Burundi yawapa masaa 72 maafisa watatu wa WHO kuondoka

Burundi yawapa masaa 72 maafisa watatu wa WHO kuondoka

Watakufa kama vile kwenye vita ya jirani zao ya 2014
Usikute na wenyewe wameshtukiwa na hao WHO kwa kufanya janja janja kuhusu maambukizi na vifo halisi vitokanavyo na hili janga kama wafanyavyo watawala wa Puerto Rico! hivyo dawa pekee na ya haraka ni kuwatimua hao wawakilishi.

In God we Trust
 
Burundi,kule wapo kivyao vyao. They don't care. Huko mtu akipata bahati ya kutoka nje ya nchi ni huwa hawarudi Burundi. Mishahara yao sasa kiduchu acha kabisa. Brains nyingi wamekwenda Belgium,Ufaransa,USA n.k. Acha tu watumie Gmail.
Kwani Gmail ina mapungufu gani kutumiwa? Mimi naona ni issue ya option tu

In God we Trust
 
Ndiyo tatizo letu waafrika, hata mtu asome vipi lakini unakuta anakosa ile akili ya jicho la tatu. Hata sisi ilikuwa hivyo hivyo, niliwahi kulalamika hapa kuhusu serikali kutumia gmail/yahoo miaka ile ya 2010.
Hivi sasa naona kila wilaya inayo tovuti na barua pepe.
 
Back
Top Bottom