Bwana Tundu Lissu, Hoja ya Chato na Maendeleo ya sasa inajibika Kimantiki

Bwana Tundu Lissu, Hoja ya Chato na Maendeleo ya sasa inajibika Kimantiki

Kitu ambacho sina hakika ni Mkoa wowote wa Tanzania kutoka eneo lolote lile lingekuwa linaingiza TRILLION 2.356 kama pato la kikodi, na kuchangia TRILLION 7 ( dollar 2.7 billion) akiba ya fedha za kigeni kelele zisingetosha humu. Haki hii wamezibwa midomo tuu kwa kuwa Rais anatoka maeneo yao, sidhani kama pangetosha.

Na wakosoaji maendeleo wa Mikoa mingine ya Tanzania. Kwanza ni matusi kwa serikali yetu kama wangeisahau Geita.

GEITA INAINIZA PATO KUBWA KULIKO SHUGULI ZOTE ZA UTALII KWA NCHI NZIMA, MAPATO YA DHAHABU NDIO YENYE KULETA MAPATO MAKUBWA ZAIDI KULIKO BIDHAA AU SHUGULI NYINGINE YEYOTE YA UZALISHAJI TANZANIA.

Akimaliza muda wake Rais Magufuli na akiondoka tutawatafutia mbeleko ya kuwabeba.

Mikoa ya Magharibi ina akiba kubwa ya dhahabu na Almasi nyingi kuliko ambayo nchi hii imekwisha chimba tangu kuzaliwa kwa Taifa hili.

Haya malamiko ya Chato kupata miradi tunatengeneza moto ambao utatusumbua baadae. Ukila na kipofu ushimshike mkono.


Geita Gold Mine Kicks Off 9,2bn Shillings of Community Development Spending

(Geita – PRESS RELEASE) -- Geita Gold Mine Limited (GGML) today marks an important
milestone in its journey to develop local communities in the Geita Region, with the handover
of construction materials for key infrastructure projects including classrooms, healthcare
facilities, and employee accommodation. The materials include cement, roofing sheets, gravel
and sand.
This development follows the signing of the Memorandum of Understanding (MoU) in March
by GGML, Geita District Council and Geita Town Council. GGML was the first mining company
to comply with Tanzania’s new legislation governing the process for agreeing its Corporate
Social Responsibility (CSR) plan in advance of its implementation. The total value of the
projects that stand to be financed and executed under the GGM CSR Plan of 2018, is 9.2
billion Tanzanian Shillings.
“We are proud of this contribution,” GGML Managing Director, Mr. Richard Jordinson, said.
“We’ll continue our work with local government authorities and host communities, through an
inclusive process, to ensure our mining activities create sustained economic development
benefit for the people in the region, and in Tanzania as a whole.”

The CSR plan includes a range of other projects, notably the installation of solar powered
streetlights along the main roads in Geita town, the construction of a state-of-art tower at the
Geita Town roundabout, and development of a modern market facility for Geita Town.
Under the Mining Act 2010 as amended by the Written Laws (Misc. Amendment) Act 2017
mining companies, including GGML are required to prepare and implement a credible
Corporate Social Responsibility Plan jointly agreed by the relevant Local Authorities in
consultation with the Minister responsible for Local Government Authorities and the minister
responsible for Finance.
Mr Jordinson acknowledged and commended the support shown by the local government
authorities throughout the process of CSR implementation, commenting: “The Company
would like to convey its sincere gratitude to the Hon. Regional Commissioner and the
Directors for the Geita District and Town Councils for their support and guidance throughout
this process.”
He said the 2018 CSR Plan represents a positive model that demonstrates how the
government and private sector can work together towards a better future for Tanzania.
Ends

Na huu ni mgodi mmoja katika migodi mikubwa minne, na zaidi ya migodi mdogo mdogo 326.

Waambieni CSR (CORPORATE SOCIAL RESPONSIBITY) WANALIPWA MABILLION MANGAPI? Hakuna mkoa unaofanana na Geita kwa mapato ya wachimbaji tuu.
 
