Bw.Free Mbowe hata nyie chama chenu kina kikosi cha kutoa mafunzo kwa vijana ili wafanye vurugu wakati wa uchaguzi mbona husemi?

Bw.Free Mbowe hata nyie chama chenu kina kikosi cha kutoa mafunzo kwa vijana ili wafanye vurugu wakati wa uchaguzi mbona husemi?

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
We Mbowe umetoa tuhuma nzito dhidi ya Jeshi la Polisi nchini, lakini hata nyie chama chenu kinao vijana waliopewa mafunzo ya kijeshi, wakati wa uchaguzi na hata sasa uchaguzi wa serikali za mitaa, vijana wenu mliowapa mafunzo wamesambazwa kwenye kila wilaya kutoa mafunzo ya namna ya kufanya vurugu wakati wa uchaguzi, sisi tunayasikia huku mitaani, kwa mfano juzi mlipeleka watu mikoani kwa ajili ya kufundisha vijana kufanya vurugu na mkifika mnakutana na madiwani na mnaeleza kuwa mmetumwa na chama chenu kwa ajili ya kutoa mafunzo ili wayatumie wakati wa uchaguzi, wale vijana wenu walikaa wiki nzima wakisubiri walipwe posho lakini madiwani walishindwana na vijana hao wakarudi, nyie ni watu wabaya sana.

Mwaka 2020 uchaguzi mkuu mlipeleka watu mkoa wa Lindi hasa Nachingwea na Liwale mkachoma gari moto mmoja wafuasi wenu aitwae Hawa alikamatwa na kukaa sana jela, mlichoma ofisi za serikali, kule Masasi, Tunduru, Mtama, Mara huko kwenu Arusha na Moshi kote, mna vijana wenu wa kutoa mafunzo kwa ajili ya kukabiliana na vyombo vya usalama.

Naishauri serikali iende Nachingwea, Masasi, Mtama ifuatilie yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa 2020 vurugu kubwa zilitokea maeneo hayo kwa sababu ya mafunzo waliyopewa vijana, wanawafundisha namna ya kuchoma magari moto, namna kuchoma moto nyumba, kwa hiyo Mbowe hata nyie mnafanya hujuma hizo.

Vurugu zinazotokea wakati wa uchaguzi mnakuwa nyie ndio mmesababisha, mnapeleka vijana wenu kwenda kutoa mafunzo huko mawilayani halafu leo unatokea mbele ya vyombo vya habari kujifanya una data, mbona husema chama chenu pia kinatoa mafunzo kufundisha vijana kufanya vurugu.Sasa kama unanisoma humu ama hunisomi, mimi ni mfanyabiashara nazunguka sana nchini na bahati nzuri nina mtandao mkubwa wa kupata habari, idara yenu mnayoitumia kwenda kufundisha vijana namna ya kufanya hujuma kwa serikali sasa hivi mmefika mwisho, bahati nzuri kila vijana wenu wanapotoka kwenda mikoani na wilayani ninajua, nitakuwa navijulisha vyombo vya usalama kuwa wilaya hii kuna watu wa chama kile wameleta watu wa kutoa mafunzo nendeni mkawadake, sasa usije kulia kulia.
 
We Mbowe umetoa tuhuma nzito dhidi ya Jeshi la Polisi nchini, lakini hata nyie chama chenu kinao vijana waliopewa mafunzo ya kijeshi, wakati wa uchaguzi na hata sasa uchaguzi wa serikali za mitaa, vijana wenu mliowapa mafunzo wamesambazwa kwenye kila wilaya kutoa mafunzo ya namna ya kufanya vurugu wakati wa uchaguzi, sisi tunayasikia huku mitaani, kwa mfano juzi mlipeleka watu mikoani kwa ajili ya kufundisha vijana kufanya vurugu na mkifika mnakutana na madiwani na mnaeleza kuwa mmetumwa na chama chenu kwa ajili ya kutoa mafunzo ili wayatumie wakati wa uchaguzi, wale vijana wenu walikaa wiki nzima wakisubiri walipwe posho lakini madiwani walishindwana na vijana hao wakarudi, nyie ni watu wabaya sana.

Mwaka 2020 uchaguzi mkuu mlipeleka watu mkoa wa Lindi hasa Nachingwea na Liwale mkachoma gari moto mmoja wafuasi wenu aitwae Hawa alikamatwa na kukaa sana jela, mlichoma ofisi za serikali, kule Masasi, Tunduru, Mtama, Mara huko kwenu Arusha na Moshi kote, mna vijana wenu wa kutoa mafunzo kwa ajili ya kukabiliana na vyombo vya usalama.

