babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Haya nimewaachiaSasa kama humsomi si upite tu,kwanini uchangie kitu ambacho hujasoma?Ungepita tu kimya kimya ukatuachia mada watu ambao tuna uvumilivu wa kujadili hoja kwa hoja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya nimewaachiaSasa kama humsomi si upite tu,kwanini uchangie kitu ambacho hujasoma?Ungepita tu kimya kimya ukatuachia mada watu ambao tuna uvumilivu wa kujadili hoja kwa hoja!
Hivi unavijua vigezo vya uwanja wa kimataifa?Changu wa madoa acha utoto. Huoni sababu za msingi. Unaona zipi? Unajua umbali? Dar mpaka terminal 3 wakati Kibaha au Kisarawe hakuna uwanja! Pengine huo uwanja ungejengwa Geita ingeeleweka. Hata ungetupwa Katoro bado shida ingekuwepo. Tunazungumzia uwanja wa kimataifa! Chato hata wa wilaya si muafaka. Kete ya Katoro hiyo. Tena acha ufala Geita si Chato. Hovyo!
Baada ya kushindwa kuyafanya hayo nchi nzima kaona heri ayafanye hukoKijiji kimoja kijulikanacho kama Chato ndani ya miaka mitano kimefanyiwa yafuatayo tofauti na kijiji kingine chochote Tanzania:-
1. International airport imejengwa
2. Taa za kuongozea magari barabarani zimewekwa.
3. Chuo cha utumishi wa umma kinajengwa.
4. Uwanja wa kimataifa wa michezo unajengwa (kijijini!)
5. Mabenki yamejengwa
6. Hospitali ya kimataifa ya rufaa inajengwa.
7. Mbuga ya kimataifa ya wanyamapori imeanzishwa.
8. Dhifa za kitaifa za kuwapokea wakuu wa nchi na serikali zinafanyika.
9. Viongozi wakuu wa nchi wanaapishwa.
Ni katika kijiji kipi kingine Tanzania japo robo ya hayo yamewahi kufanyika? Halafu huoni tatizo? Hata kama ni kunywa maji ya kijani sio kwa upofu huo!
Wewe ndiye msemaji (sauti) ya changu wa madoa? Kwani wewe usiyefikiri kabisa, vinginevyo kufikiri kutakosa maana, Chato ni uwanja wa kimataifa au hapana? Wametua Wang na Nyusi na waliishatua Museveni na Kenyatta hata kama ni kwa kulazimishwa. Anatua sana JPM, aliyekuwa m/kiti wa SADAC(international)!Hivi unavijua vigezo vya uwanja wa kimataifa?
Au unafkiri kwa kutumia reverse?