Ya bombeedier hakuna kitu...Kidogo dreamlinerVipi B'ness class ya Airline yetu Atcl inajitahidi kidogo?, yaani tofauti ya huduma na Economy?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya bombeedier hakuna kitu...Kidogo dreamlinerVipi B'ness class ya Airline yetu Atcl inajitahidi kidogo?, yaani tofauti ya huduma na Economy?.
Asante kwa kunisapoti buddy😄
Kabisa Mkuu, kukata tamaa mwikoTutakuja kuzibananisha tu malkia. Siri ni kutokata tamaa ati! 👋😁
Bro kumbe we ni wizo.....ngoja nikupigie 😁
Bora mshamba atabadilika, limbukeni habadiliki hata kidogo, halafu kila muda kujisifuaKusafiri kwako nje na first class kumeshindwa kuondoa ushamba wako
Hii kitu ya Emirates nilipanda kutoka Oliver Thambo hadi Tunis via Dubai ilikuwa nshida...Emirates A380 business class niliopanda kwenda BALI (Indonesia) kutokea Dubai tulikaa upper deck (nyuma). Usikariri
'Mamake, umenikwaza......unaishi wapi wewe? Lazima nikushughulikie kabla ya huu mwaka uishe.Shughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.
Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.
Tutafute pesa.
NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Usije kuwa unatumia kodi zetu kupanda daraja la kwanza. Maana huko serikalini wamejaa Mchwa.Shughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.
Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.
Tutafute pesa.
NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Nipo kwenye kelele wizo 😅Bro kumbe we ni wizo.....ngoja nikupigie 😁
Unamaanisha tutafute pesa tukapande ndege au? siriazly?Tutafute pesa.