Xavi Hernandez Alcantara
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 278
- 285
- Thread starter
-
- #141
Mkuu ntajie mambo ma3 tu ambayo Burna Boy kamzidi Wiz. Kwenye mzikiSo disgusting
Kwahiyo wewe ukaelewa Drake anaimba Pop.. Sasa mbona wewe ulimtaja Drake kwenye mada ya wasanii wa African Music inamaana Drake anaitwa African music Kama Burna???
Ok...Sikumaanisha what you mean BTW.
Zote achana nazo nenda Ghana kuna viumbe wawili wanajiita R2Breez walimpa Verse moja na Chorus apige ngoma inaitwa To Night. Bro ni nomaaaaaaaNoma ilo dude....wiz kid sio level za uyo mwamba....Malizia na dj xclusive ft wiz kid
Nilitaka nikutajie io ngoma kaanza verse na kaua chorus.....Tunatembea kwenye fikra sawa....Wiz kid ni motoZote achana nazo nenda Ghana kuna viumbe wawili wanajiita R2Breez walimpa Verse moja na Chorus apige ngoma inaitwa To Night. Bro ni nomaaaaaaa
Kama una sabufa sikilizia humo uone unyama wa Kidayo
Yani voice yake Daaah...Flow kaliiii...Biti zozote fresh tu...Nilitaka nikutajie io ngoma kaanza verse na kaua chorus.....Tunatembea kwenye fikra sawa....Wiz kid ni moto
Hahaha ndio alianza kuimba yeye alafu Emmtee baadae AKA combination ilitulia saanaRoll up-Emtee ft Wiz kid&A.K.A,Soweto girl
Naomba utupostie huo wimbo maana siuon YouTubeUtakuwa umemjua Burna boy Leo wewe... Jamaa huko UK kaanza kitambo zaidi ya Huyo Wizkid ... Kaisikilize Album yake ya African Giant Ni Moto...
Kwa taarifa yako Jamaa mwaka 2019 kaumaliza hivi ...
Nakukumbusha tu jamaa Hana mambo ya Kick kupush mziki wake Licha ya kuwa anatoka na demu mkali Steflon Den
Acha niendelee kusikiliza Goma lake Jipya Yuko na Eddy Sheran amelidondosha Jion Hii. View attachment 1268509
Kwenye album nzima ya African giant nyimbo zinazochezeka Tu hazizidi nne .Nigeria's new generation music hii ya kuchezeka tu. wanaija Walikuwa wakiita hivyo wakati inaanza kuendesha music industry yao
Wengi mnacheza nyimbo zake Sana kama gbona na on the low lakin hamjui muimbajiBurnaBoy nimemfahamu kwenye nyimbo ya kainama ya Harmonize
hahahaWengi mnacheza nyimbo zake Sana kama gbona na on the low lakin hamjui muimbaji
Shukrani mkuu pamoja na waliopita. Ngoja niende kuzisikiliza maana hitz zote naona ni club banging. Ngoja nimuweke katika listKwenye album nzima ya African giant nyimbo zinazochezeka Tu hazizidi nne .
Nyingine zote pure African
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]huvumi ila umo mama akeee
Hapo ndipo wabongo tunakosea ... Siko hapa kusema Nani Ni mkali zaidi ya mwingine... Niko hapa kutoa shout Out kwa Burna Boy...Mkuu ntajie mambo ma3 tu ambayo Burna Boy kamzidi Wiz. Kwenye mziki
Hapo Gud. Burna namuheshimu. Lkn Wiz na Davido Two Legends. Heshima kwao.Hapo ndipo wabongo tunakosea ... Siko hapa kusema Nani Ni mkali zaidi ya mwingine... Niko hapa kutoa shout Out kwa Burna Boy...
Mindset hizi ndizo zinafanya mziki wa bongo hauendi beyond the limit.
Baada ya Xenophobia Burna alikataa hataenda south ... Wao ndio walimfuata kwa kumpa dau kubwa ila alikataa hataomba msamaha hajafanya kosa lolote.. Yaani wao wawaue wanaijeria na aombe msamaha..Alikataa.Matamasha mawili yaliyopangwa kumshirikisha mwanamuziki nyota wa Nigeria huko nchini Afrika Kusini Burna Boy yamefutwa kufuatia "kuongezeka kwa vitisho vya ghasia.
Burna Boy alitarajiwa kutumbuiza katika tamasha la Africa Unite na mpango ulikua pesa itakayopatikana isaidie waathirika wa #xenophobia Afrika Kusini, lakini waandaaji wanasema matishio ya kufanyika fujo yaliongezeka hivyo wamelazimika kufuta tamasha.
Taarifa zinasema kuwa simu nyingi zilipigwa na raia wa nchi hiyo wakitaka Burna Boy aombe radhi kwa kauli yake aliyoitoa wakati mashambulizi ya hivi karibuni ya #xenophobia yalipofanyika ambapo msanii huyo alisema hato tua mguu wake nchini Afrika Kusini na kutaka wanao shambuliwa toka mataifa mengine wajilinde.
Kuna haja ya waafrika kuvutana au kupigana wenyewe kwa wenyewe?