Waliingia kilema cha maisha wengine wameishakufa mbolea na mmoja nasikia yuko mahututi. Mwacheni Mungu aitwe MunguHakika furaha haijifichi. Baada ya kunfanyia endorsement Wakili Mwabukusi kuwa Rais wa TLS na hatimaye kushinda uchaguzi huo, furaha ya Mwanasheria nguli nchini na Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu haikufichika.
Hapa anasakata lumba kama kawaida. Mcheki!
View attachment 3060390
Wenzio akina Mudawote na Etwege ufahamu umeshaanza kuwarudia, wapumba.vu mmebaki wachache humu, Ni wewe, ChoiceVariable, Tlaatlaah na Lucas MwashambwaHii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
Police nao ni tawi la ccm kipi cha ajabuHii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
Yuko hapo kama kiongozinwa chadema, ndio maana alianza kupiga kampeni za mambo ya ngorongoroKwa Lissu yupo hapo kama kiongozi wa CDM au wakili ambaye ni mwanachama wa TLS?
Amenikumbusha mwaka 47 baada ya kuvuna mazao na kuyauza, hapo Mfukoni una kibunda cha maana....Mzee mwenzako huyo na rhumba
Hayo majoka ukiyaruka hayakung'ati? πAmenikumbusha mwaka 47 baada ya kuvuna mazao na kuyauza, hapo Mfukoni una kibunda cha maana....
Ni mwendo wa kuruka Majoka tu hadi monie
Bora tumezeeka sasa π€
Lissu ni mtu na nusuHii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
Yeah, maana sio kwa vile vyuma, vimemfanya awe mtu na zaidi, mtu wa kawaida hawezi kuwa na vyumaLissu ni mtu na nusu
Propaganda hizo zimeanza baada ya mgombea wa chama kukataliwa.Hii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
Kuruka Majoka ndiyo nyie Siku hizi mnaita "Disko"Hayo majoka ukiyaruka hayakung'ati? π
Huo mwaka 47 ni wa mchongo.
Sjui inakuaje mbaya ikiwa mdomo wa CDM lkn safi ikiwa domo la ccm. Na inaonekana haina ubaya ingekua act, nccr, cuf au kinginecho. Nlitegmea watu kua na +ve outlook ktk mambo haya na kpendkeza mambo tofauti na haya ya kiumbea-umbea, watu wapendekeze ya kimaendleo zaidiHii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
HAKI AMANI NA UPENDO NDIYO MISINGI MIKUU YA MAENDELEOWale waliotaka kumtanguliza wako wapi leo?? Dunia ya Mungu hii tuishi kwa amani na upendo. Hakika siku moja tutacheza dance kama Hilo kushangilia kuondolewa kwa mkoloni mweusi.
Siku hizi tunaita disko au mziki mnene huku tukivuta shisha. πKuruka Majoka ndiyo nyie Siku hizi mnaita "Disko"
Enzi zetu ilikuwa tunaruka Majoka hasa π€
Ngoja nitafute picha yangu ya Mwaka 47 nikiwa naruka Majoka labda ndiyo utaamini π
Last week nilienda na Bibi yenu pale Norasco Pub Kigamboni kuruka Majoka, akajikuta ana shangaa kuona Vijana wanavyovuta ShishaSiku hizi tunaita disko au mziki mnene huku tukivuta shisha. π
Nangoja hiyo picha ya mwaka 47.
Kama mwaka 47 ulishaanza kuruka majoka achana na kuvuta kiko babu, we vuta hewa.Last week nilienda na Bibi yenu pale Norasco Pub Kigamboni kuruka Majoka, akajikuta ana shangaa kuona Vijana wanavyovuta Shisha
Nikamkumbusha mbona na Mimi navuta Kiko, akasema wewe hutoi moshi mwingi kama wale ππ
Kuruka Majoka kuendelee ....
Sijui kama nitaweza kuacha kuvuta Kiko Mkuu, maana nina miaka 50 sasa navuta ππ€Kama mwaka 47 ulishaanza kuruka majoka achana na kuvuta kiko babu, we vuta hewa.
Bibi anashangaa wazee wa 2060 wakitolea moshi wa shisha masikioniπ
Kwani kiko huwa mnaweka nini huko ndani?Sijui kama nitaweza kuacha kuvuta Kiko Mkuu, maana nina miaka 50 sasa navuta ππ€
Vijana wa sasa wanaona raha sana kuvuta hizo Shisha, ila I bet lazima zitakuwa na side effects nyingi hapo baadaye
Imagine mtu anavuta Shisha halafu anatolea Moshi Puani/Mdomoni/Masikioni π
Inakuuma nini we andazi???Hii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
Pafu moja ya shisha ni sawa na pakiti 20 za SigaraSijui kama nitaweza kuacha kuvuta Kiko Mkuu, maana nina miaka 50 sasa navuta ππ€
Vijana wa sasa wanaona raha sana kuvuta hizo Shisha, ila I bet lazima zitakuwa na side effects nyingi hapo baadaye
Imagine mtu anavuta Shisha halafu anatolea Moshi Puani/Mdomoni/Masikioni π
π€£π€£π€£Huyo Lissu amshukuru Mbowe bila mbowe saa hizi asingesakata hilo RHUMBA