Nimecheka kuona ofisi ya rais wanatumia barua pepe ya Gmail.
Lakini mbona chini kuna kiwebsite chao ina maana wameshindwa kulipia email hosting
True kabisaBurundi,kule wapo kivyao vyao. They don't care. Huko mtu akipata bahati ya kutoka nje ya nchi ni huwa hawarudi Burundi. Mishahara yao sasa kiduchu acha kabisa. Brains nyingi wamekwenda Belgium,Ufaransa,USA n.k. Acha tu watumie Gmail.
Chadema akisikia Mzungu meno yote nje
Hasa mzungu wa kiume akitokea, ndio machadema wanalegeeeea, na kukenuakenua tu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Imefananishwa kwa lipiTanzania kufananishwa na Burundi katika utawala bora ni aibu kwa taifa
Kwani kuna tatizoNimecheka kuona ofisi ya rais wanatumia barua pepe ya Gmail.
Ndio, sababu nchi inakuwa inatoa nyaraka na confidential information za taifa kwa taifa jingine.Kwani kuna tatizo
Watatoaje takwimu bila idhini ya serikali ya Burundi?Wamefanyaje tena hao? Au wametoa takwimu halali ya corona?
In God we Trust
Burundi maskini jeuri,hivi Pierre anagombea tena Urais ?
Mkuu sio vyema kutoa lugha ya namna hiyo kwa nchi ya watu.Ila. Hiki kinchi kinakuaga na upuuz sana
stidy
Asante. Nani anaegombea kwa chama cha Pierre ?
Ni sawa na mtu kumpeleka mkwewe alale kwa jirani yake badala ya nyumbani mumuwe.Mkuu kuna shida gani wakitumia Gmail..?
Nipe elimu kidogo.
Kama ni mambo ya udukuzi mawasiliano yoyote ya kielektroniki inadukuliwa tuNdio, sababu nchi inakuwa inatoa nyaraka na confidential information za taifa kwa taifa jingine.
Gmail ni US 89% & Israel 11% Firm je umewahi kuona taasisi ya kiserikali ya nchi hizo inatumia Gmail?