Kitu ambacho deogratius Mutungi hajielekezi kwa makusudi ni kwa nini miradi mingi hivyo ikafanywa kijij cha Chatto?
Kwa nini sio Tabora,Mpanda,Singida nk.?
Pia ameshindwa kabisa kutuonyesha tofauti ya Magufuli na Banda na Mobutu.
Hakuna jibu lolote la kimantiki hapo.
 
Wewe ni mwelewa sana.Nimekutunuku u doctor.
Mmekutana wapuuz wawili,
Unaijua hata historia ya Gbadolite alikojenga uwanja Mobutu?
Kwa akili zenu mnamfananisha Mobutu na JPM kweli?
Si mumfate huyo mwenzenu huko huko kwa hao wacongo na wanyarwanda Belgien mkaongee muungane mkono malouser nyie.
Uwanja ushajengwa na ndege zinatua, kaubebeni muupeleke huko Ikungi sasa.
 
Salaam Wana JF.

Nimesoma na kuona andiko la Bwana Tundu AM Lissu kutoka Ubelgiji akijenga hoja juu ya maendeleo ya vitu na watu ndani ya eneo la Chato anapotoka rais wa sasa Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Sijaona mantiki ya Lissu kupotosha umma wa Watanzania dhidi ya maendeleo ya sasa kwa Chato. Aidha, kabla ya kujenga hoja zangu dhidi ya hoja za Lissu, nitumie jukwaa hili kukanusha upotoshaji wa kumfananisha Rais Magufuli na Madikteta wa Kiafrika akina Mobutu Sese Seko, Felix Houphouet-Boigny, Hastings Kamuzu Banda na wengineo, Kwa hoja hii Lissu umepotosha umma na awatake radhi Watanzania na Rais Mwenyewe, kamwe uwezi kuzifananisha sifa za Mobutu na JPM labda kama hujui uovu na ukatili wa Mobutu Sese Seko.

Aidha Bwana Lissu unaporejea Kitabu cha Peter Kenyon "Dictatorland, The Men Who Stole Africa" Anachokiongelea Mwandishi Peter kwa viongozi wa Kiafrika walionajisi nchi zao hakina uhalisia na kinachofanywa na Rais Magufuli kwa sasa ndani ya eneo la Chato, Mantiki ya Peter Kenyon ni kuwamulika viongozi waliotawala Afrika na kujitajilisha wao wenyewe kimaendeleo dhidi ya Umma yaani wenye nchi, Rais Magufuli anatajilisha Umma kimaendeleo badala yake binafsi ndipo hoja iliposimama hapa.

Bwana Lissu kama unavyojua ni ngumu sana kuzuia watu kusema lakini linapokuja suala la upotoshaji ni sharti tujenge hoja kuepusha kikombe hiki kutamalaki, Bwana Lissu kinachofanywa na serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Magufuli katika Mkoa wa Geita wilayani Chato ni Jambo la kawaida kwa mantiki kuwa kusudio la Maendeleo hayo ni kwa manufaa ya Watanzania wote bila kujali eneo unalotoka, Umerejea awamu zilizopita ukiwataja viongozi wa awamu hizo nne kuwa hawakufanya kinachofanywa kwa sasa, Bwana Lissu nikujulishe kuwa kila nyakati na mambo yake.

Wakati wa Mwl. Nyerere alifanya kulingana na uhitaji na mipango ya wakati ule lakini pia alinyoshewa kidole na wakosoaji wake wa masuala ya maendeleo, Hivyo hivyo kwa Mwinyi, Mkapa na Kikwete kwahiyo lawama za namna hii hazikuanza leo na kamwe huwezi kuzimaliza lakini zinapopotosha zinajibiwa kimantiki, hata hivyo kila utawala utofautiana kiutawala, tunachokiona sasa sio kile tutakachokiona awamu ijayo ya sita.

