ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Nilipanda VVIP ya Ally's star bus, kutoka DAR to Mwanza nauli ni 170k
Aisee Ile bus Iko poa na unahudumia mambo mengi
Seat covers ziko poa
Choo safi
WiFi ina kasi
Azam tv
Unapewa bites za maana
Asbh tukiwa Shinyanga tulipiga break fast ya maana
Ally's star bus wako njema
Aisee Ile bus Iko poa na unahudumia mambo mengi
Seat covers ziko poa
Choo safi
WiFi ina kasi
Azam tv
Unapewa bites za maana
Asbh tukiwa Shinyanga tulipiga break fast ya maana
Ally's star bus wako njema