Naishauri serikali iende Nachingwea, Masasi, Mtama ifuatilie yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa 2020 vurugu kubwa zilitokea maeneo hayo kwa sababu ya mafunzo waliyopewa vijana, wanawafundisha namna ya kuchoma magari moto, namna kuchoma moto nyumba, kwa hiyo Mbowe hata nyie mnafanya hujuma hizo.

Vurugu zinazotokea wakati wa uchaguzi mnakuwa nyie ndio mmesababisha, mnapeleka vijana wenu kwenda kutoa mafunzo huko mawilayani halafu leo unatokea mbele ya vyombo vya habari kujifanya una data, mbona husema chama chenu pia kinatoa mafunzo kufundisha vijana kufanya vurugu.Sasa kama unanisoma humu ama hunisomi, mimi ni mfanyabiashara nazunguka sana nchini na bahati nzuri nina mtandao mkubwa wa kupata habari, idara yenu mnayoitumia kwenda kufundisha vijana namna ya kufanya hujuma kwa serikali sasa hivi mmefika mwisho, bahati nzuri kila vijana wenu wanapotoka kwenda mikoani na wilayani ninajua, nitakuwa navijulisha vyombo vya usalama kuwa wilaya hii kuna watu wa chama kile wameleta watu wa kutoa mafunzo nendeni mkawadake, sasa usije kulia kulia.
Wacha kuropoka kama umekunywa maji ya chooni kama unafikiri kama Chadema wangekuwa na kikosi kama hicho si wangeshafutiwa usajili kwa jinsi serikali dhalim ya CCM inavyowatafuta kuwafutia usajili
 
We Mbowe umetoa tuhuma nzito dhidi ya Jeshi la Polisi nchini, lakini hata nyie chama chenu kinao vijana waliopewa mafunzo ya kijeshi, wakati wa uchaguzi na hata sasa uchaguzi wa serikali za mitaa, vijana wenu mliowapa mafunzo wamesambazwa kwenye kila wilaya kutoa mafunzo ya namna ya kufanya vurugu wakati wa uchaguzi, sisi tunayasikia huku mitaani, kwa mfano juzi mlipeleka watu mikoani kwa ajili ya kufundisha vijana kufanya vurugu na mkifika mnakutana na madiwani na mnaeleza kuwa mmetumwa na chama chenu kwa ajili ya kutoa mafunzo ili wayatumie wakati wa uchaguzi, wale vijana wenu walikaa wiki nzima wakisubiri walipwe posho lakini madiwani walishindwana na vijana hao wakarudi, nyie ni watu wabaya sana.

Mwaka 2020 uchaguzi mkuu mlipeleka watu mkoa wa Lindi hasa Nachingwea na Liwale mkachoma gari moto mmoja wafuasi wenu aitwae Hawa alikamatwa na kukaa sana jela, mlichoma ofisi za serikali, kule Masasi, Tunduru, Mtama, Mara huko kwenu Arusha na Moshi kote, mna vijana wenu wa kutoa mafunzo kwa ajili ya kukabiliana na vyombo vya usalama.

Naishauri serikali iende Nachingwea, Masasi, Mtama ifuatilie yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa 2020 vurugu kubwa zilitokea maeneo hayo kwa sababu ya mafunzo waliyopewa vijana, wanawafundisha namna ya kuchoma magari moto, namna kuchoma moto nyumba, kwa hiyo Mbowe hata nyie mnafanya hujuma hizo.

Vurugu zinazotokea wakati wa uchaguzi mnakuwa nyie ndio mmesababisha, mnapeleka vijana wenu kwenda kutoa mafunzo huko mawilayani halafu leo unatokea mbele ya vyombo vya habari kujifanya una data, mbona husema chama chenu pia kinatoa mafunzo kufundisha vijana kufanya vurugu.Sasa kama unanisoma humu ama hunisomi, mimi ni mfanyabiashara nazunguka sana nchini na bahati nzuri nina mtandao mkubwa wa kupata habari, idara yenu mnayoitumia kwenda kufundisha vijana namna ya kufanya hujuma kwa serikali sasa hivi mmefika mwisho, bahati nzuri kila vijana wenu wanapotoka kwenda mikoani na wilayani ninajua, nitakuwa navijulisha vyombo vya usalama kuwa wilaya hii kuna watu wa chama kile wameleta watu wa kutoa mafunzo nendeni mkawadake, sasa usije kulia kulia.
Bado hamjasema subiri 2025 tuwabarase kwanza ndo akili iwakae sawa
 
