Business Class ina raha yake - tafuteni pesa

Emirates A380 business class niliopanda kwenda BALI (Indonesia) kutokea Dubai tulikaa upper deck (nyuma). Usikariri
Hii kitu ya Emirates nilipanda kutoka Oliver Thambo hadi Tunis via Dubai ilikuwa nshida...
 
mkuu nashukuru kwa bandiko japo mimi kama mtanzania mwenzako pia muafrica mwenzako na nature tuliyo nayo kama unavyotujua

UMENIKWAZA SANA
 
'Mamake, umenikwaza......unaishi wapi wewe? Lazima nikushughulikie kabla ya huu mwaka uishe.
 
Usije kuwa unatumia kodi zetu kupanda daraja la kwanza. Maana huko serikalini wamejaa Mchwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…