Seth saint
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 1,115
- 2,464
You think life is like math calculations like when you take 1 plus 1 you get 2?Just remember,there is no one to one relationship between what you get in school and lifeUlisoma ili uwe mtumwa?!
What's with the formula?!
Ndio maana serikali sahivi inatoa mikopo Kwa watu waliopata division 1 Tu, wanaoweza kufikiri maisha baada ya shule
Kha!
Hambebeki watz jamaa
Basi usingesoma ujueYou think life is like math calculations like when you take 1 plus 1 you get 2?Just remember,there is no one to one relationship between what you get in school and life
Sio kila msomi kasomeshwa kwa mkopo(tuweke hili sawa kwanza)Basi usingesoma ujue
Kwani ulisoma ukaajiriwe au ukajiajiri??
Na mkopo unarudishaje sasa
Sio kila msomi kasomeshwa kwa mkopo(tuweke hili sawa kwanza)
Hakuna uhusiano wowote kati ya kusoma na kuajiriwa au kujiajiri(Elimu hipo kwa lengo la kuamsha na kumjenga mwanadamu kuyatawala mazingira yake)
Embu jistretch akili yako basi
Nikuulize?! Ivi huyu jamaa alisoma degree kwa mkopo WA serikali ili aje aendeshe bodaboda au aajiri watu awe meneja WA kampuni yake??
Woi 🚶🚶
Sijui watoto mtakua lini?!
Mbona unaumia na habari unadai haikuhiswu!!! Wewe ndio mtoto unayeumia na habari na kucheka watu. Kua
Nikuulize?! Ivi huyu jamaa alisoma degree kwa mkopo WA serikali ili aje aendeshe bodaboda au aajiri watu awe meneja WA kampuni yake??
Woi 🚶🚶
Sijui watoto mtakua lini?!
Ubarikiwe mpaka ushangaeRabishi.. smoli kido.
NzuriBasi Tu
Napenda Movies za James Bond
Msindikize uwe konda wake mkipata abiria mnakula mshkaki,
Saa ingine unamsaidia kupia gia misele.
Shida iko wapi
Kwanini amejiajiri Huyo mwenye degree na asiajiri wengineYaani yeye hana ajira alafu anamkataa mwenye kuendesha boda boda?
Amini nawaambia nilikua mmoja kati ya wanao wadharau boda boda, lakini hawa jamaa wanaingiza hela nyingi sana. Kwa siku boda boda anaweza laza mpaka 50k......
Kikubwa ni nidhamu ya pesa tu. Maana hawa jamaa wana matumizi ya hovyo kwakua wanafahamu muda wowote wanapata hela..
Mimi nataka niingie huko hivi karibuni maana nimeagiza mpya kwaajili ya shughuri zangu za kuku. Kwahiyo nikishamaliza kuhudumia kuku, nitakua naingia barabarani kuokoka maokoto ya kupunguza gharama za maisha
MnoooNzuri
Hatua ya kwanza ni kujiajiri kama alivyofanya. Endapo ana malengo, basi atapata mtaji wa kufungua kitu ambacho kitatoa ajira kwa wengine.Kwanini amejiajiri Huyo mwenye degree na asiajiri wengine
FT: NBC Premier League: Yanga SC 5-0 KMC FC | Azam Complex Stadium | 23/08/2023
Mabingwa watetezi Yanga SC wanaanza mbio za kulitetea taji la NBC kwa kumenyana na KMC. Mechi hii itapigwa kuanzia saa 1:00 katika Dimba la Azam Complex Katika mechi 10 walizokutana kwenye ligi kuu tangu wapande daraja msimu wa 2018/19, KMC wameshinda mara moja pekee dhidi ya Yanga, huku sare...www.jamiiforums.com
Inategemea sio wote , ukimpata aliyewadhati ,kazi kwishaShida sio kesho, shida NI wanaume mkizinyaka mnakuwa malimbukeni
AminaaaHatua ya kwanza ni kujiajiri kama alivyofanya. Endapo ana malengo, basi atapata mtaji wa kufungua kitu ambacho kitatoa ajira kwa wengine.
Kikubwa ni yeye kuwa na malengo tu
SauwaInategemea sio wote , ukimpata aliyewadhati ,kazi kwisha
Mzee zomboko alisema kula chuma iko sema ajari kazini ridhiki ya mtu iko miguuni mwa kila mtu sasa wewe sema umependa degree yake au huwezi kueshimu kazi anayoifanya ili kuwafanya kusogeza MaishaDear Money Penny
YAH: BWANA WANGU ANAENDESHA BODABODA
Mimi NI binti ambae sikuwahi kuwa kwenye mahusiano nikiwa chuoni.
Nilikuwa busy na masomo na ibada za casfeta.
Mapenzi yangu yalikuwa Kwa Yesu.
Baada ya kumaliza masomo sikupata KAZI, nikasota benchi Kwa Miaka 5, wenzangu nilisoma NAO walishaolewa na kuzaa na KAZI wanazo.
Nimevumilia lakini dadangu akaniambia tafuta bwana angalau uzae UMRI unaenda.
Siku Niko kwenye fellowship nikakutana na Kaka mmoja mlokole mwenzangu, nae NI graduate lakini Hana ajira
Amenunua bodaboda Kwa mkopo WA kampuni ya "WATU" pale Tegeta ndio anafanya nayo biashara apate kipato
Lakini ni mwaminifu, ananipenda mno na KAOKOKA,
Hatujawahi zini, Ila naogopa Sana kuolewa nae, maana kipato chake NI bodaboda Tu naona aibu mpaka aje kununua gari haya maisha yatakuwaje?
Kweli money penny bwana wangu anaendesha bodaboda lakini naona aibu kumtambulisha kwetu, ananipenda Sana nifanyaje??
Wako
Eliza."
Jamaa. Eliza anaomba msaada huku
View attachment 2724672