Burundi yawapa masaa 72 maafisa watatu wa WHO kuondoka

Burundi yawapa masaa 72 maafisa watatu wa WHO kuondoka

Serikali ya Burundi imewafukuza wafanyakazi wanne wa Shirika la Afya Duniani ‘WHO’ walioko nchini humo akiwemo muwakilishi wa WHO nchini humo

Watu hao watapaswa kuondoka nchini humo kabla ya Mei 15. Waziri wa Mambo ya Nje aliwaaandikia barua watu hao bila kutaja sababu ya kufanya hivyo

Kisheria, kumzuia mtu kubaki nchini haiwahusu wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa, kwa mujibu wa sheria za kimtaifa za kidiplomasia zilizoelezewa kwenye kikao cha Vienna cha 1961

====

Burundi government is expelling four employees of the World Health Organization WHO including the organization’s country representative. These employees have been declared Persona Non-Grata and have until May 15th to leave Burundi.


The distrust between Burundi Government and WHO officials were highlighted an RFI report last month mentioning a pending decision to recall three senior WHO officials, including the representative in Burundi, Walter Kazadi.


It was reported that the World Health Organization in Burundi was kept out of samples and tests, unchecked sources on social media mentioned that the WHO team was ordered to leave the field.


The Burundian Ministry of Health did not want to react to the question of WHO representatives in Burundi.


Some commentators link the Burundi Government decision to the ramification of an exclusive investigation done in neighbor DRCongo by journalists Emmanuel Freudenthal and Joao Coelho on World Health Organization staff working on behalf of the response, accused of taking advantage of the system by increasing conflicts of interest and pressure on the teams responsible for combating the spread of the Ebola epidemic.

Technically the persona non grata doctrine does not apply to United Nations personnel. As described in the 1961 Vienna Convention on Diplomatic Relations, the doctrine applies to diplomatic agents who are accredited by one state to another, in the context of their bilateral relations.

The United Nations is not a state, and its personnel is not accredited to the states in which they are deployed, but work under the sole responsibility of the Secretary-General.

Founded in 1948, the World Health Organization (WHO), one of the most powerful UN agencies with more than 7,000 employees worldwide, recommends, with all its expertise, but remains dependent on the will of states. This does not prevent it from being regularly criticized.
 
Burundi,kule wapo kivyao vyao. They don't care. Huko mtu akipata bahati ya kutoka nje ya nchi ni huwa hawarudi Burundi. Mishahara yao sasa kiduchu acha kabisa. Brains nyingi wamekwenda Belgium,Ufaransa,USA n.k. Acha tu watumie Gmail.
Mmh kumbe Gmail ni ya kiboya Sana🙄🙄🤔
 
Hao WHO nao wababaishaji, wadananda na ujanja ujanja mwingi hawanaga uweledi...
 
Kwa hio Tz imefikia level za kufananishwa na Burundi sio? Na wameanza kua role model wetu.

Kweli maendeleo hayana Vyama.
 
Kwa hivyo lengo la uzi ni lipi haswa?

Yaani umeshindwa hata kueleza kidogo nini haswa kimejiri huko Burundi ili tu upate muda wa kuizungumza Chadema?

Kweli akili za kawaida sio jambo la kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania kufananishwa na Burundi katika utawala bora ni aibu kwa taifa
 
Back
Top Bottom