isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
Ndio, lakini inategemea na wataalamu na timu kazi ya kielektroniki na mfumo wa ufanyaji kazi wake.Kama ni mambo ya udukuzi mawasiliano yoyote ya kielektroniki inadukuliwa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio, lakini inategemea na wataalamu na timu kazi ya kielektroniki na mfumo wa ufanyaji kazi wake.Kama ni mambo ya udukuzi mawasiliano yoyote ya kielektroniki inadukuliwa tu
Angela Merkel leo kalalamika kudukuliwa na Russia na alishawahi kudukuliwa na Marekani, kama unakumbuka weekleaks na SnowdenKama ni mambo ya udukuzi mawasiliano yoyote ya kielektroniki inadukuliwa tu
Ulinzi wa Gmail ni mkubwaNimecheka kuona ofisi ya rais wanatumia barua pepe ya Gmail.
Zamani nilikuwa kama wewe hadi nilipoona ile habari ya US na Russia kudukua emails na simu za Chancellor za Ujerumani nikagundua hata utumie nini haupo salama. Kama Urusi wanacheza na system ya upigaji kura ya US kweli kuna mtu anaweza kumcheka mwenzake? Kwenye za mambo ya teknolojia huku Afrika hatuchekani wote ni wasindikizaji.Nimecheka kuona ofisi ya rais wanatumia barua pepe ya Gmail.
🇹🇿Hivi Burundi huu ujasiri na kiburi huwa anakipata wapi ?
Maana kwa uchumi wake huwa nashangaa
Mkuu naelewa kwamba hakuna aliye salama lakini kitendo cha Burundi ni sawa na kila wanachofanya wanamtumia US Gov. | Ilhali wangeweka ugumu kidogo katika informacion access zao.Zamani nilikuwa kama wewe hadi nilipoona ile habari ya US na Russia kudukua emails na simu za Chancellor za Ujerumani nikagundua hata utumie nini haupo salama. Kama Urusi wanacheza na system ya upigaji kura ya US kweli kuna mtu anaweza kumcheka mwenzake? Kwenye za mambo ya teknolojia huku Afrika hatuchekani wote ni wasindikizaji.
Kama ikifuatilia vizuri utaona Burundi kiuchumi, maendeleo ya ukuaji wa nchi, uchukuzi na masuala mengine ni level ya Mwanza.Hivi Burundi huu ujasiri na kiburi huwa anakipata wapi ?
Maana kwa uchumi wake huwa nashangaa
Asante. Nani anaegombea kwa chama cha Pierre ?
Fursa hiyo. Wanatafakari watoke vipi na kiki hiyo. Hawawezi kuacha fursa hiyo
Aliyekuwa Katibu mkuu wa chama chake CNDDFDD jina limenitoka na kabla ya hapo huyo katibu alikuwa mkuu wa majeshi na kwa sasa mkuu wa majeshi ni mwana wa Pierre mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app