Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PK ana mashushu wanahudumu ndani ya serikali zote za nchi za maziwa makuu.kumzingua Kagame ni kupoteza muda tu.
kwa nchi kama Burundi walitakiwa kuwa karibu na Kagame ili awape mbinu za kuimarisha Burundi kijeshi na kiuchumi na sio kufunga mpaka.
Wanyarwanda wasio raia watawanyanyasaje Watanzania kwenye ardhi yao?!Mkuu Wanyarwanda pande hizo ni watemi balaa and because majority have money huwafanyia sana mwenyeji vitendo vya kidhulumati na si unajua tena vyombo vyetu vya ulinzi mbele ya asali?
So wengi huishia kushitakia kwa Mungu na kuishi kwa hofu.
Watemi sana hao watu
Kuamini ujinga kama huu ni ukilaza wa kiwango cha juu kabisa.PK ana mashushu wanahudumu ndani ya serikali zote za nchi za maziwa makuu.kumzingua Kagame ni kupoteza muda tu.
kwa nchi kama Burundi walitakiwa kuwa karibu na Kagame ili awape mbinu za kuimarisha Burundi kijeshi na kiuchumi na sio kufunga mpaka.
israel anachukiwa na kuletewa vita ndio maana nje ya Israel hadi africa waarab ba waislam wanauanaNi kama Israel, Middle East
anasubir US Alete kibundaMwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ameshindwa kuitisha Kikao kwaajili ya ku-solve huo mgogoro au anataka yatokee mauaji ya Kimbari kama ya mwaka 1994 ndiyo atafurahi?
Hatari 😅anasubir US Alete kibunda
Kuamini ujinga kama huu ni ukilaza wa kiwango cha juu kabisa.
Huyu huyu Kagame ambaye aliambiwa na Kikwete asilete ujuaji atamshughulikia bila kupepesa macho na akanywea?
Ama umesahau kipindi cha JK alitaka kukavamia kanchi hako sema tu PK akanywea ndiyo ikawa almanusura kwake.
Akikujibu nitagWanyarwanda wasio raia watawanyanyasaje Watanzania kwenye ardhi yao?!
wamewafanyajeWanyarwanda huwa wanajiona sana. Huko ngara na biharamulo walishawafanya watanzania kama watumwa.
😂😂😂Nchi kama rwanda hawezi kutubabaisha nchi kama tz iliyo jeshi kubwa?
udogo wa puaNchi kama rwanda hawezi kutubabaisha nchi kama tz iliyo jeshi kubwa?
Kwenye nchi yetu?Wanyarwanda huwa wanajiona sana. Huko ngara na biharamulo walishawafanya watanzania kama watumwa.