Tunge jenga hoja za kumushambulia Rais Magufuli endapo tu kama angekuwa anafanya maendeleo ya namna hii nje ya Tanzania, hata mimi ningeunga mkono hoja kwa kitendo hicho lakini kinachofanywa ni ndani ya ardhi ya Tanzania, Aidha ninge hoji na kukosoa endapo tu Rais Magufuli angekuwa anafanya kwa maslahi yake binafsi na familia yake, lakini kinachofanywa ni kwa maslahi ya umma, Je nongwa inatoka wapi? Au ni husuda tu wa kisiasa kwa sababu ya itikadi za vyama vyetu?

Bwanba Lissu unadriki kulinganisha Mobutu Sese Seko ,Felix Houphouet-Boigny na Rais Magufuli, Je unajua viongozi hawa walitumia kodi za walala hoi kufanya starehe na anasa nyingine za kufuru hata zilizokuwa kinyume na amri kumi za Mungu kwa kujenga majumba ya kifahari kwa familia zao na kuwekeza mapesa mengi kwenye makampuni yaliyo je ya mataifa yao, Kinachofanywa Chato ni uwekezaji wa anasa au kwa mustakabari wa maendeleo ya watu kwa kizazi cha leo na hapo badae? Je baada ya rais muda wake yote yaliyofanyika ndani ya geita yatakuwa mali ya serikali au familia ya Magufuli?

Je, hoja ya kupinga maendeleo ya Chato inatoka wapi na ina mantiki ipi? Hata hivyo bwana Lissu unapo ongelea kisa cha Rais wa zamani wa Afrika Kusini bwana Zuma aligeuza kijiji chake cha Nkandla kuwa kama ambavyo Magufuli anaigeuza Chato Si kweli, Tuhuma za Zuma ni kujenga Jumba la Kifahari na baadhi ya mambo mengine ya anasa kwa kutumia kodi ya Wana Afrika Kusini badala ya kutumia pesa yake binafsi, na ndo maana mahakama iliamuru arudishe hela na akarudisha, Je ufanano wa Zuma na Magufuli upo wapi hapa bwana Lissu?

Nihitimishe andiko hili kwa kusema kinachoendelea mitandaoni kuhoji na kushambulia kile kinachofanyika Mkoani Geita wilayani chato kama kitu kisichokubalika kwa umma ni upotoshaji ambao sharti Watanzania tuupuuze na tuungane kwa pamoja kuendelea kuijenga nchi yetu katika dhana ya maendeleo na watu wake, Maendeleo hayana ukanda ilimradi tu kinachofanyika kiwe ndani ya ardhi ya Tanzania.

Deogratias Mutungi
Bwana mwandikaji, sasa hapa umejibu hoja za Lissu au Umesasambua hoja za Lissu?
 
Mmekutana wapuuz wawili,
Unaijua hata historia ya Gbadolite alikojenga uwanja Mobutu?
Kwa akili zenu mnamfananisha Mobutu na JPM kweli?
Si mumfate huyo mwenzenu huko huko kwa hao wacongo na wanyarwanda Belgien mkaongee muungane mkono malouser nyie.
Uwanja ushajengwa na ndege zinatua, kaubebeni muupeleke huko Ikungi sasa.
Umejibu hoja ya Lissu au nawe umeamua kuonekana umechangia
 
Sumbawanga, Nachingwea, Kisarawe, Misenyi, Mbinga.....maeneo haya yanapaswa pia kupokea kilichofanyika kama hapo mnapopatetea....
 
Hii mada ni ya kipuuzi hasa.

Unaposema hakuna ufanano wa Mabuto na huphor wa Ivory Coast, eti kwa sababu Mh. Rais Magufuli anachofanya anafanya ndani ya Tanzania, kwani Mobutu na Houphouet-Boigny, waliyoyafanya kwenye vijiji vyao, hivyo vijiji vilikuwa mbinguni au kwenye mataifa yao?

Huu utetezi ni wa kijuha. Yawezekana kukawa na utetezi, lakini hauwezi kuwa huu ujinga uliopo kwenye bandiko hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona takataka za watu? Eti na huyu ana mke na watoto wanasema baba amekwenda kazini!
 
