Burundi yatuma kikosi cha waokoaji Uturuki, nimejifunza kutoa ni moyo

Burundi yatuma kikosi cha waokoaji Uturuki, nimejifunza kutoa ni moyo

Tunambwela mbwela tu.

Hamna lolote la maana linafanyika awamu hii.

Maneno meengi fedha zinakopwa hakuna Kinachofanyika.
 
Hata ameweza kumaliza ugomvi na RWANDA pia ,wako vizuri na congo pia ,kiufupi yuko poa

USSR

Kabisa kwa Zamani isingewezekana Kagame aende Bujumbura, Burundi anajipambanua kivingine hasa kwenye demokrasia na kwa sasa Burundi ina uelekeo tofauti na zamani kabisa
 
Mkuu Burundi wamewekeza kwenye human resources kwa sana, wakifuata nyayo za Rwanda. Kuna idadi kubwa ya wataalamu waliosoma na kubobea kwenye fani walizozichagua makusudi. Mfano kuna idadi kubwa ya makocha wenye elimu inayotambulika kimataifa. Kutuna wataalamu wa uokozi ni moja ya hazina ya uwekezaji huo ikiwemo matumizi ya jeshi lao kwenye migogoro. Tanzania hatuna chuo wala maandalizi ya wataalamu wa uokozi, kumshambulia Stergomena Tax kwenye hili la warundi kutuma timu ya uokozi Uturuki ni kumuonea. Labda tungeanza kwa kunyesha mfano kwenye ile ajali ya Precision Air pale Bukoba, huenda tungeweza kujipima na watu waliokwisha wekeza kwenye nyanja hiyo.
 
Waokoaji walishindwa kuokoa raia kwenye Ndege ya Precision Air ndo wakaokoe wa Tetemeko,sisi Bado tunaupiga mwingi .

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Kabisa kwa Zamani isingewezekana Kagame aende Bujumbura, Burundi anajipambanua kivingine hasa kwenye demokrasia na kwa sasa Burundi ina uelekeo tofauti na zamani kabisa
Sana warundi sasa wameamua kujenga nchi

USSR
 
Moja ya mawaziri wanaoamliwa mambo ya wizara na makatibu wa Ikulu ni huyu mama kule jeshini walisema ni mpole sana huku zamani tuliambiwa Wizara ya Ulinzi inafaa wapole. Kule SADC nguvu ya Kabudi ndio ilimbeba alipotoka mama Tax abakia mweupe kabisa, ishu za peace keepers nje ya nchi na hasa Southern Corridor ilimshinda kabisa.

Kifo cha balozi Mushi pale Msata na sakata la DG wa TISS kutumbuliwa kwa kukuvimbia kifua labda alikuwa sahihi kuwa uwezo wako ni mdogo sana huwezi kupambana na ulimwengu wa sasa wa mikiki ya Ukraine, Urusi na usalama wa kikanda.

Haya sasa leo Burundi wanatuma waokoaji Uturuki sisi tupo tupo tu, hata kauli ya kitaifa hakuna na sisi na Waturuki tuko poa kuliko Burundi mandege yapo tu vijana wapoJWTZ, TISS, zimamoto, uhamiaji, KMKMA magereza na migambo.

USSR

View attachment 2514887View attachment 2514888
Nikajua una pointi, kumbe pumba tu. Uoakoaji sio siasa na sio UN General Assembly.
 
Watanzania ukiwapeleka huko,badala waende kuokoa watu,wataenda kuwasachi tu marehemu na kuwaibia.hiyo ndiyo tabia ya Mtanzania.
 
Moja ya mawaziri wanaoamliwa mambo ya wizara na makatibu wa Ikulu ni huyu mama kule jeshini walisema ni mpole sana huku zamani tuliambiwa Wizara ya Ulinzi inafaa wapole. Kule SADC nguvu ya Kabudi ndio ilimbeba alipotoka mama Tax abakia mweupe kabisa, ishu za peace keepers nje ya nchi na hasa Southern Corridor ilimshinda kabisa.

Kifo cha balozi Mushi pale Msata na sakata la DG wa TISS kutumbuliwa kwa kukuvimbia kifua labda alikuwa sahihi kuwa uwezo wako ni mdogo sana huwezi kupambana na ulimwengu wa sasa wa mikiki ya Ukraine, Urusi na usalama wa kikanda.

Haya sasa leo Burundi wanatuma waokoaji Uturuki sisi tupo tupo tu, hata kauli ya kitaifa hakuna na sisi na Waturuki tuko poa kuliko Burundi mandege yapo tu vijana wapoJWTZ, TISS, zimamoto, uhamiaji, KMKMA magereza na migambo.

USSR

View attachment 2514887View attachment 2514888
Waliokwisha kwenda huko wanatosha sio lazima na sisi twende!
 
Moja ya mawaziri wanaoamliwa mambo ya wizara na makatibu wa Ikulu ni huyu mama kule jeshini walisema ni mpole sana huku zamani tuliambiwa Wizara ya Ulinzi inafaa wapole. Kule SADC nguvu ya Kabudi ndio ilimbeba alipotoka mama Tax abakia mweupe kabisa, ishu za peace keepers nje ya nchi na hasa Southern Corridor ilimshinda kabisa.

