Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Mkuu unadhani kwanini Mpaka kifo Bibi kidude alikuwa anapiga show ulaya ??? African Genre Ni muziki Super .... Ndicho anachofanya Burna ...Bro Patoranking ni nyoko sanaaa Jamaaa Anajua Since namuona kwenye Ngoma zake za Kwanza.
Another Level,Make Am,
Such Different,Kid of love, Acha izo kuna mkwaju yupo na Sarkodie wa Ghana hatariii
Hit nyingi kuliko Wiz na Davido?? Hapa umeongopa Hao viumbe viwili wana kete nyingi mno kaliiiBurna Boy ndiye artist number 1 Africa kwa sasa. Ngoma zake ni moto haswaa tena ana hits nyingi kumzidi huyo Wizkid na Davido.
Najua wengi mtabisha lakini huo ndio ukweli. Real is real. Jamaa anajua haswaa.
Kama hauamini kasikilize hii playlist:
1. Check and Balance
2. Ye
3. Gbona
4. Anybody
5. Collateral Damage
6. On the Low
7. Dangote
8. Killin Dem
Unforgetable
Burna hajaanza leo mziki kaka ameanza zamani sana since ana 10 yrz sema wewe ndo umemjua karibuni coz hana mambo ya skendo kama wengine ili kupush mziki
Amekuepo apo juu sinsi zaman sema mass kubwa ilikua haimtambui watakuja wengi wataimba mziki wa dunia ila jamaa atabaki why β coz ya style yake kua Pure African beatβ
Patoranking yule noma Anaimba mno. Ngoma zake zina Tani nyingiMkuu unadhani kwanini Mpaka kifo Bibi kidude alikuwa anapiga show ulaya ??? African Genre Ni muziki Super .... Ndicho anachofanya Burna ...
Patoranking namkubali Sana coz anaimba muziki ninaoupenda.
Sijalinganisha...nimesema Kila mtu ana era yake....simjui Burna unamjua wewe ndugu yako wa damu!Acha kulinganisha hizo takataka na Egbe Egbe Burna Boy .... Yaani unamlinganisha Korede Bello Na Burna .. Wewe Jamaa acha mambo yako humjui Burna Wewe...
aina yake ya mziki ni kama ya marehemu samu waukweliNilifikiri niko mwenyewe. Ninachoshangaa mbona wasanii wa nigeria wengi nawajua. Au yeye ngoma zake hazipigwi bongo?
hata yeye hajawahi kusikiliza ngoma zangu piaHumfahamu au Hujawahi sikiliza ngoma zake??
Pongolo Ni nini ??Najua alikuwepo muda mrefu ila hakuweza kupata spotlight hadi alivyokuja kivingine. Kingine mimi sisikiliziki tu nyimbo za mainstream maana kuna wengi tu hupigiwa promo while hawana uwezo..
Pia Burna sikuwahi kumuweka kama msanii the best maana hata yeye anaimba pongolo music na katika category ya Pure African sounds namuweka Simi na Mr flavour (japo huyu nae huwa anaimba pongolo).
Hit nyingi kuliko Wiz na Davido?? Hapa umeongopa Hao viumbe viwili wana kete nyingi mno kaliii
Kumbe humjui ...Sijalinganisha...nimesema Kila mtu ana era yake....simjui Burna unamjua wewe ndugu yako wa damu!
Davido___FallEmbu taja hit yeyote Africa inayozidi ngoma za Burna boy
Hahaha mkuu unanipa wakati mgumu Sana ... Umetaja kichwa ambacho huwa nakikubali Sana ...moja ya vichwa ambavyo Africa kmebarikiwa Ni Patoranking....
Patoranking na StoneBway ni tunu ambayo tumebarikiwa Africa kwenye Raga & Dancehall.
Jah'Bless Up
Yah unamjua wewe!Kumbe humjui ...
Kumbe unamjua yes kama mjamaica. Ukitaka Afrika isimame .Ila patoranking ana kichwa cha kutengeneza hit songz. Halafu anavyoimba Dancehall unaweza hisi ni mjamaica πππ
Pato namkubali
aina yake ya mziki ni kama ya marehemu samu waukweli
Davido___Fall
Wizkid__Come Closer.
Team Diamond tupo humu unataka kuleta mada.Hahaha sam wa ukweli n sawa na best naso
Burna ni next level asee usilinganishe ata na kina Mond au kiba
Pongolo Ni nini ??
Unataka zipi?Nyimbo za lini hizo?