Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,607
- 2,730
Wewe unachagua yupi ?, mwenye nguvu za kiume au mwenye pesa ??Hapahapa utawaona wale wanaume wanaosikilizia mchongo,pesa hawana ati wanatamba na nguvu zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unachagua yupi ?, mwenye nguvu za kiume au mwenye pesa ??Hapahapa utawaona wale wanaume wanaosikilizia mchongo,pesa hawana ati wanatamba na nguvu zao.
Yaani mtu na akili zake anasema eti heri nguvu za kiume kuliko Pesa. Hapo hapo anaomba elfu moja kwa mwenzake ili abeti.Wabongo kwa kuendekeza ngono !!
Wabongo kwa kuendekeza ngono !!, nguvu za kiume bila pesa zitakusaidia nini ?, utaweka mezani badala ya mkate ?, utapelekea wazazi kijijini hizo nguvu za kiume ?, pesa ndio heshima ya mtu, huyo changu aliyemzodoa jamaa atashangaa wenzake wanaenda hapo na wanatulia
YES! Naunga hoja! Tuna mavijana majinga sana kama Taifa.Yaani mtu na akili zake anasema eti heri nguvu za kiume kuliko Pesa. Hapo hapo anaomba elfu moja kwa mwenzake ili abeti.
Kuna watu wamefanya hii dunia iwe bora kabisa na hawakuwa na watoto wala mke na wengine walikuwa ni mahanithi kabisa. Huu ujinga ndiyo unasababisha vijana wetu wawekeze kwenye vumbi la Congo badala ya kuwekeza kwenye masomo au biashara.
Ukisikia wanasema "kazi kazi", jua wanazungumzia mambo ya ngono na siyo kazi ya kuwaletea kipato.
Wacha mambo zako pesa unailinganisha na mambò za ajabu? Nguvu za kiume ndo kitu gani?Wewe unachagua yupi ?, mwenye nguvu za kiume au mwenye pesa ??
Chukulia mko wawili tu duniani; anakupa hela nhingi utakavyo, ila anashindwa kukusugua, utafanyaje?Wacha mambo zako pesa unailinganisha na mambò za ajabu? Nguvu za kiume ndo kitu gani?
Mmh tutafanya hivo hivo hata dk moja sawa tu.Chukulia mko wawili tu duniani; anakupa hela nhingi utakavyo, ila anashindwa kukusugua, utafanyaje?
Inawezekana hata kufanya hawezi, zaidi ya kutumia mkono; uanaume wa kweli una umuhimu wake kabla ya fedhaMmh tutafanya hivo hivo hata dk moja sawa tu.
Ukishaona unakula hayo mapilipili manga na mavitu hayo uliyoyataja kiasili huna nguvu za kiume mwanaume aliyekamilika haitaji kula hayo mavitu yoteHapo kwenye punyeto ndio shida inapoanzia ukiweza kujidhibiti kutojichua, mishipa ya uume iwe imara, acha ulevi wa pombe kupita kiasi, fanya mazoezi kutembea au pushups, kula matunda na mlo kamili, halafu hauna stress plus uwe unapiga vitunguu saumu na tangawizi kila baada ya siku tatu kwa wiki, usisahau ndizi mbivu halafu uwe unatafuna pilipili manga na karafuu hizo nguvu ukizikosa basi una tatizo kubwa,
Anaijua shughuli yangu,Vipi mchepuko wako anasemaje katika hilo?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji200][emoji7][emoji851]
Mkuu haujui Ngyvu za kiume ni nini ?, kwani wewe unaishi wapi ?!!Wacha mambo zako pesa unailinganisha na mambò za ajabu? Nguvu za kiume ndo kitu gani?
Naishi msituni kabisaMkuu haujui Ngyvu za kiume ni nini ?, kwani wewe unaishi wapi ?!!
You are very intelligentWacha mambo zako pesa unailinganisha na mambò za ajabu? Nguvu za kiume ndo kitu gani?
Yes SirHela ya muhimu kuliko chochote
Chagua kimoja, kuridhishwa au pesa. Upewe vyote we' nani? Makalio au?Chukulia mko wawili tu duniani; anakupa hela nhingi utakavyo, ila anashindwa kukusugua, utafanyaje?