Kifo cha balozi Mushi pale Msata na sakata la DG wa TISS kutumbuliwa kwa kukuvimbia kifua labda alikuwa sahihi kuwa uwezo wako ni mdogo sana huwezi kupambana na ulimwengu wa sasa wa mikiki ya Ukraine, Urusi na usalama wa kikanda.

Haya sasa leo Burundi wanatuma waokoaji Uturuki sisi tupo tupo tu, hata kauli ya kitaifa hakuna na sisi na Waturuki tuko poa kuliko Burundi mandege yapo tu vijana wapoJWTZ, TISS, zimamoto, uhamiaji, KMKMA magereza na migambo.

USSR

View attachment 2514887View attachment 2514888
Unataka serikali itumie pesa ya mkopo kupeleka waokoaji Uturuki?
 
Moja ya mawaziri wanaoamliwa mambo ya wizara na makatibu wa Ikulu ni huyu mama kule jeshini walisema ni mpole sana huku zamani tuliambiwa Wizara ya Ulinzi inafaa wapole. Kule SADC nguvu ya Kabudi ndio ilimbeba alipotoka mama Tax abakia mweupe kabisa, ishu za peace keepers nje ya nchi na hasa Southern Corridor ilimshinda kabisa.

Kifo cha balozi Mushi pale Msata na sakata la DG wa TISS kutumbuliwa kwa kukuvimbia kifua labda alikuwa sahihi kuwa uwezo wako ni mdogo sana huwezi kupambana na ulimwengu wa sasa wa mikiki ya Ukraine, Urusi na usalama wa kikanda.

Haya sasa leo Burundi wanatuma waokoaji Uturuki sisi tupo tupo tu, hata kauli ya kitaifa hakuna na sisi na Waturuki tuko poa kuliko Burundi mandege yapo tu vijana wapoJWTZ, TISS, zimamoto, uhamiaji, KMKMA magereza na migambo.

USSR

View attachment 2514887View attachment 2514888
Aiseee kwa hiyo shida yako kwa Tax ni Burundi kutuma waokoaji Uturuki? Kichwa chako kiko vizuri kweli? Tumeshindwa Bukoba, tutume Burundi?
 
Serikali ya bongo imewekeza zaidi kupambana na chadema,kwengine kote ni bora liende.
Sasa hivi kwenye serikali kuna watu wamejiandaa kupambana internet ya starlink isifike TZ kivyovyote vile kama walivyopambana kuiondoa paypal
 
Ni ngumu sana kwa ombaomba kutoa msaada, hata ule wa kutumia nguvu na akili tu hawezi.
 
Moja ya mawaziri wanaoamliwa mambo ya wizara na makatibu wa Ikulu ni huyu mama kule jeshini walisema ni mpole sana huku zamani tuliambiwa Wizara ya Ulinzi inafaa wapole. Kule SADC nguvu ya Kabudi ndio ilimbeba alipotoka mama Tax abakia mweupe kabisa, ishu za peace keepers nje ya nchi na hasa Southern Corridor ilimshinda kabisa.

Kifo cha balozi Mushi pale Msata na sakata la DG wa TISS kutumbuliwa kwa kukuvimbia kifua labda alikuwa sahihi kuwa uwezo wako ni mdogo sana huwezi kupambana na ulimwengu wa sasa wa mikiki ya Ukraine, Urusi na usalama wa kikanda.

Haya sasa leo Burundi wanatuma waokoaji Uturuki sisi tupo tupo tu, hata kauli ya kitaifa hakuna na sisi na Waturuki tuko poa kuliko Burundi mandege yapo tu vijana wapoJWTZ, TISS, zimamoto, uhamiaji, KMKMA magereza na migambo.

USSR

View attachment 2514887View attachment 2514888
Hakuna walichotuzidi wala cha kulilia. Acha wafu wazike wafu wenzao. Hawa jamaa unadhani yangetupata sisi wengejali? Burundi kinatafuta kiki tu
 
president.JPG


Sisi kama Tanzania tuna kitu cha kujifunza hapa. Picha chini Rais wa Burundi General Évariste Ndayishimiye

Mimi nimejifunza kifuatacho ongeza chako;

1. Kutoa ni moyo uzambe ni utajiri

======

Bujumbura. Kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lilioikumba nchi za Syria na Uturuki lililosababisha vifo vya watu zaidi ya 28,000 na uharibifu mkubwa, Serikali ya Burundi imeamua kutuma timu ya watu 10 kwenda kusaidia uokoaji.

Hii imekuja kama hatua ya mshikamano na watu wa Uturuki waliokumbwa na matetemeko makubwa ya ardhi tangu Jumatatu na kusababisha maelfu ya watu kupoteza maisha.

"Wakati wa kuwasili, timu itatumwa na mamlaka ya Uturuki katika maeneo ambayo wanaihitaji zaidi," amesema Albert Shingiro, waziri wa mambo ya nje wa Burundi ameliambia shirika la habari la BBC siku ya Jumapili.

Shingiro amesema,“hakuna raia wa Burundi aliyeathiriwa, na Sabria Samir Kaze ambaye alikuwa katika mji wa Gaziantep, uliokumbwa vibaya na tetemeko la kwanza alihamishwa hadi Ankara.”

Burundi haikutuma waokoaji Syria kwa sababu ni vigumu kufikia maeneo yaliyoathiriwa hata hivyo, serikali inasema inawahurumia watu wanaoteseka huko nchini Syria.

Mwananchi
 
Back
Top Bottom