Salaam Wana JF.

Nimesoma na kuona andiko la Bwana Tundu AM Lissu kutoka Ubelgiji akijenga hoja juu ya maendeleo ya vitu na watu ndani ya eneo la Chato anapotoka rais wa sasa Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Sijaona mantiki ya Lissu kupotosha umma wa Watanzania dhidi ya maendeleo ya sasa kwa Chato. Aidha, kabla ya kujenga hoja zangu dhidi ya hoja za Lissu, nitumie jukwaa hili kukanusha upotoshaji wa kumfananisha Rais Magufuli na Madikteta wa Kiafrika akina Mobutu Sese Seko, Felix Houphouet-Boigny, Hastings Kamuzu Banda na wengineo, Kwa hoja hii Lissu umepotosha umma na awatake radhi Watanzania na Rais Mwenyewe, kamwe uwezi kuzifananisha sifa za Mobutu na JPM labda kama hujui uovu na ukatili wa Mobutu Sese Seko.

Aidha Bwana Lissu unaporejea Kitabu cha Peter Kenyon "Dictatorland, The Men Who Stole Africa" Anachokiongelea Mwandishi Peter kwa viongozi wa Kiafrika walionajisi nchi zao hakina uhalisia na kinachofanywa na Rais Magufuli kwa sasa ndani ya eneo la Chato, Mantiki ya Peter Kenyon ni kuwamulika viongozi waliotawala Afrika na kujitajilisha wao wenyewe kimaendeleo dhidi ya Umma yaani wenye nchi, Rais Magufuli anatajilisha Umma kimaendeleo badala yake binafsi ndipo hoja iliposimama hapa.

Bwana Lissu kama unavyojua ni ngumu sana kuzuia watu kusema lakini linapokuja suala la upotoshaji ni sharti tujenge hoja kuepusha kikombe hiki kutamalaki, Bwana Lissu kinachofanywa na serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Magufuli katika Mkoa wa Geita wilayani Chato ni Jambo la kawaida kwa mantiki kuwa kusudio la Maendeleo hayo ni kwa manufaa ya Watanzania wote bila kujali eneo unalotoka, Umerejea awamu zilizopita ukiwataja viongozi wa awamu hizo nne kuwa hawakufanya kinachofanywa kwa sasa, Bwana Lissu nikujulishe kuwa kila nyakati na mambo yake.

Wakati wa Mwl. Nyerere alifanya kulingana na uhitaji na mipango ya wakati ule lakini pia alinyoshewa kidole na wakosoaji wake wa masuala ya maendeleo, Hivyo hivyo kwa Mwinyi, Mkapa na Kikwete kwahiyo lawama za namna hii hazikuanza leo na kamwe huwezi kuzimaliza lakini zinapopotosha zinajibiwa kimantiki, hata hivyo kila utawala utofautiana kiutawala, tunachokiona sasa sio kile tutakachokiona awamu ijayo ya sita.

Tunge jenga hoja za kumushambulia Rais Magufuli endapo tu kama angekuwa anafanya maendeleo ya namna hii nje ya Tanzania, hata mimi ningeunga mkono hoja kwa kitendo hicho lakini kinachofanywa ni ndani ya ardhi ya Tanzania, Aidha ninge hoji na kukosoa endapo tu Rais Magufuli angekuwa anafanya kwa maslahi yake binafsi na familia yake, lakini kinachofanywa ni kwa maslahi ya umma, Je nongwa inatoka wapi? Au ni husuda tu wa kisiasa kwa sababu ya itikadi za vyama vyetu?

Bwanba Lissu unadriki kulinganisha Mobutu Sese Seko ,Felix Houphouet-Boigny na Rais Magufuli, Je unajua viongozi hawa walitumia kodi za walala hoi kufanya starehe na anasa nyingine za kufuru hata zilizokuwa kinyume na amri kumi za Mungu kwa kujenga majumba ya kifahari kwa familia zao na kuwekeza mapesa mengi kwenye makampuni yaliyo je ya mataifa yao, Kinachofanywa Chato ni uwekezaji wa anasa au kwa mustakabari wa maendeleo ya watu kwa kizazi cha leo na hapo badae? Je baada ya rais muda wake yote yaliyofanyika ndani ya geita yatakuwa mali ya serikali au familia ya Magufuli?

