Burna Boy: Sina nguvu za kiume ila nina pesa nyingi

Burna Boy: Sina nguvu za kiume ila nina pesa nyingi

Hili sio la kujivunia pesa haishindi nguvu za kiume.
Naona kama anajivunia pesa.

Kwa wanawake nguvu za kiume ni muhimu lkn kwa malaya pesa ni nguvu za kiume
 
View attachment 2345023

Steflon Don; ni staa mkubwa wa muziki nchini Uingereza ambaye hivi karibuni amezua sintofahamu baada ya kudai kuwa ex wake ambaye ni staa muziki nchini Nigeria, Burna Boy hana uwezo wa kumridhisha mwanamke kimapenzi.

Kwa mujibu wa Steflon Don, hiyo ndiyo sababu iliyomfanya kuvunja uhusiano wake wa kimapenzi na staa huyo mkubwa barani Afrika.
Steflon Don alisema;
Nilimwacha Burna Boy kwa sababu hakuweza kunipa ujauzito na kubwa zaidi hakuwahi kuniridhisha kitandani kwa sababu performance yake kitandani ni mbovu sana.”

Baada ya kauli hiyo ndipo Burna Boy akajibu yafuatayo;
Ni kweli sina nguvu za kiume (jogoo hawiki) na siwezi kumpa ujauzito mwanamke, lakini nina pesa kwangu hii inatosha…”
Ahahahah
 
Duuuh, hilo la kutoweka ujauzito inaweza isiwe shida sana, maana wanaweza hata wakaasili mtoto, ila kutogonga mzigo vizuri, jamaa inabidi akomae na vitunguu saumu na matangawizi, kujitetea kwamba ana hela haitoshi.
Huyo jamaa ni mjanja sasa. Sasa hivi atawagonga sana mademu wenu kwakuwa ana hela na hakuna wa kudai amezaa nae. Mtabambikiwa nyie maskini mnaojisifia eti mwanaume mashine.
 
Mleta mada wewe naye kilaza tu, kwa nini unaelezea stori upande mmoja tuu? hujaelezea kwamba Burna na Steflon waliachana kwa ugomvi.

Baada ya hapo Burna akamtungia wimbo Steflon unaoitwa "Last Last" ambao ni hit song haswaa.

Kwenye huo wimbo intro yake inasema;​
"E don cast
Last, last
Na everybody go chop breakfast (na everybody go chop breakfast)
Have to say bye-bye, oh
Bye-bye, oh

To the love of my life".

Sasa hako ka mstari ka "Na everbody go chop breakfast" unamaanisha kwamba "Steflon ni malaya anayegawagawa kirahisi ndiyo maana alimuacha".

Baada ya hapo ndo Steflon akaamua kumchafua jamaa kwa kumsingizia kwamba "Hajiwezi Kitandani" ambayo ni tuhuma ya kawaida kutoka kwa mademu pindi wanapoachwa.

Sahii kabisa,
Ni sawa na utukanwe una kibamia baada ya kuachana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya makosa watu wengi maarufu wanafanya, unapopata status ni vizuri kupay attention kwa kila anayekuzunguka, measure your circle before they ruin your reputation.

So much depends on reputation, guard it with your life-Law 5
 
"Nasifiwa kwa mapenzi na mademu/
wanapagawa mpaka wananiita haaaaandsoomee"
Usijali sana hebu dadavua hapa....twosome (mapenzi ya wawili), threesome (mapenzi ya watatu)..sasa.. handsome...
 
Mleta mada unatuchanganya, ujue hapo umeongelea vitu vitatu tofauti!
1.hana nguvu za kiume
2.jogoo hawiki (hanithi)
3.hawezi kumpa ujauzito mwanamke

Sasa sijui tushike lipi hapo?
 
Ewe Mwenyezi Mungu, endelea kunizidishia haya kama sio hela lakini nguvu nizidishie [emoji120][emoji120]
 
Mleta mada unatuchanganya, ujue hapo umeongelea vitu vitatu tofauti!
1.hana nguvu za kiume
2.jogoo hawiki (hanithi)
3.hawezi kumpa ujauzito mwanamke

Sasa sijui tushike lipi hapo?
Hilo nda tatzo la kudate na Wadada wasiojielewa/ -ve attitude

Kuna watu wana electile dysfunction yan mjomba anasimama lakini si strong huyu mtu anatungidha mimba fresh kabisa ila swala la kuridhishana ndo utajibeba.

Kuna mtu asimamish kabisaaaa hata mara moja kwa mwaka huyu anaweza akawa na mbegu zenye uwezo wa kutungisha mimba lakini asipate nafasi ya kuzipandikiza kutunga mimba kutokana na udhaifu wake. Na huyu hawezi kabisa kushiriki tendo hata kuchafua tu.

Kuna mtu mbegu zake hazina uwezo wa kutungidha mimba kabisa hata kama ni kishoka kias gani anaweza kwenda round buku za maana lakini atungish mimba kamwe.

Kwa hivyo mleta uzi kwa ushirikiano na Dame wa Burna Boy watueleze Mwanetu ana tatizo gani haswa.
 
Huyo jamaa ni mjanja sasa. Sasa hivi atawagonga sana mademu wenu kwakuwa ana hela na hakuna wa kudai amezaa nae. Mtabambikiwa nyie maskini mnaojisifia eti mwanaume mashine.
Chief mbona kama umehamaki, kama na wewe una hiyo shida pia nenda kapate ushauri, hakuna sehemu niliyosema mimi mwanaume mashine, halafu suala la mimi kuwa maskini, duh! mimi sio tajiri wala sio maskini pia.
 
Hilo nda tatzo la kudate na Wadada wasiojielewa/ -ve attitude

Kuna watu wana electile dysfunction yan mjomba anasimama lakini si strong huyu mtu anatungidha mimba fresh kabisa ila swala la kuridhishana ndo utajibeba.

Kuna mtu asimamish kabisaaaa hata mara moja kwa mwaka huyu anaweza akawa na mbegu zenye uwezo wa kutungisha mimba lakini asipate nafasi ya kuzipandikiza kutunga mimba kutokana na udhaifu wake. Na huyu hawezi kabisa kushiriki tendo hata kuchafua tu.

Kuna mtu mbegu zake hazina uwezo wa kutungidha mimba kabisa hata kama ni kishoka kias gani anaweza kwenda round buku za maana lakini atungish mimba kamwe.

Kwa hivyo mleta uzi kwa ushirikiano na Dame wa Burna Boy watueleze Mwanetu ana tatizo gani haswa.
🤣🤣🤣🤣 mleta uzi kwa kushirikiana na demu wa Burna Boy, daaah! Nimecheka sana.
 
Back
Top Bottom