Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usiri upi ilihali kila siku namposti mke wangu ?Double D dronedrake Bw.Harusi Msiri.

ni kweli nimeoa binti Mamujee toka TangaNjoo huku dronedrake ujibu hizi tuhuma. Kama ni kweli basi umetukwaza sana
joka jeusi alimpitisha? Au umezamia mtera?ni kweli nimeoa binti Mamujee toka Tanga
binti wa kwanza kabisa ulimwenguni ambaye haombi hata senti moja
Chai mzee Chaiii.usiri upi ilihali kila siku namposti mke wangu ?
haya kwa faida yako huyu hapa, binti wa kitanga asiyeomba pesa
ndiyo nakwambia, achana na akima Moureen, UTI hostess na mizinga kama mabomu ya gazaChai mzee Chaiii.
ndiyo nakwambia, achana na akima Moureen, UTI hostess na mizinga kama mabomu ya gaza
Wewe utakuwa una masters ya bikra siyo bure.Wanaume wengi hawajui kutofautisha tafsir ya bikra inayostahili.
1. bikra ya kukutwa na utando(ambayo hutoka hata bila sex kama mazoezi au shughuli za kutanua kama kutumia baiskeli au acrobatics)
2. bikra ya kutoingiliwa na uume.
Hii nayo haipimiki kwa size ya tundu au nyonyo. Inategemea ntu na ntu!
Siku hizi tunaona kitoto kinapelekwa skuli lakin kila kiungo ni kimeiva!
Sasa kuoa kwa vigezo vya bikra ni ubinafs na kujimilikisha binadam.
Tuoe mtu kwa umbo, tabia na akili zake kwa wakat huo.
hahahaha
Sin is marriage before sexNowadays rules are changed.
Sex before marriage is sin.... Reverse it.
Basi kama umeongea mimi nani nipinge, harusi yenyewe ni ya kikobazi kobazi...😄😄😄Hiyo ni haki yake mume. KWamelikoroga sasa walinywe.
Nimeshayashuhudia mara mbili tatu, si la kwanza hilo.