Je, hoja ya kupinga maendeleo ya Chato inatoka wapi na ina mantiki ipi? Hata hivyo bwana Lissu unapo ongelea kisa cha Rais wa zamani wa Afrika Kusini bwana Zuma aligeuza kijiji chake cha Nkandla kuwa kama ambavyo Magufuli anaigeuza Chato Si kweli, Tuhuma za Zuma ni kujenga Jumba la Kifahari na baadhi ya mambo mengine ya anasa kwa kutumia kodi ya Wana Afrika Kusini badala ya kutumia pesa yake binafsi, na ndo maana mahakama iliamuru arudishe hela na akarudisha, Je ufanano wa Zuma na Magufuli upo wapi hapa bwana Lissu?

Nihitimishe andiko hili kwa kusema kinachoendelea mitandaoni kuhoji na kushambulia kile kinachofanyika Mkoani Geita wilayani chato kama kitu kisichokubalika kwa umma ni upotoshaji ambao sharti Watanzania tuupuuze na tuungane kwa pamoja kuendelea kuijenga nchi yetu katika dhana ya maendeleo na watu wake, Maendeleo hayana ukanda ilimradi tu kinachofanyika kiwe ndani ya ardhi ya Tanzania.

Deogratias Mutungi
Uongozi wa Nchi wangeachiwa watu wa Pwani tu ambao tayari wako exposed
Maana ukimtoa Nyerere tu huyu anatuletea majanga
Mwinyi—-Pwani
Mkapa—Pwani
Jakaya—Pwani
 
Nianze na methali isemayo..." siri ya mutungi aijuaye ni kata..."
Bwana Deo Mutungi usitake kutufanya Watz wote hatuna akili please. We kweli ni mutungi wa maji na kata ndo inayokujulia.....!!!!

Wakti wa propaganda za kijinga, kipuuxi na kisiasa zilishapitwa na wakti bwana Mutungi. Nchi hii inaongozwa kulingana na KATIBA NA SHERIA za nchi ya JMT.
Huwezi kunambia ati kila Utawala na mambo yake.....this is a BIG NO. Rais yeyote anayeingia Ikulu anaapa kulinda na kutetea Katiba ya JMT.

Marais wa Awamu zote 1-4 walifuata Katiba ya JMT ndo maana hawakufanya huu upuuxi anaofanya Magufuli katika awamu hii!! Mwl. Nyerere Baba wa Taifa hakuwahi kujenga Uwanja wa Ndege Kimataifa si Mwitongo- Butyama wala Mwisenge- Musoma.....!!!! Nyerere alikataa hata kujengewa nyumba ya Kifahari pale Mwitongo akihoji yeye hakuwa Tembo.....!!! Hii ni hikma na busara ya hali ya juu kwa maana ya kutaka Fedha yote ya Walipa KODI IKAFANYE KAZI YA MAENDELEO YA WATU na siyo KUNUFAISHA MTU MMOJA NYUMBANI KWAKE KAMA ANAVOFANYA MAGUFULI PALE CHATO.....!??

Hivi Magufuli ana tofauti gani na Mobutu Seseseko Kuku Wazabanga?? Kujenga Chatto uwanja wa ndege wa Kimataifa na Majumba ya kifahari kuna tofauti gani na kijjii alichojennga Mobutu Seseseko pale Badolite nchini Zaire au Nkandla ya Jacob Xuma wa Sauz.....it's all the same!! Nataka nkuhakikishie kwamba siku Magufuli akiachia Madaraka na wakaja Wazalendo Halisi kuiongoza nji hii basi Jiwe atakuwa na kesi ya kujibu Mahakamani kwa Ufisadi wa kujilimbikixia mali na kujinufaisha yeye binafsi na familia yake pale Chatto. Mbona ni swala la muda tu!!

