butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tujifunze kwanza kujiokoa wenyewe, tusije kwenda kuzidisha maafa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tujifunze kwanza kujiokoa wenyewe, tusije kwenda kuzidisha maafa.
Wenyewe kujiokoa tu mtihanitujifunze kwanza kujiokoa wenyewe, tusije kwenda kuzidisha maafa.
Hata ameweza kumaliza ugomvi na RWANDA pia ,wako vizuri na congo pia ,kiufupi yuko poa
USSR
Braza unaongea kiutani lakini maneno yako yanachoma!tujifunze kwanza kujiokoa wenyewe, tusije kwenda kuzidisha maafa.
Nikajua una pointi, kumbe pumba tu. Uoakoaji sio siasa na sio UN General Assembly.Moja ya mawaziri wanaoamliwa mambo ya wizara na makatibu wa Ikulu ni huyu mama kule jeshini walisema ni mpole sana huku zamani tuliambiwa Wizara ya Ulinzi inafaa wapole. Kule SADC nguvu ya Kabudi ndio ilimbeba alipotoka mama Tax abakia mweupe kabisa, ishu za peace keepers nje ya nchi na hasa Southern Corridor ilimshinda kabisa.
Kifo cha balozi Mushi pale Msata na sakata la DG wa TISS kutumbuliwa kwa kukuvimbia kifua labda alikuwa sahihi kuwa uwezo wako ni mdogo sana huwezi kupambana na ulimwengu wa sasa wa mikiki ya Ukraine, Urusi na usalama wa kikanda.
Haya sasa leo Burundi wanatuma waokoaji Uturuki sisi tupo tupo tu, hata kauli ya kitaifa hakuna na sisi na Waturuki tuko poa kuliko Burundi mandege yapo tu vijana wapoJWTZ, TISS, zimamoto, uhamiaji, KMKMA magereza na migambo.
USSR
View attachment 2514887View attachment 2514888
Waliokwisha kwenda huko wanatosha sio lazima na sisi twende!Moja ya mawaziri wanaoamliwa mambo ya wizara na makatibu wa Ikulu ni huyu mama kule jeshini walisema ni mpole sana huku zamani tuliambiwa Wizara ya Ulinzi inafaa wapole. Kule SADC nguvu ya Kabudi ndio ilimbeba alipotoka mama Tax abakia mweupe kabisa, ishu za peace keepers nje ya nchi na hasa Southern Corridor ilimshinda kabisa.
Kifo cha balozi Mushi pale Msata na sakata la DG wa TISS kutumbuliwa kwa kukuvimbia kifua labda alikuwa sahihi kuwa uwezo wako ni mdogo sana huwezi kupambana na ulimwengu wa sasa wa mikiki ya Ukraine, Urusi na usalama wa kikanda.
Haya sasa leo Burundi wanatuma waokoaji Uturuki sisi tupo tupo tu, hata kauli ya kitaifa hakuna na sisi na Waturuki tuko poa kuliko Burundi mandege yapo tu vijana wapoJWTZ, TISS, zimamoto, uhamiaji, KMKMA magereza na migambo.
USSR
View attachment 2514887View attachment 2514888
Unataka serikali itumie pesa ya mkopo kupeleka waokoaji Uturuki?Moja ya mawaziri wanaoamliwa mambo ya wizara na makatibu wa Ikulu ni huyu mama kule jeshini walisema ni mpole sana huku zamani tuliambiwa Wizara ya Ulinzi inafaa wapole. Kule SADC nguvu ya Kabudi ndio ilimbeba alipotoka mama Tax abakia mweupe kabisa, ishu za peace keepers nje ya nchi na hasa Southern Corridor ilimshinda kabisa.
Kifo cha balozi Mushi pale Msata na sakata la DG wa TISS kutumbuliwa kwa kukuvimbia kifua labda alikuwa sahihi kuwa uwezo wako ni mdogo sana huwezi kupambana na ulimwengu wa sasa wa mikiki ya Ukraine, Urusi na usalama wa kikanda.
