stanleyRuta
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 851
- 519
mimi so wa zamani nakumbuka hizi habari nilikuwa nkizisoma nkiwa darasa la tano.............namkumbuka sana rafiki yangu Chama alikuwa akiniletea shuleni maana mzee wake alikuwa mfuatiliaji sana wa haya mambo ila kwa shariti moja tu........kumpa daftari langu la hesabu aigilizie kazi tulopewa na mwalimuDu kumbe kuna wanabodi wa zamani humu.Tukumbushane pia na mambo ya majeshi kwa waliopitia huko kwa mujibu wa sheria,Pamoja na burudani ya gazeti la sani tujikumbushe jinsi tulivyohenyeshwa jeshini pia:wink::wink:.
kuna mwingine alikuwa anaitwa UDUVI..............Dah! Nimewakumbuka kina Chino, Mayuku na Obi.
Kwenye soka mzee meko alikuwa ni magician, bao zake kali alafu akiwala vyenga vya mauzi anawaacha kwenye vumbi kali. Nakumbuka mara nyingi born town walikuwa wanachezea, born town: sokomoko, ndumila kuwili, lord lofa, pimbi, etc
Bush star: kipepe, madenge, mzee meko, etc
Nakukumbusha kidogo
Mapung'o ilikuwa gazeti la Bongo na hawa Bush stars ilikuwa gazeti la sani
star wa Bush star alikuwa mzee Meko na katuni zilikuwa za Ibra radi washokera miaka hiyo
Sani ya mwisho kuisoma hyo vijana wangu wengi mlikuwa hamjazaliwa bfo na hiyo ndo nakala pekee ya mwisho niliyokuwa nayo ktk hm liblaly
Huu ni utajiri mkubwa tunaupoteza
kulikuwa na jarida lingine lenye bi kisebengo na kapelo...
kulikuwa na hadithi kama za 'mzungu halei mwana'
kuna mtu anakumbuka first eleven....ya timu hizi...
mimi namkumbuka Madenge tu mzee meko wa bush stars
na mtangazaji sukununu...
Sani ya mwisho kuisoma hyo vijana wangu wengi mlikuwa hamjazaliwa bfo na hiyo ndo nakala pekee ya mwisho niliyokuwa nayo ktk hm liblaly
Ni sunche na kapeto mkuu..............hawa mapacha walikuwa watundu sanaMwingine aliitwa chonka na kaputo
namkumbuka straika machachali wa bush stars goal getter Mapung'o him self, jamaa alikua kakomaa ile mbaya na yule konja wao nimemsahau jina alikua anawapa mazoezi ya kikomando badala ya mpira!kuna mtu anakumbuka first eleven....ya timu hizi...
mimi namkumbuka Madenge tu mzee meko wa bush stars
na mtangazaji sukununu...
Walikuwepo kobelo na njemba. Kitambo sana mkuu.
CHEPE.....alikuwa hatari sana kwa mashuti na tik tak...............
Kweli CCM imeharibu uchumi sana tazama bei yake halafu leo tunauziwa gazeti shilingi 800/=@
Natafuta entire collection ya majarida ya sani toka yalipoanza.. Naweza kuyapata wapi?
kuna mtu anakumbuka first eleven....ya timu hizi...
mimi namkumbuka Madenge tu mzee meko wa bush stars
na mtangazaji sukununu...
Eeh bwana ilikuwa hatari sana.
Mimi nilikuwa napenda yale madongo wanayopeana wakati wa game.
Wa vijijini wakiwatuhumu wa mjini kuwa ni warembo/walaini kama watoto wa kike, wa mjini wakiwatuhumu wa vijijini wachafu na ushamba wao.
Bila kusahau mazoezi makali ya Bush Stars....daah!
Mapung'o alipata timu ulayammmh mi nakumbuka kitintale...mayuku....ila hawa hawakuwa wachezaji!mchezji namkumbuka golden boy mapung'o