“Upuuxi” ndio nini??
 
Kitu ambacho sina hakika ni Mkoa wowote wa Tanzania kutoka eneo lolote lile lingekuwa linaingiza TRILLION 2.356 kama pato la kikodi, na kuchangia TRILLION 7 ( dollar 2.7 billion) akiba ya fedha za kigeni kelele zisingetosha humu. Haki hii wamezibwa midomo tuu kwa kuwa Rais anatoka maeneo yao, sidhani kama pangetosha.

Na wakosoaji maendeleo wa Mikoa mingine ya Tanzania. Kwanza ni matusi kwa serikali yetu kama wangeisahau Geita.

GEITA INAINIZA PATO KUBWA KULIKO SHUGULI ZOTE ZA UTALII KWA NCHI NZIMA, MAPATO YA DHAHABU NDIO YENYE KULETA MAPATO MAKUBWA ZAIDI KULIKO BIDHAA AU SHUGULI NYINGINE YEYOTE YA UZALISHAJI TANZANIA.

Akimaliza muda wake Rais Magufuli na akiondoka tutawatafutia mbeleko ya kuwabeba.

Mikoa ya Magharibi ina akiba kubwa ya dhahabu na Almasi nyingi kuliko ambayo nchi hii imekwisha chimba tangu kuzaliwa kwa Taifa hili.

Haya malamiko ya Chato kupata miradi tunatengeneza moto ambao utatusumbua baadae. Ukila na kipofu ushimshike mkono.


Geita Gold Mine Kicks Off 9,2bn Shillings of Community Development Spending

(Geita – PRESS RELEASE) -- Geita Gold Mine Limited (GGML) today marks an important
milestone in its journey to develop local communities in the Geita Region, with the handover
of construction materials for key infrastructure projects including classrooms, healthcare
facilities, and employee accommodation. The materials include cement, roofing sheets, gravel
and sand.
This development follows the signing of the Memorandum of Understanding (MoU) in March
by GGML, Geita District Council and Geita Town Council. GGML was the first mining company
to comply with Tanzania’s new legislation governing the process for agreeing its Corporate
Social Responsibility (CSR) plan in advance of its implementation. The total value of the
projects that stand to be financed and executed under the GGM CSR Plan of 2018, is 9.2
billion Tanzanian Shillings.
“We are proud of this contribution,” GGML Managing Director, Mr. Richard Jordinson, said.
“We’ll continue our work with local government authorities and host communities, through an
inclusive process, to ensure our mining activities create sustained economic development
benefit for the people in the region, and in Tanzania as a whole.”

The CSR plan includes a range of other projects, notably the installation of solar powered
streetlights along the main roads in Geita town, the construction of a state-of-art tower at the
Geita Town roundabout, and development of a modern market facility for Geita Town.
Under the Mining Act 2010 as amended by the Written Laws (Misc. Amendment) Act 2017
mining companies, including GGML are required to prepare and implement a credible
Corporate Social Responsibility Plan jointly agreed by the relevant Local Authorities in
consultation with the Minister responsible for Local Government Authorities and the minister
responsible for Finance.
Mr Jordinson acknowledged and commended the support shown by the local government
authorities throughout the process of CSR implementation, commenting: “The Company
would like to convey its sincere gratitude to the Hon. Regional Commissioner and the
Directors for the Geita District and Town Councils for their support and guidance throughout
this process.”
He said the 2018 CSR Plan represents a positive model that demonstrates how the
government and private sector can work together towards a better future for Tanzania.
Ends

Na huu ni mgodi mmoja katika migodi mikubwa minne, na zaidi ya migodi mdogo mdogo 326.

