Burna Boy: Sina nguvu za kiume ila nina pesa nyingi

Burna Boy: Sina nguvu za kiume ila nina pesa nyingi

Bora nipewe vyote nguvu na pesa.nikiambiwa nichague kimoja nitachagua nguvu.pesa haina maana Kama shughuli huna mwanamke atakukimbia tu.

Atapata mahitaji yote ya kifedha,kula vizuri,kulala vizuri,kuvaa vizuri.sasa kwenye mahitaji ya kimwili hapo ndipo utasaidiwa hadi na gardener
Pesa utakopeshwa ila nguvu kila mtu anamatumizi nazo
 
Na isionekane kama namkufuru Mungu lakini, ni kheri ukose pesa lakini si nguvu za kiume.

Na ya kheri pesa yako iwe kidooogo sana lakini Mungu akupe uwezo wa kumpa ujauzito mwanamke.
Na huo ndio utukufu kwake.
 
Imagine ! kuna boss wangu mmoja walikuwa wanadai naye hawezi haya mambo eti, siku moja akasema nitachukua likizo niende vacation sehemu tulivuuu! waja tukaongeza tukiwa na udadisi flan ivi "yenye totoz wakali boss" si eti eh akajibu hapana akarudi "sehemu tulivuuu yenye kijaniii tuuu so cool" tukatizamana na wale wenzangu mh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ikawaje???
 
Kwa kweli aisee sasa mie unanipeleka sehemu tulivuu ya kijaniii [emoji1787] nigonge wine zangu alafu uniambie ni enjoy ukijani [emoji1787] aloooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Bora nipewe vyote nguvu na pesa.nikiambiwa nichague kimoja nitachagua nguvu.pesa haina maana Kama shughuli huna mwanamke atakukimbia tu.

Atapata mahitaji yote ya kifedha,kula vizuri,kulala vizuri,kuvaa vizuri.sasa kwenye mahitaji ya kimwili hapo ndipo utasaidiwa hadi na gardener
Wakati huo huo vidume mnasema kheri uwe na nguvu kuliko pesa, na wanawake wanasema kheri wawe na mwanaume mwenye pesa kuliko mwenye nguvu....

Hii dunia wacha tu
 
Vijana.. ngoja niwaache....

Lakini maisha ni zaidi ya ngono, starehe na mengineyo. Kwanza naona wengi wenu mmechanganya kati ya Nguvu za Kiume na Uhanithi. Sasa kuchanganya huko kumewatoa kabisa nje ya Mada.

Zaidi ya yote, tafuteni pesa. Haya majigambo ya nguvu za kiume mkifikia umri wetu, mtagundua hakuna kitu mmepata kwa kuwa na nguvu za kiume.

Hebu fikirieni kwa mfano. Mtu Mwenye nguvu za kiume anapopata tatizo la kumaliza hiyo nguvu ya kiume na yeye hana pesa, anabakiwa na nini? Kwenye ulimwengu huu ili maisha yaende unatakiwa uwe na uwezo wa kuyaendesha ni lazima uwe na rasirimali na kwa ulimwengu wa sasa, ni PESA.

Zamani mababu zetu waliokuwa na wake wengi walikuwa na mashamba makubwa pia, leo huna hela hizo nguvu zako atazitaka nani? Mwanamke anakuja kwako unashindwa kumlisha, kumvisha na kumtimizia mahitaji yake mengine, unadhani utaweza kummiliki kwa kuwa tu unamfurahisha kitandani?
 
Vijana siku hizi mnalalamika sana kuwa wazee wanawachukulia wapenzi wenu. Unadhani ni kwa kuwa wana nguvu za kiume kuliko nyie? Wana UKWASI.

Kuna vijana wangapi walikuwa wanamtamani Jacquiliine Ntuyabaliwe wakaishia kumtamani lakini Mzee Mengi akambeba mazima... Mambo ya Burnay Boy na Stefflon Don ni maneno wanayorushiana wapenzi wanaoachana na wala si ya kuyafanya rejea kwa maisha halisi.
 
Vijana.. ngoja niwaache....

Lakini maisha ni zaidi ya ngono, starehe na mengineyo. Kwanza naona wengi wenu mmechanganya kati ya Nguvu za Kiume na Uhanithi. Sasa kuchanganya huko kumewatoa kabisa nje ya Mada.

Zaidi ya yote, tafuteni pesa. Haya majigambo ya nguvu za kiume mkifikia umri wetu, mtagundua hakuna kitu mmepata kwa kuwa na nguvu za kiume.

Hebu fikirieni kwa mfano. Mtu Mwenye nguvu za kiume anapopata tatizo la kumaliza hiyo nguvu ya kiume na yeye hana pesa, anabakiwa na nini? Kwenye ulimwengu huu ili maisha yaende unatakiwa uwe na uwezo wa kuyaendesha ni lazima uwe na rasirimali na kwa ulimwengu wa sasa, ni PESA.

Zamani mababu zetu waliokuwa na wake wengi walikuwa na mashamba makubwa pia, leo huna hela hizo nguvu zako atazitaka nani? Mwanamke anakuja kwako unashindwa kumlisha, kumvisha na kumtimizia mahitaji yake mengine, unadhani utaweza kummiliki kwa kuwa tu unamfurahisha kitandani?
Dah! Uwe na pesa lkn upigi mbususu vzr? Haiwezekani tena kwa hawa wasanii wanavyokutana ma-video queen wa kuwango cha juu?
 
Dah! Uwe na pesa lkn upigi mbususu vzr? Haiwezekani tena kwa hawa wasanii wanavyokutana ma-video queen wa kuwango cha juu?
Bill na Hilary Clinton wana mtoto mmoja tu, Chelsea. Lakini hao jamaa kwa tanzania ni watu wachache sana wanaoweza kusema wameisha maisha yao kwa kikomo (Life to the fullest) kama hao jamaa. Sisi maskini tunadhani ngono ni ushujaa na utambulisho wa uanaume.

Kumbe unaweza kuwa na umbo la kiume na usiwe mwanaume. Uanaume ni kutimiza majukumu siyo pilika pilika za kitandani.
 

Pesa bila nguvu za kiume yafaa nini?
Wabongo kwa kuendekeza ngono !!, nguvu za kiume bila pesa zitakusaidia nini ?, utaweka mezani badala ya mkate ?, utapelekea wazazi kijijini hizo nguvu za kiume ?, pesa ndio heshima ya mtu, huyo changu aliyemzodoa jamaa atashangaa wenzake wanaenda hapo na wanatulia
 
Bora nipewe vyote nguvu na pesa.nikiambiwa nichague kimoja nitachagua nguvu.pesa haina maana Kama shughuli huna mwanamke atakukimbia tu.

Atapata mahitaji yote ya kifedha,kula vizuri,kulala vizuri,kuvaa vizuri.sasa kwenye mahitaji ya kimwili hapo ndipo utasaidiwa hadi na gardener
Acha aende zake, utabaki hapo unakula pesa zako, kwani ukiwa na nguvu za kiume huna pesa utakula hizo nguvu za kiume ???!¡!
 
Back
Top Bottom