Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini mbona jamaa anaonekana mtu wa zoezi sana, hii ishu ya nguvu za kiume inazidi kuwa sugu kwenye jamii, ila mipombe nayo wanayokunywa inawamaliza.
Sawa umeshampa hela. Haja zake za kimwili anazimaliza Nani?
Leo watu wamegeuka humu [emoji23]Kama ana Pesa ndio NGUVU ZENYEWE. Au mnasemaje dadaz?
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Pombe inasingiziwaga tu labda hayo mengine!Hapo kwenye punyeto ndio shida inapoanzia ukiweza kujidhibiti kutojichua, mishipa ya uume iwe imara, acha ulevi wa pombe kupita kiasi, fanya mazoezi kutembea au pushups, kula matunda na mlo kamili, halafu hauna stress plus uwe unapiga vitunguu saumu na tangawizi kila baada ya siku tatu kwa wiki, usisahau ndizi mbivu halafu uwe unatafuna pilipili manga na karafuu hizo nguvu ukizikosa basi una tatizo kubwa,
Mleta mada wewe naye kilaza tu, kwa nini unaelezea stori upande mmoja tuu? hujaelezea kwamba Burna na Steflon waliachana kwa ugomvi.
Baada ya hapo Burna akamtungia wimbo Steflon unaoitwa "Last Last" ambao ni hit song haswaa.
Kwenye huo wimbo intro yake inasema;"E don cast
Last, last
Na everybody go chop breakfast (na everybody go chop breakfast)
Have to say bye-bye, oh
Bye-bye, oh
To the love of my life".
Sasa hako ka mstari ka "Na everbody go chop breakfast" unamaanisha kwamba "Steflon ni malaya anayegawagawa kirahisi ndiyo maana alimuacha".
Baada ya hapo ndo Steflon akaamua kumchafua jamaa kwa kumsingizia kwamba "Hajiwezi Kitandani" ambayo ni tuhuma za kawaida kutoka kwa mademu pindi wanapoachwa.
Labda .pia maandishi yako yanachosha kusomaNimeelezea mwishoni mwa comment yangu mkuu, hukusoma hadi mwisho.
Mkuu hapo ni kuacha tu punyeto. Hayo mengine ikiwemo pombe hayana madhara sana...Hapo kwenye punyeto ndio shida inapoanzia ukiweza kujidhibiti kutojichua, mishipa ya uume iwe imara, acha ulevi wa pombe kupita kiasi, fanya mazoezi kutembea au pushups, kula matunda na mlo kamili, halafu hauna stress plus uwe unapiga vitunguu saumu na tangawizi kila baada ya siku tatu kwa wiki, usisahau ndizi mbivu halafu uwe unatafuna pilipili manga na karafuu hizo nguvu ukizikosa basi una tatizo kubwa,
Pombe inasingiziwaga tu labda hayo mengine!
Watu waache tu punyeto. Mtu akiacha punyeto haichukui muda mrefu anakuwa sawa labda kama alizaliwa na tatizo.Pombe inasingiziwaga tu labda hayo mengine!
Huwa unanifurahisha sana hapa jamvini kila ninaposoma mabandiko yako...ila kuna jambo moja linanichanganya cocastic.HELA kwanza, Mengine baadae.
Piga kelele kwa HELA yake, Weuweeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda .pia maandishi yako yanachosha kusoma
Kwani tunaishi kwaajili ya wanawake tu?Bora nipewe vyote nguvu na pesa.nikiambiwa nichague kimoja nitachagua nguvu.pesa haina maana Kama shughuli huna mwanamke atakukimbia tu.
Atapata mahitaji yote ya kifedha,kula vizuri,kulala vizuri,kuvaa vizuri.sasa kwenye mahitaji ya kimwili hapo ndipo utasaidiwa hadi na gardener
akijibu nitagi fastaKwani tunaishi kwaajili ya wanawake tu?
Jamaa ni fundi haswaaa, na mwaka huu kapiga shows za kufa mtu, anapigia kwenye ma arena tuu, na kote ni sold-out.Nimesikiliza huu wimbo mpaka mwisho naweza sema huyu Mpumbavu Burna Boy kaimba wimbo mzuri sana. Kimsingi huyu mshenzi ANAJUA