Burundi yatuma kikosi cha waokoaji Uturuki, nimejifunza kutoa ni moyo

Burundi yatuma kikosi cha waokoaji Uturuki, nimejifunza kutoa ni moyo

Nasikia nchi ya Burundi ya tatu umasikini Africa imepeleka msaada na waokoaji kule Uturiki kusaidia maafa ya tetemeko la aridhi lilio tokea j3 ilio pita.

Wazungu hawatupendi sisi wa Africa hata tukipata majanga ya aina yoyote, angalia DRC raia wanateseka kila siku ila wenyewe hataki liishe UN ni kama haipo, ila Ukraini imepewa kila aina ya msaada, Utruki kasha pewa zaidi ya $60bn, hi pesa ni kubwa hata kuliko GDP ya Tanzania, kuna raia moja wa Pakistan katoa $30m kwa ajiri ya msaada, wakati Africa yote inahitaji bn $50 tu kumaliza majanga ya food security. Wazungu ni wanafiki sanaa hawstupendi ila sie tuna jipendekeza.
 
Walioenda wameenda jifunza pia endapo wakipatwa na janga watatue vipi
 
Watanzania ukiwapeleka huko,badala waende kuokoa watu,wataenda kuwasachi tu marehemu na kuwaibia.hiyo ndiyo tabia ya Mtanzania.
Jeshi letu halina historia ya looting hio ni habari ya wagner group.
 
wajinga hawa waache kujikomba komba maana hata kujiokoa wenyewe hawawezi itakua uturuki ?
 
Back
Top Bottom