Bw.Tundu Lissu siyo Intelligent!


Toa majungu yako hapa kama wewe hujamuona wewe wenzako tumemuona.
 

Sasa ndugu yangu unaongea nini...??? Ni rahis mno utampima mtu elimu na uelewa wako kwa mchango na werevu wake wa kuchanganua mambo... Mwanasheria wote walio bora ni lazima wafanye kazi huko unapopataka wewe.... Hopeless kabisa...
 

HATA HUYO RAIS PIA, HANA UWEZO WA KUWA HATA DIWANI KWENYE BAADHI YA NCHI MFANO:INDIA,CHINA,SPAIN HATA HAPO EGYPT TU.....
Ni kutokana na misimamo yao na vigezo walivojiwekea,unapo sema Lissu hana sifa za kimataifa lazima utuambie ni taifa lipi hawezi,
McKinsey wanaweza na hawawezi kumchukua kulingana na uhitaji wao kitaaluma na vigezo walivyonavyo!
 

umakini wa lissu ni katka kazi zake za uwakili ukitaka kujua kama yuko kwa kiwango kipi angaria idadi ya kesi alizofanya kati ya hizo ameshindwa ngapi na kushinda ngapi? sio kukurupuka from no where na hoja za kitoto ili mradi umeengiziwa buku mbili.
 
Ωєωє нυиα jιρуα
 
Umethibitisha kwamba Kamanda Lissu anawapasua sana vichwa vyenu! Vipi ile mikakati yenu ya wakati ule kuwavizia kwa njia mbalimbali Mwenyekiti Mbowe, Dkt. Slaa, Lissu, Mnyika, Lema na wengine kama vile sumu, ajali, ujambazi na zingine kadhaa imeshindikana ndiyo maana mnaamua kumaliza au kupunguza hasira kwa njia zingine za kuandika kama hivi!

Ni dalili nzuri ya kushindwa hoja na kukimbilia kuingiza viroja.

Majukumu aliyonayo Kamanda Lissu kwa sasa akitumia taaluma yake, uwezo wake na uzoefu wake kuwatumikia watu wake kwa kuwawakilisha ipasavyo ni murua kabisa kuliko hiyo unayofikiria wewe!
 
Umeambiwa hana kazi? Wewe kama unakazi si ukawape watoto wa ccm wenzio.
 
...McKinsey ndo nani? yupo Zanzbar au Tanganyika? anataka serikali mbili au tatu? acha akili za kitumwa wewe!

Safi sana ulivyomjibu, watu wanapigania masilah ya watanzania ambao ni muunganiko wa Zanzibar na Tanganyika! Yeye anamzungumzia Mckinsey
Shwain!!
 
Kama huna la kufikiri, basi nenda hata ukatembee barabarani

 
Le Mutuz yule dada yako aliyepewa ujaji na JK kweli unamlinganisha na Mh Lissu au Jaji Warioba?
 
Mckinsey?kazi?mahakama ya mnazi mmoja?humu jf tupo wagonjwa wengi sana. Ni vizuri mtoa mada ukamwona daktari wako kuna kliniki hujaenda kitambo fulani
 

Ndio tatizo la uhuru wa kutoa maoni. Kuna siku utakuja useme kumbe Tanzania hakuna nyumba ukilinganisha na nyumba za huko ughaibuni.
 
Le mutuz una bifu na Mh Lissu kwa sababu alihoji uteuzi wa dada yako kuwa jaji ufupi hakuqualify simply ni jina tu.kuna blogu inasema tangu 2006 wakati wanaripoti dada yako jaji feki alikuwa hajasikiliza kesi hata moja!kazi yake ilikuwa kwenda kutibiwa India
 

Kwani amekwambia ana shida nao hao makinsey wako...!? huko kaombe wewe njegele.
 
Ndio Le Mutuz atatetea uozo wa magamba maana siku ya mabadiliko dada zake wote watapigwa chini maana ni teuzi za kitapeli tapeli
 

unajua maana ya jina lako?(ID)
 
We mwenyewe chizi umeambiwa anataka kazi uko.. Nenda kaoshe vyombo ya mumeo sijui ke au me utajua mwenyewe

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Baadhi yetu wabongo tumekuwa projected kuwa kazi nzuri ni ya kuajiriwa! Oooh Mhe Lisu hawezi kupata kazi blah blah ... Wajanja wanaajiri si kuajiriwa ... hata kama unachuki binafsi ama mnaona vitumbua vyenu vinachafuliwa basi mpingeni kwa hoja za maana ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…