Business Insider Africa: Tanzania imeshika nafasi ya pili kwa kupokea watalii wengi Afrika 2021

Business Insider Africa: Tanzania imeshika nafasi ya pili kwa kupokea watalii wengi Afrika 2021

Habari mbaya sana kwa wenzetu wa Sgang!

Inavyosemwa Maza anafungua nchi Kweli ameifungua! Haya sio maneno yangu someni hapa!

Tumeanza kukamata chati katika kufanya vizuri kwenye mambo mbalimbali

View attachment 2201768View attachment 2201769
Mh Rais SSH awe makini na Data wanazo mpa kuhusu UTALII , nafikiri amesoma ripoti ya CAG kuhusu VISA feki. Kama wana weza kuwa na watalii feki basi kutengeneza ripoti feki inaweza kuwa maradufu...Uchawa usiwape upofu wa kuidanganya dunia.
 
Kwenye hiyo list Egypt haipo,itakua fake ili kuibeba Tanzania!!

Watalii wa Tanzania inasemekana mtu akitalii Serengeti anahesabiww,alienda tarangire ama mikumi mtu yule yule anahesabiww tena kama mtalii mpya!!
Tukumbuke pia visa feki kibao zilitolewa pale Airport ,kwa hiyo kupika takwimu kama hizo kwao ni rahisi zaidi.
 
Kwenye hiyo list Egypt haipo,itakua fake ili kuibeba Tanzania!!

Watalii wa Tanzania inasemekana mtu akitalii Serengeti anahesabiww,alienda tarangire ama mikumi mtu yule yule anahesabiww tena kama mtalii mpya!!
Pamoja na I kweli kwamba Idaho ya watalii inaongezeka, hii ranking sikubaliani nayo. Egypt inapata mamilioni ya watalii lakini siioni hapa!
 
Back
Top Bottom