Haya sasa leo Burundi wanatuma waokoaji Uturuki sisi tupo tupo tu, hata kauli ya kitaifa hakuna na sisi na Waturuki tuko poa kuliko Burundi mandege yapo tu vijana wapoJWTZ, TISS, zimamoto, uhamiaji, KMKMA magereza na migambo.
USSR
View attachment 2514887View attachment 2514888
Aiseee kwa hiyo shida yako kwa Tax ni Burundi kutuma waokoaji Uturuki? Kichwa chako kiko vizuri kweli? Tumeshindwa Bukoba, tutume Burundi?Moja ya mawaziri wanaoamliwa mambo ya wizara na makatibu wa Ikulu ni huyu mama kule jeshini walisema ni mpole sana huku zamani tuliambiwa Wizara ya Ulinzi inafaa wapole. Kule SADC nguvu ya Kabudi ndio ilimbeba alipotoka mama Tax abakia mweupe kabisa, ishu za peace keepers nje ya nchi na hasa Southern Corridor ilimshinda kabisa.
Kifo cha balozi Mushi pale Msata na sakata la DG wa TISS kutumbuliwa kwa kukuvimbia kifua labda alikuwa sahihi kuwa uwezo wako ni mdogo sana huwezi kupambana na ulimwengu wa sasa wa mikiki ya Ukraine, Urusi na usalama wa kikanda.
Haya sasa leo Burundi wanatuma waokoaji Uturuki sisi tupo tupo tu, hata kauli ya kitaifa hakuna na sisi na Waturuki tuko poa kuliko Burundi mandege yapo tu vijana wapoJWTZ, TISS, zimamoto, uhamiaji, KMKMA magereza na migambo.
USSR
View attachment 2514887View attachment 2514888
Sasa hivi kwenye serikali kuna watu wamejiandaa kupambana internet ya starlink isifike TZ kivyovyote vile kama walivyopambana kuiondoa paypalSerikali ya bongo imewekeza zaidi kupambana na chadema,kwengine kote ni bora liende.
Hakuna walichotuzidi wala cha kulilia. Acha wafu wazike wafu wenzao. Hawa jamaa unadhani yangetupata sisi wengejali? Burundi kinatafuta kiki tuMoja ya mawaziri wanaoamliwa mambo ya wizara na makatibu wa Ikulu ni huyu mama kule jeshini walisema ni mpole sana huku zamani tuliambiwa Wizara ya Ulinzi inafaa wapole. Kule SADC nguvu ya Kabudi ndio ilimbeba alipotoka mama Tax abakia mweupe kabisa, ishu za peace keepers nje ya nchi na hasa Southern Corridor ilimshinda kabisa.
Kifo cha balozi Mushi pale Msata na sakata la DG wa TISS kutumbuliwa kwa kukuvimbia kifua labda alikuwa sahihi kuwa uwezo wako ni mdogo sana huwezi kupambana na ulimwengu wa sasa wa mikiki ya Ukraine, Urusi na usalama wa kikanda.
Haya sasa leo Burundi wanatuma waokoaji Uturuki sisi tupo tupo tu, hata kauli ya kitaifa hakuna na sisi na Waturuki tuko poa kuliko Burundi mandege yapo tu vijana wapoJWTZ, TISS, zimamoto, uhamiaji, KMKMA magereza na migambo.
USSR
View attachment 2514887View attachment 2514888
'Wafu' hawaokolewi, tumia akili(kama unazo).Wewe ni kiazi mbatata,kuokoa wafu ni upumbavu '
USSR
Kabisa. Wenyewe tunahitaji kuokolewa halafu ndio tujitie kimbembele cha kupeleka waokoaji watakaoishia kuhitaji kuokolewa pia.tujifunze kwanza kujiokoa wenyewe, tusije kwenda kuzidisha maafa.
You nail it!!!, ndio agenda ya wizi basiWatanzania ukiwapeleka huko,badala waende kuokoa watu,wataenda kuwasachi tu marehemu na kuwaibia.hiyo ndiyo tabia ya Mtanzania.