Black Coffee
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,931
- 3,177
Tuma no za burna tukajiridhishe [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana halisi ya kutokuwa na pesaSasa huo NI UFUKARA
Hebu ninong'oneze......wewe ni ke au me !?👫Hebu kuwa huru na ufunguke, jambo gan linakuchanganya???
Huu mstari ulistahili uwepo kwenye kitabu cha mhubiri kwenye biblia.
Pesa bila nguvu za kiume yafaa nini?
Mie ni keme.Hebu ninong'oneze......wewe ni ke au me !?[emoji127]
Kwaiyo Bob Marley ndo reference yako?bila shaka [emoji817].tunaishi kwa ajili ya wanawake.jiulize bila wanawake dunia ingekuwaje?
Ndo maana mzee bob Marley alisema NO WOMEN,NO CRY
ulitaka nimnukuu Nani?Kwaiyo Bob Marley ndo reference yako?
PUNYETO haina uhusiano na nguvu za kiume. Mm Sina demu najichua kila siku lakini nkiendaga shoo buguruni au Temeke wanaombaga poo. Hii fikra ya PUNYETO inatokeaga wapi?Hapo kwenye punyeto ndio shida inapoanzia ukiweza kujidhibiti kutojichua, mishipa ya uume iwe imara, acha ulevi wa pombe kupita kiasi, fanya mazoezi kutembea au pushups, kula matunda na mlo kamili, halafu hauna stress plus uwe unapiga vitunguu saumu na tangawizi kila baada ya siku tatu kwa wiki, usisahau ndizi mbivu halafu uwe unatafuna pilipili manga na karafuu hizo nguvu ukizikosa basi una tatizo kubwa,
Opportunist 😆Kama unasoma uzi huu na haugegedwi vizuri njoo PM
Ni mpunga huyo mkuu!! Mwenye misimamo yake na anajikubaliHebu ninong'oneze......wewe ni ke au me !?👫
Hapana chief, pombe ina madhara mkuu, japo hayaonekani kwa haraka lakini sio poa, ukinywa kwa kiasi labda, japo sijui hicho kiasi wanachosema, ninachojua mwili unahitaji mapumziko mazuri.Mkuu pombe mnaisingizia bure. Kama nguvu huna huna tu.
Umeandika structure ta kiyunani yaani kama waraka flani hivi kwa wakolosai[emoji23][emoji23]
Pesa bila nguvu za kiume yafaa nini?
Girls ain't nothing but problem -Dj Jazzy Jeff and Fresh PrinceView attachment 2345023
Steflon Don; ni staa mkubwa wa muziki nchini Uingereza ambaye hivi karibuni amezua sintofahamu baada ya kudai kuwa ex wake ambaye ni staa muziki nchini Nigeria, Burna Boy hana uwezo wa kumridhisha mwanamke kimapenzi.
Kwa mujibu wa Steflon Don, hiyo ndiyo sababu iliyomfanya kuvunja uhusiano wake wa kimapenzi na staa huyo mkubwa barani Afrika.
Steflon Don alisema;
“Nilimwacha Burna Boy kwa sababu hakuweza kunipa ujauzito na kubwa zaidi hakuwahi kuniridhisha kitandani kwa sababu performance yake kitandani ni mbovu sana.”
Baada ya kauli hiyo ndipo Burna Boy akajibu yafuatayo;
“Ni kweli sina nguvu za kiume (jogoo hawiki) na siwezi kumpa ujauzito mwanamke, lakini nina pesa kwangu hii inatosha…”