Bwana Tundu Lissu, Hoja ya Chato na Maendeleo ya sasa inajibika Kimantiki

UPUUZI MTUPU!
 
Hivi uwanja wa ndege wa Chato ni mali ya JPM?

Mnaposema haikuwa mpango kazi wa taifa mnao uhakika? Mbona tender ilitangazwa na Mayanga Contractors ikapata kazi?
 
Hivi uwanja wa ndege wa Chato ni mali ya JPM?

Mnaposema haikuwa mpango kazi wa taifa mnao uhakika? Mbona tender ilitangazwa na Mayanga Contractors ikapata kazi?
Tunazungumzia upendeleo kwa wilaya Chato kwasababu JPM ni mzawa wa huko!Huoni sasa tunajengewa mazingira ya kuchaguana kikabila kwa kuamini kuwa mzawa atapendelea eneo alilotokea!

Mimi nataka asimame mtu anioneshe kwa ushahidi na data kuwa miradi inayoendelea Chato haina uhusiano wowote na Rais kuwa mzawa wa huko!
Wewe unaamini hakuna uhusiano?Kwamba hata Rais asingekuwa JPM bado miradi hiyo ingefanyika Chato kutokana na mpango wa maendeleo!
 
Huweziii ukapata ajali ya jeraha kama lile halafu kwa mda mfupi akili ikatengamaa. Mimi naona acheni kuhangaika na mambo ya huyo kijana.
 
Hivi uwanja wa ndege wa Chato ni mali ya JPM?

Mnaposema haikuwa mpango kazi wa taifa mnao uhakika? Mbona tender ilitangazwa na Mayanga Contractors ikapata kazi?

Hata uwanja wa ndege wa Mobutu ulikuwa ni wa nchini kwake, ila ulijengwa kijijini kwake. Mwanza mjini kuna uwanja wa ndege, sidhani kama kulikuwa na uhitaji mkubwa sana wa uwanja mwingine wa ndege wa kiwango hicho ndani ya umbali mfupi hivyo. Kwa sasa una haki ya kutetea hilo, ila atakapotoka madarakani utakuja kuchukua mrejesho.
 
Kwa kuwa Mwanza kuna uwanja ndio Geita usijengwe uwanja? Unajua umbali wa Chato to Mwanza

Mimi sitetei, sioni sababu za msingi kunishawishi kupinga Chato kuwa na uwanja.
 
nyie pumbafu mmeshindwa kupeleka maendeleo kwenu, mnapeleka mikoa mingine
sasa usipo peleka maendeleo kwako/kwenu unategemea ni nani atakuletea au atapeleka?
wacheni mzee afanye maendeleo kwao ili iwe fundisho kwa wapumbafu wanaopachukia makwao.
 
Ndiyo zao hizo hawa MAZWAZWA wanaohaha kumfurahisha huyo anayejiita mwendawazimu kwa kupongeza udikteta an ufisadi wake mkubwa Nchini ili awape TEUZI.
Ndiyo maana ameweka jina lake kamili ili amfurahishe mfalme.
 
Vipaumbele vingi kama vipi? Hospital na uwanja wa ndege? Kwani mikoa mingine hakuna hospital na viwanja vya ndege vilivyojengwa/ kukarabatiwa?

Geita mjini hakuna hospital?
 
Kwa kuwa Mwanza kuna uwanja ndio Geita usijengwe uwanja? Unajua umbali wa Chato to Mwanza

Mimi sitetei, sioni sababu za msingi kunishawishi kupinga Chato kuwa na uwanja.

Nasema kwakuwa tayari Mwanza uwanja upo, hakukuwa na ulazima tena kwa umbali huo kuwa na uwanja wa kiwango hicho, hasa ukizingatia umbali uliopo. Umbali wa Chato na Mwanza ni mbali kama unaenda na baiskeli au miguu, ila sio kwa ndege. Ni kiongozi mwenye udictator tu anaweza kufanya kinachofanyika sasa. Subiri atoke madarakani ili uone ukweli wa hiki tunachokosoa.
 
Bila kupeoesa macho,yanayoendelea Chato,yanaleta ukanda na ukabila,ule mgawanyo wa resources haujabalance........why alwasy Chato?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…