Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamuweka ndugu yake huku kabakia na remote yake mkononiBurundi maskini jeuri,hivi Pierre anagombea tena Urais ?
Nini tena kamanda ebu tujuzeNa sisi tusubiri barua ya Palamagamba
Dugu moyaaaaKiburi chao kinatoka kule donor country
Usikute na wenyewe wameshtukiwa na hao WHO kwa kufanya janja janja kuhusu maambukizi na vifo halisi vitokanavyo na hili janga kama wafanyavyo watawala wa Puerto Rico! hivyo dawa pekee na ya haraka ni kuwatimua hao wawakilishi.
Kwa nini mpaka sasa hao WHO hawajatimuliwa huku Puerto rico
Kwani Gmail ina mapungufu gani kutumiwa? Mimi naona ni issue ya option tuBurundi,kule wapo kivyao vyao. They don't care. Huko mtu akipata bahati ya kutoka nje ya nchi ni huwa hawarudi Burundi. Mishahara yao sasa kiduchu acha kabisa. Brains nyingi wamekwenda Belgium,Ufaransa,USA n.k. Acha tu watumie Gmail.
Aisee wasijenyimwa dawa ya Covid 19 ikipatikana sasa[emoji134][emoji1]What are the reasons for? Aisee wasijenyimwa dawa ya Covid19 ikipatikana sasa[emoji2297][emoji3], nacheka kama mazuri vile dah.
Hata mitandaoni maana humu ndio wengi...mtu sijui anakuwa id ngapi
Duh!...bado ni nchi changa 😂😂😂Nimecheka kuona ofisi ya rais wanatumia barua pepe ya Gmail.
Wanaweza kuungana na Rwanda au Tanzania. Kama ilivyokuwa hapo mwanzo.Duh!...bado ni nchi changa 😂😂😂
Ndiyo tatizo letu waafrika, hata mtu asome vipi lakini unakuta anakosa ile akili ya jicho la tatu. Hata sisi ilikuwa hivyo hivyo, niliwahi kulalamika hapa kuhusu serikali kutumia gmail/yahoo miaka ile ya 2010.Nimecheka kuona ofisi ya rais wanatumia barua pepe ya Gmail.
Hivi sasa naona kila wilaya inayo tovuti na barua pepe.Ndiyo tatizo letu waafrika, hata mtu asome vipi lakini unakuta anakosa ile akili ya jicho la tatu. Hata sisi ilikuwa hivyo hivyo, niliwahi kulalamika hapa kuhusu serikali kutumia gmail/yahoo miaka ile ya 2010.
Ona hii nililalamika hapa 2012 >>> Nimestushwa na Bunge La Tanzania - JamiiForumsHivi sasa naona kila wilaya inayo tovuti na barua pepe.
Ndiyo tatizo letu waafrika, hata mtu asome vipi lakini unakuta anakosa ile akili ya jicho la tatu. Hata sisi ilikuwa hivyo hivyo, niliwahi kulalamika hapa kuhusu serikali kutumia gmail/yahoo miaka ile ya 2010.
Nimeona, kumbe ulitizama mapema.Ona hii nililalamika hapa 2012 >>> Nimestushwa na Bunge La Tanzania - JamiiForums
Walibadilisha nafikiri 2014, ile ilikuwa ya 2012Nimeona, kumbe ulitizama mapema.