishahara ya wanasiasa

Burkina Faso: Cptn. Ibrahima Traore apunguza mishahara ya wanasiasa

Kwani idd Amin alianzaje mwanzoni mwa utawala wake si watu walikuwa wanasema ameletwa na Mungu ila baadae iliishaje...
mara nyingi utawala wa kupinduana kijeshi kama hivyo hauna mwisho mwema. Sifa kubwa ni kukataa kutoka madarakani na kuona nchi ni kama mali yako si mnamuona m7 wa ug.
Kuna baadhi ya ukweli katika hili. Lakini pia kuna wanajeshi walioacha madaraka wenyewe. Hii inatokana na mambo mengi, si rahisi kuzungumzia hapa. Kwani si kuna raia, Paul Biya, Nguma na wengine ilibidi kuwang'oa?
Ama juu ya Amin...wee hujui hujuma alizofanyiwa mpaka kugeuka kuwa mbaya. Kitendo cha Mwalimu kuwakaribisha wapinzani wake na kuwapa kambi karibu na mpaka wake, kuchochea uasi wa Waacholi ndani....ungekuwa wewe ungefanyaje?
 
Hata mugabe alianza kwa mbwembwe hizihizi lakini kili hocuata wanachi wanalia mpaka leo. Closed economy does not work anywhere.

Sana sana kitakachofuata hapo ni kuua kila anayemkosoa kwa strategy hizi mbovu anazotumia
Hata huku kwingine kwa demokrasia za wazungu hali mbaya pia......kwa sasa mbele kwa mbele
 
Hata mugabe alianza kwa mbwembwe hizihizi lakini kili hocuata wanachi wanalia mpaka leo. Closed economy does not work anywhere.

Sana sana kitakachofuata hapo ni kuua kila anayemkosoa kwa strategy hizi mbovu anazotumia
Kwa hiyo afanye kama CCM?
 
Hata huku kwingine kwa demokrasia za wazungu hali mbaya pia......kwa sasa mbele kwa mbele
Nchi za kidrmkokrasi zote zina maendeleo. Labda huelewi maana ya demokrasia. Demokrasia maana yake kila mhimili unajitemea na unafanya kazi kivyake ndo mana marekani rais anaweza kushtakiwa na kufungwa soyo tanzania wala afrika ambapo demokrasi hamna ispokuwa africa kusini tu
 
Nchi za kidrmkokrasi zote zina maendeleo. Labda huelewi maana ya demokrasia. Demokrasia maana yake kila mhimili unajitemea na unafanya kazi kivyake ndo mana marekani rais anaweza kushtakiwa na kufungwa soyo tanzania wala afrika ambapo demokrasi hamna ispokuwa africa kusini tu
mwendo tuwe kama wachina tu au urusi baas,,,demokrasia zimetushinda waafrika
 
Nchi za kidrmkokrasi zote zina maendeleo. Labda huelewi maana ya demokrasia. Demokrasia maana yake kila mhimili unajitemea na unafanya kazi kivyake ndo mana marekani rais anaweza kushtakiwa na kufungwa soyo tanzania wala afrika ambapo demokrasi hamna ispokuwa africa kusini tu
Demokrasia ni utawala wa wananchi kwa ajili ya wananchi. Kwa taarifahiyo Marekani ina nusu demokrasia tu. Katembelee. Milioni 2 walala nje, milioni 4 wako jela......
 
Sasa udictar ndo balaa. Mauaji nje nje. Hata mungu hapendi udictator ndo mana kamuwahisha jpm
Demokrasia ya afrika ya kuweka vibaraka ili waendeleze ukoloni mambo leo.......JPM alikua Yohana mbatizaji anaandaa njia, kwa sasa anahitajika mtu kama MAKONDA akae hadi afike miaka 200 baadae aje mwingine
 
Demokrasia ya afrika ya kuweka vibaraka ili waendeleze ukoloni mambo leo.......JPM alikua Yohana mbatizaji anaandaa njia, kwa sasa anahitajika mtu kama MAKONDA akae hadi afike miaka 200 baadae aje mwingine
Hatutaki sisi madictator. Hakuna nchi inayoongozwa na dictator afrika yenye maendeleo hata moja. Sana sana ni vilio na kisaga meno kama ambavyo wazazi wa qzory gwanda na ben saa nane bado wanalia mpaka leo au lisu kukoswa koswa kufa
 
Demokrasia ni utawala wa wananchi kwa ajili ya wananchi. Kwa taarifahiyo Marekani ina nusu demokrasia tu. Katembelee. Milioni 2 walala nje, milioni 4 wako jela......
Lakini rais hana power ispokuw naye anaongozwa na bunge tofauti na huku kwetu hasa hasa kipindi cha jpm ambaye alikuw anatembea na maburungutu ya pesa wakati bunge halijui yametoka wapi. Rais alikuwa bingw w kutakatisha pesa lakini mahakama kimya mana nazo zilikuwa mfukoni
 
Hatutaki sisi madictator. Hakuna nchi inayoongozwa na dictator afrika yenye maendeleo hata moja. Sana sana ni vilio na kisaga meno kama ambavyo wazazi wa qzory gwanda na ben saa nane bado wanalia mpaka leo au lisu kukoswa koswa kufa
Haina kutaka wala kuto kutaka muda ukifika itakua kama inavyotakiwa kua
 
Demokrasia sometime ni upumbavu wa kuwapumbaza watu.
Demon crassie.

Wala RUSHWA ni muhimu wanyongwe hadharani Ili watu waogope UOVU huo.

Mjerumani hakuwa Mjinga.

Eti Mwizi aibe pesa za umma, Kisha atumie hizo hizo kuhonga Judges Kisha anarudi kuwadharau.

RIP Magu,

Mungu atatuletea mwingine. Amen
 
Kumbe shida nii kuongea tu
Kuongea ndo mwanzo wa innovations hakuna mwenye hati miliki ya kuongea. Ingekuwa marekani watu hawana sauti kama zilivyo nchi za kiafrika basi matajiri kama akina elon musk wasingetokea na space x au star link zao. Rais hapaswi kudicatte mawazo ya watu. Kuwa rais hana maana kwamba una akili kushnda kila mtu. Nchi za afrika rais ni kila kitu anaamini hakuna mwenye aki kumzidi ndo mana jpm alikuwa anaenda kwa kushtukiza bandarini au airport na kuwaelekeza wataaalumu. Marekani hakuna ujinga kama huo
 
Demon crassie.

Wala RUSHWA ni muhimu wanyongwe hadharani Ili watu waogope UOVU huo.

Mjerumani hakuwa Mjinga.

Eti Mwizi aibe pesa za umma, Kisha atumie hizo hizo kuhonga Judges Kisha anarudi kuwadharau.

RIP Magu,

Mungu atatuletea mwingine. Amen
Kabisa JPM mwingine anakuja
 
Back
Top Bottom