Bwana harusi amegoma kuoa siku ya harusi sababu mke mtarajiwa hana bikra huku amlimdangaya anayo

Wewe utakuwa una masters ya bikra siyo bure.
 
Bikira ya wapi sasa [emoji1787][emoji1787][emoji23] kwani na yy ni bikra au
 
Nje ya Mada, kwann Ndoa za kiislamu zinafungwa nyumbani halafu kitandani
 
Hiyo ni haki yake mume. KWamelikoroga sasa walinywe.


Nimeshayashuhudia mara mbili tatu, si la kwanza hilo.
Basi kama umeongea mimi nani nipinge, harusi yenyewe ni ya kikobazi kobazi...πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…