Waambieni CSR (CORPORATE SOCIAL RESPONSIBITY) WANALIPWA MABILLION MANGAPI? Hakuna mkoa unaofanana na Geita kwa mapato ya wachimbaji tuu.
GGM iko Geita mjini,Buly iko Kakola!Je,umetembelea maeneo hayo ujiridhishe na hali ilivyo?Geita-Kakola bado ni barabara ya tope!Huduma ya maji Geita bado si ya uhakika!
Sasa inashangaza iweje miradi mikubwa ielekezwe Chato na si makao makuu ya mkoa ambako ndio mgodi unaoingiza fedha nyingi upo?
Ndio hapo tunajiuliza,kuna nini Chato???Walau basi hiyo miradi ingesambazwa wilaya za Geita equally au kwa uwiano mzuri,ila yote imeenda chato,why????
Msijitie upofu n Kutafuta namna ya kujustify upendeleo wa wazi!
 
Hoja gani ipo humo?we nyumbu ndo usome hiyo taka mi sipotezi mda huo. Kapigwa sanduku la kura Na kawaacha hapa live mnatoa macho.
Sasa kama hujui kilichoandikwa,kwanini unachangia?Uwendawazimu sio lazima kuokota makopo barabarani!
 
Salaam Wana JF.

Nimesoma na kuona andiko la Bwana Tundu AM Lissu kutoka Ubelgiji akijenga hoja juu ya maendeleo ya vitu na watu ndani ya eneo la Chato anapotoka rais wa sasa Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Sijaona mantiki ya Lissu kupotosha umma wa Watanzania dhidi ya maendeleo ya sasa kwa Chato. Aidha, kabla ya kujenga hoja zangu dhidi ya hoja za Lissu, nitumie jukwaa hili kukanusha upotoshaji wa kumfananisha Rais Magufuli na Madikteta wa Kiafrika akina Mobutu Sese Seko, Felix Houphouet-Boigny, Hastings Kamuzu Banda na wengineo, Kwa hoja hii Lissu umepotosha umma na awatake radhi Watanzania na Rais Mwenyewe, kamwe uwezi kuzifananisha sifa za Mobutu na JPM labda kama hujui uovu na ukatili wa Mobutu Sese Seko.

Aidha Bwana Lissu unaporejea Kitabu cha Peter Kenyon "Dictatorland, The Men Who Stole Africa" Anachokiongelea Mwandishi Peter kwa viongozi wa Kiafrika walionajisi nchi zao hakina uhalisia na kinachofanywa na Rais Magufuli kwa sasa ndani ya eneo la Chato, Mantiki ya Peter Kenyon ni kuwamulika viongozi waliotawala Afrika na kujitajilisha wao wenyewe kimaendeleo dhidi ya Umma yaani wenye nchi, Rais Magufuli anatajilisha Umma kimaendeleo badala yake binafsi ndipo hoja iliposimama hapa.

Bwana Lissu kama unavyojua ni ngumu sana kuzuia watu kusema lakini linapokuja suala la upotoshaji ni sharti tujenge hoja kuepusha kikombe hiki kutamalaki, Bwana Lissu kinachofanywa na serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Magufuli katika Mkoa wa Geita wilayani Chato ni Jambo la kawaida kwa mantiki kuwa kusudio la Maendeleo hayo ni kwa manufaa ya Watanzania wote bila kujali eneo unalotoka, Umerejea awamu zilizopita ukiwataja viongozi wa awamu hizo nne kuwa hawakufanya kinachofanywa kwa sasa, Bwana Lissu nikujulishe kuwa kila nyakati na mambo yake.

Wakati wa Mwl. Nyerere alifanya kulingana na uhitaji na mipango ya wakati ule lakini pia alinyoshewa kidole na wakosoaji wake wa masuala ya maendeleo, Hivyo hivyo kwa Mwinyi, Mkapa na Kikwete kwahiyo lawama za namna hii hazikuanza leo na kamwe huwezi kuzimaliza lakini zinapopotosha zinajibiwa kimantiki, hata hivyo kila utawala utofautiana kiutawala, tunachokiona sasa sio kile tutakachokiona awamu ijayo ya sita.

