Bwana wangu anaendesha bodaboda, nifanyaje?

Bwana wangu anaendesha bodaboda, nifanyaje?

Sasa, huyu jamaa alisoma degree kwa mkopo WA serikali ili aje aendeshe bodaboda au aajiri watu awe meneja WA kampuni yake??
Woi Sijui watoto mtakua lini?!
Kusoma kwa wengi lengo lao huwa ni baadae apate ajira hamna mtu atasoma amalize ajiajiri kama ni hvyo hakuwa na haja ya kusoma angeanza mapema akajiajiri ila huyo pia nae anaendesha boda huku akisubir ajira ko ukisema amuache na akipata ajira ndo ampende au akiacha kuendesha boda ndo ampende hapo ni kukubali hali iliyopo tu kama anajiamini na anamuamini mpenzi wake waendelee huku wakijitafuta kvingne maisha yako tight sana mkuu
 
Dubai anafikaje,😂😂
Penye nia pana njia, aanze kwanza kuslay lazima atafika
images - 2023-08-24T214513.473.jpeg
 
Nikuulize?! Ivi huyu jamaa alisoma degree kwa mkopo WA serikali ili aje aendeshe bodaboda au aajiri watu awe meneja WA kampuni yake??
Woi 🚶🚶
Sijui watoto mtakua lini?!
Kampuni yake?bila kuanzia popote pale, ghafla bin vuuu hadi kwenye kumiliki kampuni?labda awe na ndugu wenye pesa.au atoke ukoo wenye DNA ya hela
 
Mwambie eliza kanikera vibaya mnoo
Ukiondoa degree ambayo hata cheti cha darasa la Saba kinanafuu anabakia na INTELLECT ambayo ni sifuri[Hana creativity,resilience and determination] Hawezi hata kujinunulia taulo ya kike halafu anamdharau bwana yake boda boda? Eliza Hana sifa za kuwa hata mke wa m..... Hakuna hali inayodumu ktk Maisha ya mwanadam.


Sent from my M2103K19G using JamiiForums mobile app
 
Apa kila mtu kipengele kishambana😂😂
Wabishi kama kawa wanakomaa kutoka kwenye kibano
 
Ukiondoa degree ambayo hata cheti cha darasa la Saba kinanafuu anabakia na INTELLECT ambayo ni sifuri[Hana creativity,resilience and determination] Hawezi hata kujinunulia taulo ya kike halafu anamdharau bwana yake boda boda? Eliza Hana sifa za kuwa hata mke wa m..... Hakuna hali inayodumu ktk Maisha ya mwanadam.


Sent from my M2103K19G using JamiiForums mobile app
Acha kuhukumu bwana hajasema hawez nunua Taulo ya like
 
Kampuni yake?bila kuanzia popote pale, ghafla bin vuuu hadi kwenye kumiliki kampuni?labda awe na ndugu wenye pesa.au atoke ukoo wenye DNA ya hela
Watu wanafungua kampuni Kila siku na wanaajiri watu
Mfano: mwuza genge, mahindi ya kuchoma😂
 
Wabishi kama kawa wanakomaa kutoka kwenye kibano
🙄🙄🙄🙄Hiki kipengele kirudiwe🤣
 
Dear Money Penny

YAH: BWANA WANGU ANAENDESHA BODABODA
Mimi NI binti ambae sikuwahi kuwa kwenye mahusiano nikiwa chuoni.

Nilikuwa busy na masomo na ibada za casfeta.

Mapenzi yangu yalikuwa Kwa Yesu.

Baada ya kumaliza masomo sikupata KAZI, nikasota benchi Kwa Miaka 5, wenzangu nilisoma NAO walishaolewa na kuzaa na KAZI wanazo.

Nimevumilia lakini dadangu akaniambia tafuta bwana angalau uzae UMRI unaenda.

Siku Niko kwenye fellowship nikakutana na Kaka mmoja mlokole mwenzangu, nae NI graduate lakini Hana ajira
Amenunua bodaboda Kwa mkopo WA kampuni ya "WATU" pale Tegeta ndio anafanya nayo biashara apate kipato

Lakini ni mwaminifu, ananipenda mno na KAOKOKA,

Hatujawahi zini, Ila naogopa Sana kuolewa nae, maana kipato chake NI bodaboda Tu naona aibu mpaka aje kununua gari haya maisha yatakuwaje?

Kweli money penny bwana wangu anaendesha bodaboda lakini naona aibu kumtambulisha kwetu, ananipenda Sana nifanyaje??

Wako
Eliza."

Jamaa. Eliza anaomba msaada huku

View attachment 2724672
TAFUTA HELA
 
Back
Top Bottom