Burna Boy: Sina nguvu za kiume ila nina pesa nyingi

Burna Boy: Sina nguvu za kiume ila nina pesa nyingi

View attachment 2345023

Steflon Don; ni staa mkubwa wa muziki nchini Uingereza ambaye hivi karibuni amezua sintofahamu baada ya kudai kuwa ex wake ambaye ni staa muziki nchini Nigeria, Burna Boy hana uwezo wa kumridhisha mwanamke kimapenzi.

Kwa mujibu wa Steflon Don, hiyo ndiyo sababu iliyomfanya kuvunja uhusiano wake wa kimapenzi na staa huyo mkubwa barani Afrika.
Steflon Don alisema;
Nilimwacha Burna Boy kwa sababu hakuweza kunipa ujauzito na kubwa zaidi hakuwahi kuniridhisha kitandani kwa sababu performance yake kitandani ni mbovu sana.”

Baada ya kauli hiyo ndipo Burna Boy akajibu yafuatayo;
Ni kweli sina nguvu za kiume (jogoo hawiki) na siwezi kumpa ujauzito mwanamke, lakini nina pesa kwangu hii inatosha…”
Huyo steflon don't Mimi pre ejaculation moja tu angeitwa mama siku nyingi sana
 
Lakini mbona jamaa anaonekana mtu wa zoezi sana, hii ishu ya nguvu za kiume inazidi kuwa sugu kwenye jamii, ila mipombe nayo wanayokunywa inawamaliza.

Watu wanachelewa kuzalisha. Bao la mtu wa 16 mpaka 28 huwa lina nguvu kubwa kutungisha mimba.. kuliko bao la over 28. Use google kufanya research kuhusu Men sperm quality
 
Huyu wa kwetu pia wanawake warembo wanamuacha na utabiri wote alio nao ila kwa maadili ya ki-Tanzania wamemtumzia Siri.
 
Bora nipewe vyote nguvu na pesa.nikiambiwa nichague kimoja nitachagua nguvu.pesa haina maana Kama shughuli huna mwanamke atakukimbia tu.
Atapata mahitaji yote ya kifedha,kula vizuri,kulala vizuri,kuvaa vizuri.sasa kwenye mahitaji ya kimwili hapo ndipo utasaidiwa hadi na gardener
"Pesa haina maana kama shughuli huna mwanamke atakukimbia "..

Bro unaijua stress ya kutokuwa na hela

yaani njaa ikupige, unadharauliwa na ndugu hadi mbwa wa mtaa wanakubwekea ukipita kwa jinsi unavyonuka shida, madeni kila kona na hata hujui usiku utakula nini,

hizo nguvu za kuwaza sex unatolea wapi
 
"Pesa haina maana kama shughuli huna mwanamke atakukimbia "..

Bro unaijua stress ya kutokuwa na hela

yaani njaa ikupige, unadharauliwa na ndugu hadi mbwa wa mtaa wanakubwekea ukipita kwa jinsi unavyonuka shida, madeni kila kona na hata hujui usiku utakula nini,

hizo nguvu za kumaar sex unatolea wapi

Huyo bado mtoto hajui kwa nini

Wahenga walitunga msemo adui muombee njaa.

Kukosa pesa maana yake ni njaaa . Sasa anafananisha njaa na sex
 
Kama unasoma uzi huu na haugegedwi vizuri njoo PM
 
Huyo bado mtoto hajui kwa nini

Wahenga walitunga msemo adui muombee njaa.

Kukosa pesa maana yake ni njaaa . Sasa anafananisha njaa na sex

Njaa mbaya sana brother

Imagine ukiingia muhimbili kuna wagonjwa kibao wanarudishwa home sababu hawana uwezo wa kugharamia matibabu, kiufupi wanamuacha mgonjwa afe huku wanamuona na hata maiti yake ikiwa ghali kuitoa wanaitelekeza

Na hata street tu mtu anaona kheri ameze panadol kuliko kwenda hospitali maana, hata buku mbili ya kula hana, atapataje hela ya vipimo na dawa

Hivi JF wanaujua umaskini 😁😁😁😁, itakuwa exposure tunadhani ni kwenda USA, hata ukienda kwa mtogole ni exposure pia
 
"Pesa haina maana kama shughuli huna mwanamke atakukimbia "..

Bro unaijua stress ya kutokuwa na hela

yaani njaa ikupige, unadharauliwa na ndugu hadi mbwa wa mtaa wanakubwekea ukipita kwa jinsi unavyonuka shida, madeni kila kona na hata hujui usiku utakula nini,

hizo nguvu za kuwaza sex unatolea wapi
Sasa huo NI UFUKARA
 
"Pesa haina maana kama shughuli huna mwanamke atakukimbia "..

Bro unaijua stress ya kutokuwa na hela

yaani njaa ikupige, unadharauliwa na ndugu hadi mbwa wa mtaa wanakubwekea ukipita kwa jinsi unavyonuka shida, madeni kila kona na hata hujui usiku utakula nini,

hizo nguvu za kuwaza sex unatolea wapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanashangazaa kweli humu ndani.

Waelezeeeeee.
 
Back
Top Bottom