Tunge jenga hoja za kumushambulia Rais Magufuli endapo tu kama angekuwa anafanya maendeleo ya namna hii nje ya Tanzania, hata mimi ningeunga mkono hoja kwa kitendo hicho lakini kinachofanywa ni ndani ya ardhi ya Tanzania, Aidha ninge hoji na kukosoa endapo tu Rais Magufuli angekuwa anafanya kwa maslahi yake binafsi na familia yake, lakini kinachofanywa ni kwa maslahi ya umma, Je nongwa inatoka wapi? Au ni husuda tu wa kisiasa kwa sababu ya itikadi za vyama vyetu?

Bwanba Lissu unadriki kulinganisha Mobutu Sese Seko ,Felix Houphouet-Boigny na Rais Magufuli, Je unajua viongozi hawa walitumia kodi za walala hoi kufanya starehe na anasa nyingine za kufuru hata zilizokuwa kinyume na amri kumi za Mungu kwa kujenga majumba ya kifahari kwa familia zao na kuwekeza mapesa mengi kwenye makampuni yaliyo je ya mataifa yao, Kinachofanywa Chato ni uwekezaji wa anasa au kwa mustakabari wa maendeleo ya watu kwa kizazi cha leo na hapo badae? Je baada ya rais muda wake yote yaliyofanyika ndani ya geita yatakuwa mali ya serikali au familia ya Magufuli?

Je, hoja ya kupinga maendeleo ya Chato inatoka wapi na ina mantiki ipi? Hata hivyo bwana Lissu unapo ongelea kisa cha Rais wa zamani wa Afrika Kusini bwana Zuma aligeuza kijiji chake cha Nkandla kuwa kama ambavyo Magufuli anaigeuza Chato Si kweli, Tuhuma za Zuma ni kujenga Jumba la Kifahari na baadhi ya mambo mengine ya anasa kwa kutumia kodi ya Wana Afrika Kusini badala ya kutumia pesa yake binafsi, na ndo maana mahakama iliamuru arudishe hela na akarudisha, Je ufanano wa Zuma na Magufuli upo wapi hapa bwana Lissu?

Nihitimishe andiko hili kwa kusema kinachoendelea mitandaoni kuhoji na kushambulia kile kinachofanyika Mkoani Geita wilayani chato kama kitu kisichokubalika kwa umma ni upotoshaji ambao sharti Watanzania tuupuuze na tuungane kwa pamoja kuendelea kuijenga nchi yetu katika dhana ya maendeleo na watu wake, Maendeleo hayana ukanda ilimradi tu kinachofanyika kiwe ndani ya ardhi ya Tanzania.

Deogratias Mutungi
Hapotishi umma ,umma wenyewe unaona na kutambua tuna aina gani ya kiongozi.
Unawezaje kutumia kodi za watu watanzania wote kulindikia miradi mikubwa kuliko mahitajio sehemu unayoyka Rais. Huu ni ubnafsi. Uwanja wa ndge wa kimataifa chato.kisingizio utalii . Serngeti ipo mara ,mikumi Rwaha Kuna vinjwa vikubwa? Hosp ya rufaa ya kanda kwa nini isijengwe Geita? Unajenga hosp ya rufaa kijijini kwako Rais! Majengo ya ofisi za uma yanajengwa makubwa kuliko hadhi ya mji ,mfano Tannesco,Bima Tra, veta. Kuna tofauti gani na wale wanaonunua magari yaliyo juu ya hafhi zao? Hata kama asiposema Lisu watanzania Tunaona. Hata wewe unajua anachifanya Amagufuri kilifanywa na Mobutu ,ila umejawa na ulafi tu
 
Sasa kama hujui kilichoandikwa,kwanini unachangia?Uwendawazimu sio lazima kuokota makopo barabarani!
Mi huyo mwehu mwenzio simsomi hapa namskia upuuzi wake huko kwingine hana jipya
 
Mi huyo mwehu mwenzio simsomi hapa namskia upuuzi wake huko kwingine hana jipya
Sasa kama humsomi si upite tu,kwanini uchangie kitu ambacho hujasoma?Ungepita tu kimya kimya ukatuachia mada watu ambao tuna uvumilivu wa kujadili hoja kwa hoja!
 
Back
Top Bottom