AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,880
- 8,424
Eeh hatutak ubuyu sisi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mleta uzi kwa kushirikiana na demu wa Burna Boy, daaah! Nimecheka sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh hatutak ubuyu sisi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mleta uzi kwa kushirikiana na demu wa Burna Boy, daaah! Nimecheka sana.
Wewe hujawahi kukumbana na dhiki za dunia mpaka unatamani uuze figo?Kuna mtu mmoja tuliwahi bishana humu, anasema heri kutokuwa na nguvu za kiume (jogoo hawiki) ila uwe na pesa. Sikumbuki ni nani.
Nilishangaa sana mpaka nilihisi huenda si rizki.
Nilishapitia mengi sana mkuu, lakini hata siku moja sijawahi kuwaza kutoa uanaume wangu kafaraWewe hujawahi kukumbana na dhiki za dunia mpaka unatamani uuze figo?
Imagine ! kuna boss wangu mmoja walikuwa wanadai naye hawezi haya mambo eti, siku moja akasema nitachukua likizo niende vacation sehemu tulivuuu! waja tukaongeza tukiwa na udadisi flan ivi "yenye totoz wakali boss" si eti eh akajibu hapana akarudi "sehemu tulivuuu yenye kijaniii tuuu so cool" tukatizamana na wale wenzangu mhWacha tutambe na nguvu zetu bwana wewe....ukijua unapata lishuga mammy maisha yanaenda freah kabisa.
Sasa hela unayo alafu hutombiii raha ya dunia iko wapi
Raha ya hela uweze kufurahia tendo na totoz pisi kaliImagine ! kuna boss wangu mmoja walikuwa wanadai naye hawezi haya mambo eti, siku moja akasema nitachukua likizo niende vacation sehemu tulivuuu! waja tukaongeza tukiwa na udadisi flan ivi "yenye totoz wakali boss" si eti eh akajibu hapana akarudi "sehemu tulivuuu yenye kijaniii tuuu so cool" tukatizamana na wale wenzangu mh
Kwa kweli aisee sasa mie unanipeleka sehemu tulivuu ya kijaniii 🤣 nigonge wine zangu alafu uniambie ni enjoy ukijani 🤣 alooooRaha ya hela uweze kufurahia tendo na totoz pisi kali
Wakati hapo wine ilisha amsha genye vilivyo kyupi ndio ilishalowa unachohitaji wewe ni kumbato na kuanza kupelekewa moto🤣🤣🤣🤣Kwa kweli aisee sasa mie unanipeleka sehemu tulivuu ya kijaniii 🤣 nigonge wine zangu alafu uniambie ni enjoy ukijani 🤣 aloooo
Hayo yako wewe.Bora nipewe vyote nguvu na pesa.nikiambiwa nichague kimoja nitachagua nguvu.pesa haina maana Kama shughuli huna mwanamke atakukimbia tu.
Atapata mahitaji yote ya kifedha,kula vizuri,kulala vizuri,kuvaa vizuri.sasa kwenye mahitaji ya kimwili hapo ndipo utasaidiwa hadi na gardener
Haswaaaaaa naambiwa haya mama enjoy ukijaniiii 🙄Wakati hapo wine ilisha amsha genye vilivyo kyupi ndio ilishalowa unachohitaji wewe ni kumbato na kuanza kupelekewa moto🤣🤣🤣🤣
Huelewi tafsiri halisi ya No Woman No Cry!Bila shaka [emoji817].tunaishi kwa ajili ya wanawake.jiulize bila wanawake dunia ingekuwaje?
Ndo maana mzee bob Marley alisema NO WOMEN,NO CRY
Jamaa libishi sana yaani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanakukataa na mtazamo wako. Poleeeeeeeh
HELA imeishinda Nguvu za kiumeee. Weraaaaaaaaaah.
Money is power! ngawilaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanakukataa na mtazamo wako. Poleeeeeeeh
HELA imeishinda Nguvu za kiumeee. Weraaaaaaaaaah.
Duuuh ndo najua leo! Ila hata akiwa na mdomo mchafu vipi, hakuna kipya so ningekuwa Burna ningejibu tu yaani. Huyo E Don ni kimer tuDemu kama Steflon Don hilo ndiyo jibu lake sahihi,MR Burna akijaribu kubishabisha atakutana na gubu la kijamaica,mademu wenye asili ya huko wana midomo michafu kushinda hata Dada zangu wa Buza.
Hakuna neno chafu jipya duniani.Demu kama Steflon Don hilo ndiyo jibu lake sahihi,MR Burna akijaribu kubishabisha atakutana na gubu la kijamaica,mademu wenye asili ya huko wana midomo michafu kushinda hata Dada zangu wa Buza.
Hahahahah! Ishi life lako CocaMie ni keme.
Vipi mchepuko wako anasemaje katika hilo?😁😁😁😁🐷😍🤓
Kukomaa mwili hakuna uhusiano wowote na 'nguvu za kiume', ukubwa wa pua si wingi wa kamasi.Lakini mbona jamaa anaonekana mtu wa zoezi sana, hii ishu ya nguvu za kiume inazidi kuwa sugu kwenye jamii, ila mipombe nayo wanayokunywa inawamaliza.
Si unatumia ulimi na vidoleBora nipewe vyote nguvu na pesa.nikiambiwa nichague kimoja nitachagua nguvu.pesa haina maana Kama shughuli huna mwanamke atakukimbia tu.
Atapata mahitaji yote ya kifedha,kula vizuri,kulala vizuri,kuvaa vizuri.sasa kwenye mahitaji ya kimwili hapo ndipo utasaidiwa hadi na gardener
Shangaa na wewe ndugu hakimu
Pesa bila nguvu za kiume yafaa nini?