We Mbowe umetoa tuhuma nzito dhidi ya Jeshi la Polisi nchini, lakini hata nyie chama chenu kinao vijana waliopewa mafunzo ya kijeshi, wakati wa uchaguzi na hata sasa uchaguzi wa serikali za mitaa, vijana wenu mliowapa mafunzo wamesambazwa kwenye kila wilaya kutoa mafunzo ya namna ya kufanya vurugu wakati wa uchaguzi, sisi tunayasikia huku mitaani, kwa mfano juzi mlipeleka watu mikoani kwa ajili ya kufundisha vijana kufanya vurugu na mkifika mnakutana na madiwani na mnaeleza kuwa mmetumwa na chama chenu kwa ajili ya kutoa mafunzo ili wayatumie wakati wa uchaguzi, wale vijana wenu walikaa wiki nzima wakisubiri walipwe posho lakini madiwani walishindwana na vijana hao wakarudi, nyie ni watu wabaya sana.

Mwaka 2020 uchaguzi mkuu mlipeleka watu mkoa wa Lindi hasa Nachingwea na Liwale mkachoma gari moto mmoja wafuasi wenu aitwae Hawa alikamatwa na kukaa sana jela, mlichoma ofisi za serikali, kule Masasi, Tunduru, Mtama, Mara huko kwenu Arusha na Moshi kote, mna vijana wenu wa kutoa mafunzo kwa ajili ya kukabiliana na vyombo vya usalama.

Naishauri serikali iende Nachingwea, Masasi, Mtama ifuatilie yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa 2020 vurugu kubwa zilitokea maeneo hayo kwa sababu ya mafunzo waliyopewa vijana, wanawafundisha namna ya kuchoma magari moto, namna kuchoma moto nyumba, kwa hiyo Mbowe hata nyie mnafanya hujuma hizo.

Vurugu zinazotokea wakati wa uchaguzi mnakuwa nyie ndio mmesababisha, mnapeleka vijana wenu kwenda kutoa mafunzo huko mawilayani halafu leo unatokea mbele ya vyombo vya habari kujifanya una data, mbona husema chama chenu pia kinatoa mafunzo kufundisha vijana kufanya vurugu.Sasa kama unanisoma humu ama hunisomi, mimi ni mfanyabiashara nazunguka sana nchini na bahati nzuri nina mtandao mkubwa wa kupata habari, idara yenu mnayoitumia kwenda kufundisha vijana namna ya kufanya hujuma kwa serikali sasa hivi mmefika mwisho, bahati nzuri kila vijana wenu wanapotoka kwenda mikoani na wilayani ninajua, nitakuwa navijulisha vyombo vya usalama kuwa wilaya hii kuna watu wa chama kile wameleta watu wa kutoa mafunzo nendeni mkawadake, sasa usije kulia kulia.
Spinning Propaganda ili "kufubaza" mijadala ya kitaifa inayoendelea hapa nchini kuhusu suala la Utekaji, na Wamasai wa Ngorongoro
 
We Mbowe umetoa tuhuma nzito dhidi ya Jeshi la Polisi nchini, lakini hata nyie chama chenu kinao vijana waliopewa mafunzo ya kijeshi, wakati wa uchaguzi na hata sasa uchaguzi wa serikali za mitaa, vijana wenu mliowapa mafunzo wamesambazwa kwenye kila wilaya kutoa mafunzo ya namna ya kufanya vurugu wakati wa uchaguzi, sisi tunayasikia huku mitaani, kwa mfano juzi mlipeleka watu mikoani kwa ajili ya kufundisha vijana kufanya vurugu na mkifika mnakutana na madiwani na mnaeleza kuwa mmetumwa na chama chenu kwa ajili ya kutoa mafunzo ili wayatumie wakati wa uchaguzi, wale vijana wenu walikaa wiki nzima wakisubiri walipwe posho lakini madiwani walishindwana na vijana hao wakarudi, nyie ni watu wabaya sana.

Mwaka 2020 uchaguzi mkuu mlipeleka watu mkoa wa Lindi hasa Nachingwea na Liwale mkachoma gari moto mmoja wafuasi wenu aitwae Hawa alikamatwa na kukaa sana jela, mlichoma ofisi za serikali, kule Masasi, Tunduru, Mtama, Mara huko kwenu Arusha na Moshi kote, mna vijana wenu wa kutoa mafunzo kwa ajili ya kukabiliana na vyombo vya usalama.

