Kumbe unaweza kuburudika kwa kutazama futbol bila hata mechi za EPL.
Binafsi nilikuwa natamani sana EPL ingekuwemo kwenye king'amuzi cha Azam lakini ndiyo hivyo tena.
Pamoja na kukosekana kwa EPL ndani ya Azam, lakini kwa sisi wapenda soka, angalau nafsi inaridhika kwa kutazama mechi live ndani ya Azam-Serie A, Laliga, Bundesliga, Carabao Cup na baadhi ya mechi za EPL mfano leo ilioneshwa ya Leicester vs Aston Villa.
Aloo! Huko Italia mpira unapigwa jamani.
Azam tegueni mtego mliowekewa wa kuonesha EPL. Mkifanya hivyo tayari mtakuwa wafalme rasmi wa burudani ya soka Tanzania
Binafsi nilikuwa natamani sana EPL ingekuwemo kwenye king'amuzi cha Azam lakini ndiyo hivyo tena.
Pamoja na kukosekana kwa EPL ndani ya Azam, lakini kwa sisi wapenda soka, angalau nafsi inaridhika kwa kutazama mechi live ndani ya Azam-Serie A, Laliga, Bundesliga, Carabao Cup na baadhi ya mechi za EPL mfano leo ilioneshwa ya Leicester vs Aston Villa.
Aloo! Huko Italia mpira unapigwa jamani.
Azam tegueni mtego mliowekewa wa kuonesha EPL. Mkifanya hivyo tayari mtakuwa wafalme rasmi wa burudani ya soka Tanzania