Duh...!. The gap is 1.4 m to the top!. The Royal Tour gonna bridge the gap!.
Kazi iendelee!.
P
Hizo namba za kipato ndio hautokaa uzisikie wazi wazi mkuu.Inatia moyo, natumai upande wa mapato nao utakua vizuri.
Ndugu takwimu hupingwa kwa takwimu sio maneno! Nimekuwekea Business insider Africa wameripoti! Zaidi nenda kwenye page yao.Weka habari yote ya hilo Gazeti/Magazine Tanzania hata top 5 Afrika haimo, hata Kenya tu hatuwafii na wametuacha mbali kwa idadi ya Watalii!
Hamkosagi la kuongea ili mradi mlalamike na kupinga tuHizo namba za kipato ndio hautokaa uzisikie wazi wazi mkuu.
Hii nchi kuna watu wana hatimiliki yake.
Suala sio kuamini! So far data zinasema hivyo! Wewe mwenye data tofauti leta data zako acha blah blah na malalamikoYaani unaamini kabisa uongo ulio wazi hivyo ? Unaamini Tanzania inaishinda Mauritius, Seychelles, Tunisia au hata Kenya kwa idadi ya Watalii ?
Tukiwa serious sekta ya Utalii tu inaweza endesha hii nchiHakika mkuu tulichelewa Sana! Malasia watalii zaidi ya 4M 2021, vivutio vichache zaidi utamaduni wao.
Morroco na Egypt sababu ya restriction zao za corona, watalii hawakwenda!Hii ni Africa ya wapi. Morrocco na Egypt haziko Africa?
Kenya, Uganda na Rwanda watakosaje watalii laki mbili hadi wakosekane kwenye orodha?
Wewe usifanye watu mamburula. Ziara za kutangaza huo utalii zinafanyika mwaka huu 2022 tena bado zinaendelea. Hizo takwimu ni za mwaka jana 2021. Sababu kubwa ya kupata hao watalii Tanzania hatukua na lockdown na hatukufunga mipaka yetu. Aliyeweka huo msimamo anajulikana, mungu amrehemu.Habari mbaya sana kwa wenzetu wa Sgang!
Inavyosemwa Maza anafungua nchi Kweli ameifungua! Haya sio maneno yangu someni hapa!
Tumeanza kukamata chati katika kufanya vizuri kwenye mambo mbalimbali
View attachment 2201768View attachment 2201769
South Africa kulikuwa na lockdown nao wameongoza! Hapo vipi?Wewe usifanye watu mamburula. Ziara za kutangaza huo utalii zinafanyika mwaka huu 2022 tena bado zinaendelea. Hizo takwimu ni za mwaka jana 2021. Sababu kubwa ya kupata hao watalii Tanzania hatukua na lockdown na hatukufunga mipaka yetu. Aliyeweka huo msimamo anajulikana, mungu amrehemu.
Hujaeleweka hoja yako ni ipi?Alafu unapotaka kupamba nyumba angalia ya jirani yako isije haribu mvuto wa nyumba yako.
Hebu tujadiri hiki hapa (VISITED), maana kudangaya sana unaweza kuja kujikataa kwamba wewe si wewe.
View attachment 2202036
Hizi takwimu bado. Kenya na nchi nyingine za Afrika Mashariki ziko wapi?Habari mbaya sana kwa wenzetu wa Sgang!
Inavyosemwa Maza anafungua nchi Kweli ameifungua! Haya sio maneno yangu someni hapa!
Tumeanza kukamata chati katika kufanya vizuri kwenye mambo mbalimbali
View attachment 2201768View attachment 2201769
Weka habari yote ya hilo Gazeti/Magazine Tanzania hata top 5 Afrika haimo, hata Kenya tu hatuwafii na wametuacha mbali kwa idadi ya Watalii!
Ziko wapi unamaanisha nini? Kwani lazima ziwepo?Hizi takwimu bado. Kenya na nchi nyingine za Afrika Mashariki ziko wapi?
Siyo kweli.Morroco na Egypt sababu ya restriction zao za corona, watalii hawakwenda!
Tupe takwimu zako za kupinga Tanzania kuwa ya pili Afrika kwa kupokea watalii wengi kwa mwaka 2021Siyo kweli.
Na hata ingekuwa kweli, kuna kitu gani hapo cha kutambia kuwa Tanzania imekuwa ya pili Africa, kumbe kipimo chenyewe cha kuwa wa pili ni kibovu?
Akili imefungiwa sehemu ndiyo maana akili yako haitaki kuelewa.Hujaeleweka hoja yako ni ipi?
Habari mbaya sana kwa wenzetu wa Sgang!
Inavyosemwa Maza anafungua nchi Kweli ameifungua! Haya sio maneno yangu someni hapa!
Tumeanza kukamata chati katika kufanya vizuri kwenye mambo mbalimbali
View attachment 2201768View attachment 2201769
Habari mbaya sana kwa wenzetu wa Sgang!
Inavyosemwa Maza anafungua nchi Kweli ameifungua! Haya sio maneno yangu someni hapa!
Tumeanza kukamata chati katika kufanya vizuri kwenye mambo mbalimbali
View attachment 2201768View attachment 2201769