Naishauri serikali iende Nachingwea, Masasi, Mtama ifuatilie yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa 2020 vurugu kubwa zilitokea maeneo hayo kwa sababu ya mafunzo waliyopewa vijana, wanawafundisha namna ya kuchoma magari moto, namna kuchoma moto nyumba, kwa hiyo Mbowe hata nyie mnafanya hujuma hizo.

Vurugu zinazotokea wakati wa uchaguzi mnakuwa nyie ndio mmesababisha, mnapeleka vijana wenu kwenda kutoa mafunzo huko mawilayani halafu leo unatokea mbele ya vyombo vya habari kujifanya una data, mbona husema chama chenu pia kinatoa mafunzo kufundisha vijana kufanya vurugu.Sasa kama unanisoma humu ama hunisomi, mimi ni mfanyabiashara nazunguka sana nchini na bahati nzuri nina mtandao mkubwa wa kupata habari, idara yenu mnayoitumia kwenda kufundisha vijana namna ya kufanya hujuma kwa serikali sasa hivi mmefika mwisho, bahati nzuri kila vijana wenu wanapotoka kwenda mikoani na wilayani ninajua, nitakuwa navijulisha vyombo vya usalama kuwa wilaya hii kuna watu wa chama kile wameleta watu wa kutoa mafunzo nendeni mkawadake, sasa usije kulia kulia.
Huu uharo wa wapi huu?
 
We Mbowe umetoa tuhuma nzito dhidi ya Jeshi la Polisi nchini, lakini hata nyie chama chenu kinao vijana waliopewa mafunzo ya kijeshi, wakati wa uchaguzi na hata sasa uchaguzi wa serikali za mitaa, vijana wenu mliowapa mafunzo wamesambazwa kwenye kila wilaya kutoa mafunzo ya namna ya kufanya vurugu wakati wa uchaguzi, sisi tunayasikia huku mitaani, kwa mfano juzi mlipeleka watu mikoani kwa ajili ya kufundisha vijana kufanya vurugu na mkifika mnakutana na madiwani na mnaeleza kuwa mmetumwa na chama chenu kwa ajili ya kutoa mafunzo ili wayatumie wakati wa uchaguzi, wale vijana wenu walikaa wiki nzima wakisubiri walipwe posho lakini madiwani walishindwana na vijana hao wakarudi, nyie ni watu wabaya sana.

Mwaka 2020 uchaguzi mkuu mlipeleka watu mkoa wa Lindi hasa Nachingwea na Liwale mkachoma gari moto mmoja wafuasi wenu aitwae Hawa alikamatwa na kukaa sana jela, mlichoma ofisi za serikali, kule Masasi, Tunduru, Mtama, Mara huko kwenu Arusha na Moshi kote, mna vijana wenu wa kutoa mafunzo kwa ajili ya kukabiliana na vyombo vya usalama.

Naishauri serikali iende Nachingwea, Masasi, Mtama ifuatilie yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa 2020 vurugu kubwa zilitokea maeneo hayo kwa sababu ya mafunzo waliyopewa vijana, wanawafundisha namna ya kuchoma magari moto, namna kuchoma moto nyumba, kwa hiyo Mbowe hata nyie mnafanya hujuma hizo.

Vurugu zinazotokea wakati wa uchaguzi mnakuwa nyie ndio mmesababisha, mnapeleka vijana wenu kwenda kutoa mafunzo huko mawilayani halafu leo unatokea mbele ya vyombo vya habari kujifanya una data, mbona husema chama chenu pia kinatoa mafunzo kufundisha vijana kufanya vurugu.Sasa kama unanisoma humu ama hunisomi, mimi ni mfanyabiashara nazunguka sana nchini na bahati nzuri nina mtandao mkubwa wa kupata habari, idara yenu mnayoitumia kwenda kufundisha vijana namna ya kufanya hujuma kwa serikali sasa hivi mmefika mwisho, bahati nzuri kila vijana wenu wanapotoka kwenda mikoani na wilayani ninajua, nitakuwa navijulisha vyombo vya usalama kuwa wilaya hii kuna watu wa chama kile wameleta watu wa kutoa mafunzo nendeni mkawadake, sasa usije kulia kulia.
Huwa nakwambia wewe ni Zuzu Kila kitu unapinga, ona Sasa unavyojiaibisha.
 
Back
Top Bottom